Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Hivi hadi sasa CHADEMA, CCM, CUF, NCCR-Mageuzi, TLP,....... imeshachukua majimbo mangapi?
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Kikwete atakua Raisi wa vijijini tuu? Ili Raisi uheshimike lazima uwe na support kubwa ya wasomi na miji mikubwa ya nchi yako, kinyume chake unakuwa Raisi kivuli. Tumezoea kuona kwenye nnchi za...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
jana tar 04 nov 2010 wakati wa kutangazwa kwa matokeo ya kura za urais, tume ya uchaguzi iliwakaribisha waandishi wa habari waliokuwepo kuuliza maswali. Moja kati ya maswali yaliyoulizwa ni madai...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Yaani taifa la Tanzania tunakoelekea siko.matokeo ya uchaguzi yanatumia muda wa wiki moja nzima!hatuna budi kujiuliza ya kwamba kwa nini chaguzi zilizopita zilikuwa zikifanyika kwa muda mfupi tu...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Sote Tumeshuudia Rafu za Uchaguzi ambao umemalizika kwa kumpatia bwana Mkubwa Ushindi wa Mezani Kama walivyokuwa wamepanga wao. Lakini wasikae wakajidanganya na wajione wao ni clever sana kuliko...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Yule mtabiri aitwaye sheikh yahaya alitoa utabiri kuwa uchaguzi utaahirishwa kwa kuwa jambo baya litamtokea mgombea sasa atajitetea nini? Maana uchaguzi umefanyika. Kuhusu mtu kufa ghafla...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Hebu tunaomba tupewe gharama za uchaguzi za CHADEMA walizotumia na kilicho patikana ili tujue kama kuna faida au hasara ?
0 Reactions
63 Replies
5K Views
Miezi kadha iliyopita, Mzee Mwanakijiji aliweka thread humu JF ikisema ngome za upinzani zimedorora katika miji mikuu hapa nchini. Thread hiyi iliibua post nyingi, nikiwa mmojawapo na nilisema...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Watanzania ni wepesi wa kusahau, tukirudi nyuma miaka miwili tu iliyopita, Tanzania ilikuwa inayalipa makampuni ya kufua umeme ya Dowans (T) Ltd shilingi za kitanzania 152 milioni kwa siku. Sawa...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Wanaokishutumu CHADEMA kuwa ni chama cha undugu, inawezekanaje kuweza kukubalika Tanzania nzima? mf. kwa tathmini yangu ni kwamba wananchi wameweza kuchagua wabunge kutoka Mashariki -...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Nasikia waliopiga kura mwaka huu ni kama 7,500,000 kati ya 19,600,000 waliotarajiwa ambao ni sawa na 38%. NEC watatuambia nini, tutaliaminije hilo Daftari lao kama ni sahihi? Maswali ni mengi...
0 Reactions
23 Replies
3K Views
kwa mfumo huu ni wazi kuwa CCM, NEC, na taasisi zake vimefanya ubakaji kwa kuyasasambula matokeo ya wabunge na uraisi ili kumpa nafasi Kikwete na kundi lake la mafisa kuhakikisha kuwa wanaendelea...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Here's how ruling party can control Tanzania till 2031 By Charles Onyango-Obbo (email the author) The votes in Tanzania’s October 31 election were counted well before the vote, according...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
( Makala hii imechapwa kwenye Raia Mwema, Novemba 3, 2010) Na Maggid Mjengwa, MTOTO anayetegemea maziwa toka titi la mama anafanyaje anapolikosa? Jibu lake; mtoto huyo atahangaika sana, na...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
CCM Wameshawaona Watanzania Wajinga Kama Wao na Matokeo Ndio Haya. Hatushangai Kwani Mugabe, Museven, Mwai Kibaki, na Kagame Wote Si Ndivyo Wanavyoendesha Nchi Zao. Huu Uchanguzi CCM Hawakushinda...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Ingawa alikuwa mwanzilishi wa CCM, kwa nia njema ya kuendeleza mapinduzi katika nchi yetu, miaka ilivyozidi kwenda Mwalimu Nyerere alishuhudia jinsi CCM ilivyobadilika na kuwa mzigo kwake na pia...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
kila kukicha viongozi wa ccm wamekuwa wanatumia jeshi la polisi kwa maslahi ya ccm kana kwamba lipo kwa ajili ya chama chao lakini wakae wakijua kuwa haki zinazodaiwa na wananchi wa tabaka la...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Ridhiwani Kikwete alipokuwa akijitetea mbele ya vyombo vya khabari kuwa hakuhudhuria kikao cha Mwanza ambacho Dr. Slaa alidai kiliweka mipango ya kuchakachua matokeo ya kura za uchaguzi hakutoa...
0 Reactions
13 Replies
2K Views
Kuchakachua ni kuchanganya chema na haramu lakini KUSUKUTUA ni kuweka chema ndani (mdomoni) na kukigeuza kuwa takataka. Hicho ndicho ambacho CCM wamekifanya, hawajachakachua ila wameukutua. Habari...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
TEMCO: Wakuu wa mikoa na wilaya waliisaidia CCM kampeni Send to a friend Thursday, 04 November 2010 08:55 0diggsdigg Exuper Kachenje TIMU ya Waangalizi wa ndani wa uchaguzi mkuu (Temco) imetoa...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…