Mbunge wa mbeya mjini na mkongwe wa muziki wa hip hop bongo Sugu a. K. a Mr II hivi karibu aliiachia wimbo wake mpya audio pamoja na video ujulikanao kama FREEDOM' Baada ya kuwa ahidi...
habari za sasa wana JF.
Mimi ni kijana mwenzenu, nahitaji msaada kwa mlioko katika section za production katika tasnia ya filamu Tanzania, nahitaji kujifunza sana kuhusiana na filamu katika...
Rapa Nay wa Mitego baada ya kufanya vizuri na wimbo ‘Shika Adabu Yako’, Jumatatu ijayo anatarajia kuachia ngoma mpya na kali iitwao ‘Saka Hela’.
Akizungumza hivi karibuni, Nay amesema mara nyingi...
Nakumbuka Miaka ya Mwishoni Mwishoni mwa 90 na Mwanzoni Mwa 2000 kuna mzee mmoja alikuwa ana bamba sana na kibao hiko aliku Mwembamba Mweusi na nimrefu kile kibao nimekitafuta iatandaoni lakini...
Uzi huu kuhusuiana
na la tempestad,tutakua tunajadili mwenendo wa tamthilia yetu pendwa ambayo inahusisha wakali kama Captain Damián Fabré, Marina Reverté Artigas
de Fabré,Magdalena Reverté...
Niko hapa tcc club kwenye pambano, kinachofanyila getini Ni wizi WA mchana. Watu wengi wanalipa na hawapewi tickets, sisi ambao tumekuja kuzisaidia hizi bendi kongwe, nimekatishwa tamaa siji tena
Msaada wenu tafadhali nimeutafuta wimbo huu bila ya mafanikio sehemu ya wimbo huo ina maneno yasemayo"HATA DINI UMEBADILI, SUPU UMETIA NAZI LADHA YA SUPU NI CHUMVI NDIMU NA PULIPILI TU" Ameimba...
Jaman wakuu kwa jamvi hili naleta uzi hata kama hauna maana yoyote kwako, lakn ningependa kumfahamu msanii aliyeuimba wimbo wenye maneno kama title
nilonge nisilonge,... longaaaa.
mpenzi wangu...
kwenye maisha ya uswahilini na pwani huwa kuna kashda za pwani
kwa namna hyo basi hapa nazungumzia pwani kwa ujumla maneno ya waswahili wa pwani hunikosha sana na huwa kuntu tena pambee tena...
Si ajabu miaka ya nyuma tulikua tunapiga hatua katika bongo movie kuliko sasa !! Eb wangapi wameshazitema hizi movie za hapa kwetu na kuanza Kuangalia za nje?? Na kwann sasa?? Je zamani movie za...
Mahojiano kati ya saleh ally wa gazeti la champion toleo la 9/10/2013 na mkurugenzi mtendaji wa Azam Media mr Rhys Torrington
Salehe ally (swali lini mnaanza)
mkurugenzi- kwasasa tumeingia...
See them fighting for power
But they know not the hour
So they bribing with their guns, spare-parts and money,
Trying to belittle our
Integrity now.
They say what we know
Is just what they teach...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.