Ndugu wanaJF,
Zile tuzo kubwa kuliko zote Barani Afrika zimewadia. Msimu wa Mavuno kwa wasanii wa muziki kutoka pande mbali mbali za Afrika umebisha hodi. Ni KORA-All Africa Music Awards 2016...
Show iliyofanywa na wakali wao modern taradance chini ya thabit abdul imeacha gumzo. Ilikuwa ni uzinduzi wa albamu yao mpya ya sioni thamani ya pendo.
Maelfu ya watu walihudhuria show hiyo...
akihojiwa kwenye kipind cha kwa raha zetu na gea habib wa clouds shilole kasema anahamia kwenye taarab na wimbo ashauandaa
USHAUR;MWEEEEH BIBI WE HATUKUTAKI KWENYE TAARAB PYEE HATUTAK MASTAA WAVA...
I noticed there's almost only sports in this section even though it says we may also talk about music. It kinda made me hesitate on whether i should post this here or somewhere else, but I decided...
Buffalo Soldier"
Buffalo Soldier, Dreadlock Rasta:
There was a Buffalo Soldier in the heart of America,
Stolen from Africa, brought to America,
Fighting on arrival, fighting for survival.
I mean...
Shalom brothers and sisters,
I great you all in the Mighty name of our Lord and Saviour Jesus Christ.
The essence of this thread is to herald to the world the good news of salvation bestowed upon...
Hii ilikuwa ni radio ya watu. Au ndio brand saturation, competition au nini?
Je FACTS ni zipi kwenye hizi tuhuma zisizokweisha kila kukicha? Na kwa nini wawe wanalalamikiwa wao kila siku wakati...
Huyu dogo alikua akiimba tangaia 2011 lakini nilikua naona mzushi flani tu anayependwa tu na watoto wakike ma teenagers kutokana na mihemko.
Lakini siku hizi nyimbo zake zimenishawishi, na zipo...
Wanajf mnaozijua nyimbo za injili na waimbaji wake naomba msaada.
Upo wimbo mmoja mzuri sana wa injili wenye mahadhi ya kwaito nahitaji kufahamu mtunzi wake na jina la wimbo
Baadhi ya maneno...
1.diamond
albums 1.kamwambie(2010)
2.diamond forever(2012)
2.alikiba
albums 1.Cinderella(2007)
2.ali k for real (2010)
3.bushoke
albums 1.barua(2004)...
habari wakuu wa JF kama kichwa kinavyojieleza hapo huo wimbo unaitwa ASU umeimbwa na band Inaitwa BABLOOM nimejaribu kutafuta mitandaoni nimeukosa mwenye nao anisaidie tafadhali
natanguliza shukrani
Kwa simple observation yangu nimeona hiki chombo hakina nguvu kama Nay Wa Mitego alivowaimba. Kwa maana tumekuwa tukisikia wakitoa maonyo kwa wasanii kadhaa na wengine kuwafungia kabisa.
Msanii...
SEHEMU YA KUMI
THE GIRLS IN ISLAND 10
“nshukuru kama una uwezo wa kukumbuka kwa kiwango hicho. Hivi unafikiri mimi nipo kwenye hali gani toka uliponionjesha asali yako?... unafikiri moyo...
Chorus – Banana Zorro]
Sizonje hii ndio nyumba yetu
Milango ipo wanapita madirishani
Sizonje ndio nyumba yetu
Milango ipo wanapita madirishani
Ingia uyaone, maajabu ya nyumba yetu
Ingia uyaone...
habari wakuu....kuna nyimbo ya taratibu ya kiingereza yakitambo ivi....nimeisahau jina na mwimbaji pia ila naijua baazi ya matukio katika video ya huo wimbo.iko ivi.....
mwimbaji ni mwanaume na...
1. Mikono salama- hii imeigizwa na Irene uwoya,jokate,jb ,Adam kuambiana na wengine wengi, hii movie ni noma sana.
2.kigodoro- hii imeigizwa na wasanii kibao, kama riyama,hemedy,diana,mama...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.