Hi kwa sana wana JF
Naomba msaada kwenu nilikuwa nahitaji link ambayo naweza kuupata wimbo wa zilipendwa au mwenye nao wa "teddy wana Zanzibar" uliopigwa na bendi ya DDC mlimani park okestra...
Watoto nchini Uganda wametengeneza video wakicheza nyimbo maarufu “Sorry” ya msanii Justin Bieber. Mwimbo huu umekuwa maarufu sana dunia nzima na watu wengi wametengeneza video tofauti tofauti...
Sauti Sol (Kenya) and Alikiba (Tanzania) release UNCONDITIONALLY BAE, a danceable love ballad. In the song, Sauti Sol and Alikiba sing about the difficulty of finding love in the modern day world...
Steve Nyerere
MSANII wa filamu Bongo, Steven Mengere ‘Steve Nyerere’ ameshikilia bango la kutaka filamu za nje zizuiwe hapa nchini kwa kuamini kuwa, soko la filamu za Kibongo litazidi kutanuka na...
MENEJA Mawasiliano wa Hifadhi za Taifa (Tanapa), Pascal Shelutete, amesema wasanii wa filamu nchini wanatakiwa kutumia mandhari za asili zilizoko katika hifadhi za Taifa kwa ajili ya kurekodi...
Vibao vzake hivi viwili vilikuwa nalaa
Prince Rogers Nelson, was an American singer, songwriter, multi-instrumentalist, record producer, and actor. Prince was renowned as an innovator...
Ni kibao Wenze Ya Mizemba,wewe kama ni shabiki au mlevi wa bolingo laini basi ukiusikiliza au kuangalia video yao hawa jamaa wanavyobadirishana verse,pozi na madada walio na miguu saaaaafi...
https://soundcloud.com/johnbruddatz/hunter-classic-wathamanii
HIYO NI LINK YA NYIMBO ZANGU,
NIMEKUA NIKIFANYA MUZIKI KWA MIAKA KADHAA KWASABABU NAPENDA MUZIKI NA NATAMBUA NINAKIPAJI CHA UTUNZI NA...
Wadau hii movie niliangalia zamani ila siikumbuki jina.
Kuna dogo Wa kiume alipotea porini na kule porini kulikuwa na dubu mmoja ndio alikuwa anamlinda. Baadae alikuja kuokolewa na helicopter...
Wadau mimi sipondi ila bongo tunahitaji nguvu ya ziada ili kufika hivi viwango.
Huyu dada ni Muisrael anaitwa Rudi Bainesay.
Anaimba hadi hatari, kawafunika wenye hizi nyimbo
Natural Woman by...
Kuna filamu ya kitambo sana, jina limenitoka naitafuta!
Jinsi ilivyo:
Ni comedy ya jamaa anapanda mbegu ya mti na baada ya muda ule mti unakuwa mrefu zaidi hadi mawinguni, napo mawinguni kuna...
TV1 inakuja kwa kasi
Nimependa kipindi chao kipya cha BOYS BOYS kinachoendeshwa na Mwisho Mwampamba.
Mpangilio wa studio, mada zao, host yuko charming , fun & on topic.
Wana min bar na vinywaji...
Gb 20...kwa Tsh. 10,000
Including latest Gods of egypt, bloodpool, southpark (cartoonseries), kungfu panda 3...!
nakuwekea kwenye external hard drive au kwenye dvd.
Piga: 0655-659-115...
1. I'll keep loving you- David Guetta ft Birdy & Jaymes Young
2. Ella Henderson- Yours
3. Jealous- Labrinth
4. Paradise- Cold Play
5. Olly Murs- Kiss me
CC: MGuccI
MWIGIZAJI wa filamu na msanii wa Bongo Fleva, Hemed Suleiman ‘Hemedy PhD’, amesema kwamba hataacha kutumia vipodozi kwa kuwa humuweka nadhifu na humwongezea mvuto wa mwili wake.
Hemed anayetamba...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.