Samahani wadau wa jamvini mwenye wimbo ule wa ccm uliimbwa mwishoni siku ya uzinduzi wa kampeni pale jangwani. Umeimbwa na TOT tune yake inaimba 'chaama cha mapinduzi chaama mara 2 then kazi...
1. Zayn Malik- Befour
2. Mike Posner- I took a pill in Ibiza
3. Alessia Cara- Scars to your beautiful
4. Cold Play- Hymn for the weekend
5. Lady Jay Dee- Ndi ndi ndi
6. Lokua Kanza- Plus Vivant
7...
Wadau mimi niko na swali kwa muda mrefu limenikaa kichwani na kinywani pia!hivi kwanini hakunaga mtangazaji wa kipindi cha taarab wa kiume?hii ni kote kote kwenye tv na redio stations zote...
Wale washabiki na wadau wa mziki wa bongi fleva. Hivi song gani la king kiba unalikubali sana.
Mie binafsi ni hii hapa
"Mara ya mwisho mi nawe, kuonana kipindi kile twasoma..
Shule ya msingi...
Wakuu msaada hii hadithi nilikua naifatilia hapa lakini siku hizi kila nikingia jukwaani siioni naomba kwa anayejua anielekeze ilipo maana tamu sanaaaa
Mwanamziki Mkongwe Lady Jay Dee ameachia Single inayokwenda kwa Jina la "Ndi ndi ndi" ambayo ameichia leo baada ya ule muda mrefu wa Matangazo ya Jay Dee anaamka tena
Asalaam wadau...
Wimbo wa On Top Of The world, kwangu ni wimbo unao amasisha saaana...
Jaribu kuufuatilia...
Very high self esteem!
[Intro: Ludacris (T.I.)]
Rich by popular demand (The wait...
One among my coolest songs i spent listening this weekend.
Freedom- Pharrell Williams
Get lucky- Daft Punk ft Pharrell Williams
Adventures of a life time- Cold Play
Something Inside so...
Huu wimbo sikumbuki ni msanii gani aliimba ila Mr Blue alishirikishwa kwenye chorus na kiitikio chake kilikua kina sema "me sielewi aaaaaaaah,anataka nini aaaaaaah.....ina biti nzito na jamaa...
Jina la msanii simjui lakin ni kama mlemavu wa ngozi,jinsi unavyoibwa masela wangu ehe sina pamba za kupandia jukwaani nifanye nini au niache fani,mwenye kuujua au ambaye anao anitumie tafadhali
Ni wa miaka mingi kidogo lakini siukumbuki jina lake.Nakumbuka kati ya 2002 au 2004 ulikuwa unachezwa radioni tu, sana sana Clouds FM. Waimbaji wa wimbo huu ni yule dada wa kuitwa Keisha na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.