Entertainment

Cinema listings, TV shows, Music, Gigs, Exhibitions, Theatre, Clubbing, Comedy and much more...

On JF:

Nimekuwa nikiitafuta kwa mda mrefu sana nyimbo ya Vibration Sound ikiitwa mwewe bila mafanikio, naamini hapa wana jamvi mwaweza nisaidia naomba msaada wenu wakuu.....naipenda sana iyo nyimbo...asante.
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Katika Tasnia ya muziki je, unawakumbuka hawa na nafasi walizokuwa wana-play???? 1. LOKASA YA MBONGO 2. NGOUMA LOKITO 3.DALLY KIMOKO 3. BILEKU MPASI 4. DIBLO DIBALA 5. MOBILO 6. KANDA...
0 Reactions
14 Replies
4K Views
Hii tamthilia ni nzuri aisee, hivi Kwa nini Filipino wanajua sana kutengeneza tamthilia, Wanawaigizaji wazuri,story nzuri,color usisema,pamoja NA mtiririko wa visa NA matukio.Wabongo tungekuwa...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Gwiji wa muziki wa Reggae Robert Nesta Marley ' Bob Marley ' anakumbukwa kwa vibao vyake kemkem hasa vya harakati za ukombozi wa mtu mweusi. Alifariki mwaka 1981 lakini ni kama amefariki jana au...
1 Reactions
20 Replies
6K Views
Artist: ADELE Album: 25 Gener: POP Year Released: 2015 Language: ENGLISH Tracks 01 : Hello 02 : Send My Love 03 : I Miss You 04 : When We Where Young 05 : Remedy 06 : Water Under the...
3 Reactions
15 Replies
2K Views
Zifuatazo ni nyimbo mbovu zinazopewa airtime kubwa ili zionekane nzuri.. Sophia_ben pol zigo_Ay Safari_ Nikki wa pili Salima_Linex ft.diamond chekecha_ Ali kiba Mapenzi pesa au kupeti...
0 Reactions
59 Replies
6K Views
Wakuu huyu jamaa kwa East Africa upande wa komedi yuko talented sana,binafsi namkubali mno najaribu ku-share baadhi ya commedy zake hapa, walio na nyingine pia wanaweza kushare.
1 Reactions
1 Replies
2K Views
Habari zenu wale wapenzi wa dancing na wapenzi wa burudani kwa ujumla. Mimi binafsi sio dancer mkali, ila NAJITAJIDI sana kudance. Napenda kucheza muziki. Kila naposikia muziki unaochezeka na...
2 Reactions
27 Replies
8K Views
Wadau mnaiongeleaje issue ya msanii kudis wimbo au mistari ya mwenzake ili yeye atoke???.... Mfano chege ana wimbo unaoitwa mwanayumba... akimaanisha anamtafuta mwanayumba.... lakini kuna msanii...
1 Reactions
1 Replies
2K Views
MSIKIE BABA DIAMOND AKIFUNGUKA NA WAANDISHI WETU, Risasi Jumamosi DAR ES SALAAM: Wakati mwanaye staa wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond’, mama yake mzazi, Sanura Kassim ‘Sandra’, mzazi...
1 Reactions
141 Replies
30K Views
Kiukweli kwa sasa ni bonge la video sioni wakumbana nao hawa jamaa waendelee kuwa wabunifu beat nzuri na kali kifupi wamejitahidi sna madansa nao wako vizur sna haichoshi kuingalia ni video bora...
1 Reactions
29 Replies
9K Views
Nyota wa filamu za Bollywood Amitabh Bachchan na Kangana Ranaut wameshinda mataji makuu katika tuzo za kitaifa za filamu nchini India. Bachchan alishinda tuzo ya muigizaji bora kwa jukumu lake...
1 Reactions
4 Replies
2K Views
Wema Sepetu ni bingwa wa kutumia gharama kubwa kufanya filamu na kutengeneza kiu kubwa kwa mashabiki wake halafu then mradi unageuka kuwa kama album ya Detox ya Dr Dre, ambayo haijawahi kutoka...
1 Reactions
7 Replies
3K Views
Jaman wale wapenz wa muv za kutisha za kinigeria naomba tukumbushane kidogo..mm nilizipenda zaid KARISHIKA,LAST BURIAL,BILLIONARES CLUB,MARRIED TO A WITCH,HIGHWAY TO THE GRAVE,END OF THE WICKED,40...
0 Reactions
2 Replies
990 Views
Habari wakuu, Aisee leo nilikuwa nazurura zurura youtube nikajikuta napitia video moja moja ya hawa jamaa wanaojiita Navy Kenzo....Dah these guys are so under rated...The guys are not just good...
5 Reactions
45 Replies
8K Views
Nimejaribu kufuatilia interview za utambulisho wa wasanii wa walio chini ya Babu tale na mkubwa Fela nimegundua hawa jamaa wanyonyaji sana na wanaishi na wasanii chipukizi kwa kuwatia hofu ili...
2 Reactions
27 Replies
8K Views
Salamu wakuu! Nauliza eet zile tamthilia za kiflipino znazooneshwa na startv zlzokuwa translated in englsh znapatikana kwny web site gan..!?
0 Reactions
7 Replies
3K Views
Wadau salamu, nilikuwa na uhitaji wa nyimbo za zamani za dansi enzi za beta musica, diamond wako kwny chati na dansi za sasa pamoja na za live perfomance yoyote aliyekuwa nazo azitupie humu...
0 Reactions
0 Replies
981 Views
Salaam wakuu Mi ni mwanafunzi wa chuo flani hapa Songea-ruvuma lakini nyumbani Mbeya. Sasa napenda sana na nahitaji sana kuwa mtaalam wa kutengeneza midundo au beats(yani kuwa music producer)...
2 Reactions
6 Replies
2K Views
Hawa ni madirector wa Africa Kusini waliofanikiwa kuwateka sana wasanii wa bongofleva, kila msanii wa bongofleva akitaka kutoa kioo kikali atamtafuta mmojawapo kati ya hao. Je? Ni yupi anatoa...
1 Reactions
42 Replies
5K Views
Back
Top Bottom