Nimekuwa nikiitafuta kwa mda mrefu sana nyimbo ya Vibration Sound ikiitwa mwewe bila mafanikio, naamini hapa wana jamvi mwaweza nisaidia naomba msaada wenu wakuu.....naipenda sana iyo nyimbo...asante.
Katika Tasnia ya muziki je, unawakumbuka hawa na nafasi walizokuwa wana-play????
1. LOKASA YA MBONGO
2. NGOUMA LOKITO
3.DALLY KIMOKO
3. BILEKU MPASI
4. DIBLO DIBALA
5. MOBILO
6. KANDA...
Hii tamthilia ni nzuri aisee, hivi Kwa nini Filipino wanajua sana kutengeneza tamthilia, Wanawaigizaji wazuri,story nzuri,color usisema,pamoja NA mtiririko wa visa NA matukio.Wabongo tungekuwa...
Gwiji wa muziki wa Reggae Robert Nesta Marley ' Bob Marley ' anakumbukwa kwa vibao vyake kemkem hasa vya harakati za ukombozi wa mtu mweusi.
Alifariki mwaka 1981 lakini ni kama amefariki jana au...
Artist: ADELE
Album: 25
Gener: POP
Year Released: 2015
Language: ENGLISH
Tracks
01 : Hello
02 : Send My Love
03 : I Miss You
04 : When We Where Young
05 : Remedy
06 : Water Under the...
Zifuatazo ni nyimbo mbovu zinazopewa airtime kubwa ili zionekane nzuri..
Sophia_ben pol
zigo_Ay
Safari_ Nikki wa pili
Salima_Linex ft.diamond
chekecha_ Ali kiba
Mapenzi pesa au kupeti...
Wakuu huyu jamaa kwa East Africa upande wa komedi yuko talented sana,binafsi namkubali mno najaribu ku-share baadhi ya commedy zake hapa, walio na nyingine pia wanaweza kushare.
Habari zenu wale wapenzi wa dancing na wapenzi wa burudani kwa ujumla.
Mimi binafsi sio dancer mkali, ila NAJITAJIDI sana kudance. Napenda kucheza muziki. Kila naposikia muziki unaochezeka na...
Wadau mnaiongeleaje issue ya msanii kudis wimbo au mistari ya mwenzake ili yeye atoke???....
Mfano chege ana wimbo unaoitwa mwanayumba... akimaanisha anamtafuta mwanayumba.... lakini kuna msanii...
MSIKIE BABA DIAMOND AKIFUNGUKA
NA
WAANDISHI WETU, Risasi Jumamosi
DAR ES SALAAM: Wakati mwanaye staa wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond’, mama yake mzazi, Sanura Kassim ‘Sandra’, mzazi...
Kiukweli kwa sasa ni bonge la video sioni wakumbana nao hawa jamaa waendelee kuwa wabunifu beat nzuri na kali kifupi wamejitahidi sna madansa nao wako vizur sna haichoshi kuingalia ni video bora...
Nyota wa filamu za Bollywood Amitabh Bachchan na Kangana Ranaut wameshinda mataji makuu katika tuzo za kitaifa za filamu nchini India.
Bachchan alishinda tuzo ya muigizaji bora kwa jukumu lake...
Wema Sepetu ni bingwa wa kutumia gharama kubwa kufanya filamu na kutengeneza kiu kubwa kwa mashabiki wake halafu then mradi unageuka kuwa kama album ya Detox ya Dr Dre, ambayo haijawahi kutoka...
Jaman wale wapenz wa muv za kutisha za kinigeria naomba tukumbushane kidogo..mm nilizipenda zaid KARISHIKA,LAST BURIAL,BILLIONARES CLUB,MARRIED TO A WITCH,HIGHWAY TO THE GRAVE,END OF THE WICKED,40...
Habari wakuu,
Aisee leo nilikuwa nazurura zurura youtube nikajikuta napitia video moja moja ya hawa jamaa wanaojiita Navy Kenzo....Dah these guys are so under rated...The guys are not just good...
Nimejaribu kufuatilia interview za utambulisho wa wasanii wa walio chini ya Babu tale na mkubwa Fela nimegundua hawa jamaa wanyonyaji sana na wanaishi na wasanii chipukizi kwa kuwatia hofu ili...
Wadau salamu, nilikuwa na uhitaji wa nyimbo za zamani za dansi enzi za beta musica, diamond wako kwny chati na dansi za sasa pamoja na za live perfomance yoyote aliyekuwa nazo azitupie humu...
Salaam wakuu
Mi ni mwanafunzi wa chuo flani hapa Songea-ruvuma lakini nyumbani Mbeya.
Sasa napenda sana na nahitaji sana kuwa mtaalam wa kutengeneza midundo au beats(yani kuwa music producer)...
Hawa ni madirector wa Africa Kusini waliofanikiwa kuwateka sana wasanii wa bongofleva, kila msanii wa bongofleva akitaka kutoa kioo kikali atamtafuta mmojawapo kati ya hao.
Je? Ni yupi anatoa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.