Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 73,828
- 151,893
Kuchakachua ni kuchanganya chema na haramu lakini KUSUKUTUA ni kuweka chema ndani (mdomoni) na kukigeuza kuwa takataka.
Hicho ndicho ambacho CCM wamekifanya, hawajachakachua ila wameukutua.
Habari ndio hiyo.
Hicho ndicho ambacho CCM wamekifanya, hawajachakachua ila wameukutua.
Habari ndio hiyo.