Somebody tell me about trap music.Siku hiz naskiaga Kuna aina ya mziki trap music.Najua kidogo Tu Kama trap soul,trap rap,edm, na style Yao ya kuimba Kama turn twister.
Wasanii Kama future,Fetty...
Habari zenu wana JamiiForums,
Kama kuna mtu alishawahi kuusikiliza au kuuona wimbo wa nzige unoitwa chumba cha mtihani namuomba akoment baadhi ya mashairi yaliyopo kwenye wimbo huo .
Verse 1...
Wenge BCBG mwaka 1999 walitoa album yao inayoitwa TITANIC yenye nyimbo kumi,hakika labum hii kwangu mimi ndio album bora ya rumba kewahi kutokea.Kila wimbi utakaousikiliza hutamani uishe zaidi...
Je unapenda kuwa mwanamziki Tanzania timiza ndoto yako?
Habari za Jioni waungwana,
Baada ya utafiti usio rasmi kwa hapa Tanzania, hasa hasa jiji la Dar es salaam, kuna vijana wengi sana wakike...
Nimesikiliza miziki/nyimbo zao nikagundua hawa jamaa walikuwa wakali sana.
Franco Luambo Makiadi akiwa na TP OK JAZZ alirekodi miziki mingi iliyotamba si Africa tu bali mpaka bara ulaya...
Wizara ya Habari,Utamaduni, Sanaa na Michezo imetangaza kuwachukulia hatua kali za kisheria wasanii ambao watakiuka agizo la kufanya video za muziki na kuzitoa bila kukaguliwa na Bodi ya Filamu...
Wadau hebu leo tutoe ya moyoni kuhusu watangazaji wetu wa redio na televisheni.. Ni yupi anayekuboa zaidi kufikia hatua ya kubadilisha hata channel unapomsikia?
Kwa upande wangu ni watangazaji...
Tasnia ya filamu Tanzania(Bongo Movie) inazidi kukua kwa kasi, si tu nyumbani hata nje ya nchi watanzania wanazidi kung’ara. Safari hii mtoto wa kitanzania aitwaye Evan Byarushengo amabahatika...
Kitukio la kufungiwa kwa wimbo wa chura kumeendelea kuonyesha ni kwa kiasi gani hili taifa wenye mamlaka wamekosa umakini ( watu wasio na uwezo) kwenye taasisi muhimu na sehemu mbali mbali za...
Mjadala wa Wikienda: Tatizo siyo chura wala Snura; tatizo ni sisi wazazi. Wazazi watawajibishwa vipi?
Mbona kuna vitu vingi sana ambavyo vingine vinakera zaidi ya hili la chura; na wazazi...
Huyu anaitwa Charlie Puth mara ya kwanza nilimsikia kwenye wimbo wa Wiz Khalifa_see u again... ndo aliteimba ile chorus.. saiv ana album yake inaitwa Nine Track Mind... yuko vizur sana na ana...
Leo nimepanda tena hapa JF nikiwa upande mmoja na upande huo siyo mwingine bali ni ule upande wa ile bongo flava ya P-FUNK MAJANI, MWIKA MWAMBA, MJ na wakali wote waliowahi kukipiga vyema katika...
Radio hii sio siri itachana mawimbi ujio wa hando na pj unaongeza nguvu kipind chao cha joto la asubuhi nakumbuka walivyokuwa wanasoma vuzur magazet na kudadisi yafaa sasa na magazet yawepo hapo...
Nikiwa kama mfuasi namba moja hapa Tanzania kama siyo Afrika ya Mashariki wa Bendi ya Wenge Musica BCBG inayoongozwa na Bingwa au Fundi au Mtaalam mwenyewe Kiongozi Jean Bedele Tshituka Mpiana...
Jumatatu ya tarehe 2 May ndio utambulisho rasmi wa magwiji wa vipindi vya asubuhi redioni Gerrard Hando aka Mzee Mkuda na Paul James aka PJ wakiwa ndani ya kituo kipya cha E.FM 93.7
Unadhani kati...
Ebwana wanaJF Mzuka!
Sikufaham kabisa huu wimbo wa Wake up Papa Wemba fet Kofi Olomide. Nimeusikiza Leo mara nying Youtube. Ni wimbo mzur sana. Cha kushangaza hauna promo hata viewers na likes Ni...
There's a day of feasting and a day of famine
Day of sadness and a day of joy
You could see in the day of feasting
Life isn't just a little play-like toy.
So the day arrived when you least...
JOSEPH KUSSAGA(kushoto) na RUGE MUTAHABA (kulia) (wadogooo) wakiwa na DJ MIND MOTION (katikati) wakati huo alikuwa ni NUMBER ONE DJ wa SAN FRANSISCO, hapo ilikuwa ni MAREKANI mwaka 1998...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.