Entertainment

Cinema listings, TV shows, Music, Gigs, Exhibitions, Theatre, Clubbing, Comedy and much more...

On JF:

Samahani wadau wa jamvini mwenye wimbo ule wa ccm uliimbwa mwishoni siku ya uzinduzi wa kampeni pale jangwani. Umeimbwa na TOT tune yake inaimba 'chaama cha mapinduzi chaama mara 2 then kazi...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
1. Zayn Malik- Befour 2. Mike Posner- I took a pill in Ibiza 3. Alessia Cara- Scars to your beautiful 4. Cold Play- Hymn for the weekend 5. Lady Jay Dee- Ndi ndi ndi 6. Lokua Kanza- Plus Vivant 7...
1 Reactions
0 Replies
674 Views
Wadau mimi niko na swali kwa muda mrefu limenikaa kichwani na kinywani pia!hivi kwanini hakunaga mtangazaji wa kipindi cha taarab wa kiume?hii ni kote kote kwenye tv na redio stations zote...
0 Reactions
31 Replies
4K Views
dah iyo video nmeikubali kwakwel Good job
1 Reactions
0 Replies
1K Views
Wale washabiki na wadau wa mziki wa bongi fleva. Hivi song gani la king kiba unalikubali sana. Mie binafsi ni hii hapa "Mara ya mwisho mi nawe, kuonana kipindi kile twasoma.. Shule ya msingi...
2 Reactions
14 Replies
2K Views
Hii ni Art au Sayansi?
1 Reactions
2 Replies
1K Views
1 Reactions
4 Replies
4K Views
Wakuu msaada hii hadithi nilikua naifatilia hapa lakini siku hizi kila nikingia jukwaani siioni naomba kwa anayejua anielekeze ilipo maana tamu sanaaaa
0 Reactions
2 Replies
5K Views
Mwanamziki Mkongwe Lady Jay Dee ameachia Single inayokwenda kwa Jina la "Ndi ndi ndi" ambayo ameichia leo baada ya ule muda mrefu wa Matangazo ya Jay Dee anaamka tena
1 Reactions
22 Replies
10K Views
Asalaam wadau... Wimbo wa On Top Of The world, kwangu ni wimbo unao amasisha saaana... Jaribu kuufuatilia... Very high self esteem! [Intro: Ludacris (T.I.)] Rich by popular demand (The wait...
1 Reactions
5 Replies
1K Views
One among my coolest songs i spent listening this weekend. Freedom- Pharrell Williams Get lucky- Daft Punk ft Pharrell Williams Adventures of a life time- Cold Play Something Inside so...
2 Reactions
3 Replies
770 Views
0 Reactions
1 Replies
917 Views
SIKILIZA MZIGO MPYA WA DIAMOND PLATNUMZ FT P SQUARE ALAFU UNIAMBIE NIAJE
0 Reactions
9 Replies
7K Views
Hii picha ina ukweli wowote ,, nimekutana nayo mitandaoni.. Ni kweli chid benz
1 Reactions
4 Replies
4K Views
Hii picha ina ukweli.. Nimekutana nayo pahala
0 Reactions
1 Replies
930 Views
Huu wimbo sikumbuki ni msanii gani aliimba ila Mr Blue alishirikishwa kwenye chorus na kiitikio chake kilikua kina sema "me sielewi aaaaaaaah,anataka nini aaaaaaah.....ina biti nzito na jamaa...
0 Reactions
0 Replies
958 Views
Jina la msanii simjui lakin ni kama mlemavu wa ngozi,jinsi unavyoibwa masela wangu ehe sina pamba za kupandia jukwaani nifanye nini au niache fani,mwenye kuujua au ambaye anao anitumie tafadhali
0 Reactions
2 Replies
4K Views
Ni wa miaka mingi kidogo lakini siukumbuki jina lake.Nakumbuka kati ya 2002 au 2004 ulikuwa unachezwa radioni tu, sana sana Clouds FM. Waimbaji wa wimbo huu ni yule dada wa kuitwa Keisha na...
0 Reactions
4 Replies
6K Views
Back
Top Bottom