Kwani wazazi wako unawabeba mgongoni? kwani ukiwa mbali huwezi kuwatunza?Ndugu Perry nahitaji kurudi nyumbani kutunza wazazi wangu.
Kwani wazazi wako unawabeba mgongoni? kwani ukiwa mbali huwezi kuwatunza?
Wewe ndio unatumia masaburi! kama mzazi ni mzee wa kufanyiwa kila kitu ni dhahiri kabisa kwamba lazima apatikane mtu wa kua nae muda wote sasa huyo Mwalimu inamaana atakua haendi kazini na kubaki mzazi nyumbani ? Ndio maana huwa mnanyimwa uhamisho kwa sababu mnatoa sababu nyepesi sana. waalimu wenye hoja za msingi huwa wanahamishwa kirahisi sana bila kupata mtu wa kubadilishana nae, tatizo mliowengi hamjui kujenga hoja.hoja yenu ni hiyo hiyo ya kutunza wazaziushawahi kutunza mzazi mzee au mgonjwa wakutegemea kupewa kila huduma... "Masaburi thinking''
Wewe ndio unatumia masaburi! kama mzazi ni mzee wa kufanyiwa kila kitu ni dhahiri kabisa kwamba lazima apatikane mtu wa kua nae muda wote sasa huyo Mwalimu inamaana atakua haendi kazini na kubaki mzazi nyumbani ? Ndio maana huwa mnanyimwa uhamisho kwa sababu mnatoa sababu nyepesi sana. waalimu wenye hoja za msingi huwa wanahamishwa kirahisi sana bila kupata mtu wa kubadilishana nae, tatizo mliowengi hamjui kujenga hoja.hoja yenu ni hiyo hiyo ya kutunza wazazi
Wewe ndio unatumia masaburi! kama mzazi ni mzee wa kufanyiwa kila kitu ni dhahiri kabisa kwamba lazima apatikane mtu wa kua nae muda wote sasa huyo Mwalimu inamaana atakua haendi kazini na kubaki mzazi nyumbani ? Ndio maana huwa mnanyimwa uhamisho kwa sababu mnatoa sababu nyepesi sana. waalimu wenye hoja za msingi huwa wanahamishwa kirahisi sana bila kupata mtu wa kubadilishana nae, tatizo mliowengi hamjui kujenga hoja.hoja yenu ni hiyo hiyo ya kutunza wazazi
Usijali mkuu. nami pia nisamehe in case i have offended you.ambacho nakiri nimekosea ni kutumia offensive language ..''m*s*b#r'' sorry mkuu..hopefully there is no hard feelings
Usijali mkuu. nami pia nisamehe in case i have offended you.
Unaweza kutuambia ni sababu gani znazokufanya upakimbie huko kahama ndugu mwalimu?