Mwimbaji nyota wa FM Academia, Malu Stonch amefariki dunia baada ya kuanguka ghafla jukwaani.
Hali hiyo imetokea katika ukumbi wa Target Mbezi, Beach, Jumamosi usiku wakati mwimbaji huyo akiwa...
Paul Walker
Muigizaji wa Marekani, Paul Walker aliyekuwa akiigiza kwenye filamu ya Fast & Furious amefariki dunia kwa ajali ya gari California.
Msemaji wake ametoa taarifa ya kifo chake kupitia...
Msiba mkubwa kwa wanamuziki wa dansi. Mwanamuziki maarufu wa dansi, Hussein Jumbe amefariki dunia leo Jumatatu Aprili 10, 2023.
Jumbe aliyeitwa Mzee wa Dodo na Mtumishi aliwahi kupitia bendi za...
Msanii wa muziki wa kizazi kipya aliyewahi kutamba na ngoma yake ya Nilonge Nisilonge miaka kadhaa iliyopita, Hamis Juma Mbizo (H Mbizo) amefariki dunia.
Msiba wa H- Mbizo umetokea katika...
DMX ambaye jina lake la kuzaliwa ni Earl Simmons amefariki dunia akiwa na umri wa miaka 50
- Mnamo tarehe 3 April 2021 lilazwa katika hospital ya White Plains Jijini New York ikielezwa kuwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.