Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 74,883
- 155,856
Wale vibaraka waliotumwa na sisiemu kuja kuchafua hali ya hewa hapa JF muda wao wa kazi umeisha na sasa wanarudi rasmi kwenye shughuli zao nyingine.
Ninaamini JF itarudui kwenye status yake ya miaka yote.
Malaria Sugu na kundi lako kwaherini, pia pole sana kwa kupoteza majimbo na kata nyingi.
TANZANIA BILA CCM INAWEZEKANA
Ninaamini JF itarudui kwenye status yake ya miaka yote.
Malaria Sugu na kundi lako kwaherini, pia pole sana kwa kupoteza majimbo na kata nyingi.
TANZANIA BILA CCM INAWEZEKANA