Kwa mwalimu yeyote wa sekondari aliye mkoa wa mbeya wilaya yeyote ile anayetaka kuja wilaya ya kwimba-mwanza, naomba uni "pm" au tuwasiliane kwa namba zifuatazo:

0759 92 98 61 au 0763 24 36 24

au 0788 98 35 97
 
NJOO KILINDI TANGA nije korogwe...lushoto...mkinga...muheza....bagamoyo...rufiji...kisarawe...kibaha...chalinze....mkuranga....kilosa...gairo...moro mjini...mvomero....ilala...temeke...kinondoni....mbeya mjini...rungwe...iringa mjini....songea....mbinga....tuwasiliane kwa 0686 973 854
 
NJOO KILINDI TANGA nije korogwe...lushoto...mkinga...m uheza....bagamoyo...rufiji...k isarawe...kibaha...chalinze... .mkuranga....kilosa...gairo... moro mjini...mvomero....ilala...tem eke...kinondoni....mbeya mjini...rungwe...iringa mjini....songea....mbinga....t uwasiliane kwa 0686 973 854
 
Njoo biharamulo idara ya sec nijje arusha wilaya ya rongido,himo kirimanjaro,na mwanza bunda au tanga wilaya handeni au korogwe no za cm 0764841249
 
oo Arusha DC nije morogoro manispaa.idara sekondari.nafundisha ilboru sec. Mawasiliano 0764776655, au 0658221998
 
Jamani anaetaka kuja Singida nije mikoa ya kaskazini....wilaya yoyote....

Arusha
Kilimanjaro

Idara ya Sec 0769591585
 
Daah Najuta kupangwa Singida(kwanza sikupachagua)sio siri!!Watu wa huku hawataki hata kurudi makwao...

Hapa nikirudi home nikatafute tu cheti cha Ugonjwa maana kubadilishana imeshindikana!!
 
Nenda CHATO_GEITA ndugu yangu aje MBEYA wilaya yoyote. Idara ya sekondari. Nitumie msg kwa pm.
 
Natafuta mwalimu wa kubadilishana nae niko mkoa wa MTWARA, wilaya ya TANDAHIMBA; nataka kuhamia wilaya yoyote ya mkoa wa TANGA au KILIMANJARO. Mimi mwalimu wa sekondari.
 
Back
Top Bottom