Entertainment

Cinema listings, TV shows, Music, Gigs, Exhibitions, Theatre, Clubbing, Comedy and much more...

On JF:

Hi kwa sana wana JF Naomba msaada kwenu nilikuwa nahitaji link ambayo naweza kuupata wimbo wa zilipendwa au mwenye nao wa "teddy wana Zanzibar" uliopigwa na bendi ya DDC mlimani park okestra...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Watoto nchini Uganda wametengeneza video wakicheza nyimbo maarufu “Sorry” ya msanii Justin Bieber. Mwimbo huu umekuwa maarufu sana dunia nzima na watu wengi wametengeneza video tofauti tofauti...
1 Reactions
0 Replies
1K Views
Huu ni wimbo wake mpya
1 Reactions
0 Replies
755 Views
Sauti Sol (Kenya) and Alikiba (Tanzania) release UNCONDITIONALLY BAE, a danceable love ballad. In the song, Sauti Sol and Alikiba sing about the difficulty of finding love in the modern day world...
7 Reactions
199 Replies
41K Views
Steve Nyerere MSANII wa filamu Bongo, Steven Mengere ‘Steve Nyerere’ ameshikilia bango la kutaka filamu za nje zizuiwe hapa nchini kwa kuamini kuwa, soko la filamu za Kibongo litazidi kutanuka na...
2 Reactions
160 Replies
13K Views
MENEJA Mawasiliano wa Hifadhi za Taifa (Tanapa), Pascal Shelutete, amesema wasanii wa filamu nchini wanatakiwa kutumia mandhari za asili zilizoko katika hifadhi za Taifa kwa ajili ya kurekodi...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Habari Jf Naomba mwenye huo wimbo hapo juu.
0 Reactions
40 Replies
5K Views
Vibao vzake hivi viwili vilikuwa nalaa Prince Rogers Nelson, was an American singer, songwriter, multi-instrumentalist, record producer, and actor. Prince was renowned as an innovator...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Ni kibao Wenze Ya Mizemba,wewe kama ni shabiki au mlevi wa bolingo laini basi ukiusikiliza au kuangalia video yao hawa jamaa wanavyobadirishana verse,pozi na madada walio na miguu saaaaafi...
2 Reactions
4 Replies
6K Views
https://soundcloud.com/johnbruddatz/hunter-classic-wathamanii HIYO NI LINK YA NYIMBO ZANGU, NIMEKUA NIKIFANYA MUZIKI KWA MIAKA KADHAA KWASABABU NAPENDA MUZIKI NA NATAMBUA NINAKIPAJI CHA UTUNZI NA...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Wadau hii movie niliangalia zamani ila siikumbuki jina. Kuna dogo Wa kiume alipotea porini na kule porini kulikuwa na dubu mmoja ndio alikuwa anamlinda. Baadae alikuja kuokolewa na helicopter...
0 Reactions
1 Replies
792 Views
Mama huyu wa kijijini analicharaza gitaa kwa staili yake isiyo ya kawaida.
1 Reactions
3 Replies
1K Views
Wadau mimi sipondi ila bongo tunahitaji nguvu ya ziada ili kufika hivi viwango. Huyu dada ni Muisrael anaitwa Rudi Bainesay. Anaimba hadi hatari, kawafunika wenye hizi nyimbo Natural Woman by...
1 Reactions
5 Replies
2K Views
Kuna filamu ya kitambo sana, jina limenitoka naitafuta! Jinsi ilivyo: Ni comedy ya jamaa anapanda mbegu ya mti na baada ya muda ule mti unakuwa mrefu zaidi hadi mawinguni, napo mawinguni kuna...
0 Reactions
7 Replies
1K Views
TV1 inakuja kwa kasi Nimependa kipindi chao kipya cha BOYS BOYS kinachoendeshwa na Mwisho Mwampamba. Mpangilio wa studio, mada zao, host yuko charming , fun & on topic. Wana min bar na vinywaji...
2 Reactions
16 Replies
3K Views
Wimbo mpya wa dogo janja_my life... kumbe wameendeleza tabia ya kucopy beat na flow za wenzetu...
1 Reactions
12 Replies
3K Views
Gb 20...kwa Tsh. 10,000 Including latest Gods of egypt, bloodpool, southpark (cartoonseries), kungfu panda 3...! nakuwekea kwenye external hard drive au kwenye dvd. Piga: 0655-659-115...
1 Reactions
0 Replies
1K Views
1. I'll keep loving you- David Guetta ft Birdy & Jaymes Young 2. Ella Henderson- Yours 3. Jealous- Labrinth 4. Paradise- Cold Play 5. Olly Murs- Kiss me CC: MGuccI
2 Reactions
1 Replies
962 Views
MWIGIZAJI wa filamu na msanii wa Bongo Fleva, Hemed Suleiman ‘Hemedy PhD’, amesema kwamba hataacha kutumia vipodozi kwa kuwa humuweka nadhifu na humwongezea mvuto wa mwili wake. Hemed anayetamba...
0 Reactions
17 Replies
5K Views
Diamond alipofika Manhattan ndani ya jiji la New York... NDANI YA NEW YORK CITY, USA.
0 Reactions
4 Replies
7K Views
Back
Top Bottom