nadhani hii yote ni kwa sababu ya changamoto za walimu. maisha sio.. serekali haitujali hadi tunachagua pa kufanyia kazi. mi niko mbeya nataka kwenda songea je yupo wa kubadilishana nae jamani?
 
Wakuu msaada tafadhali.
Naomba kwa anayehitaji kuhamia Chamwino kwa kubadilishana toka wilaya yoyote ya Mkoa wa Dar es Salaam,Wilaya ya Kibaha na Mkuranga tafadhali sana naomba ani PM.

Mwalimu anayetafutwa ni wa Grade A. Nawashukuruni sana
 
mie niko olympio dar nataka kwenda kintinku Dodoma ama naputa tandahimba yupo wa kubadilishana?
 
  • Thanks
Reactions: o2s
mkuu the deala upo chamwno shule gani? me npo dar

Kiongozi sio mm ila ndg yangu mmoja hv naweza kukuunganisha nae, yupo karibu na sehemu moja hv panaitwa ''fufu'' pale panapita magari yanayokwenda iringa, kama unaweza ingia kwenye google map utapaona vizuri zaidi.

Pale ni pazuri sana kwa mtu mwenye malengo ya mbali kwa mfano:

a. unaweza kulima alizeti na kuuza baada ya kuvuna, ina bei nzuri sana na zaidi ukiuza mafuta yake

b. lakini pia unaweza kufuga kuku wengi tu na kuwauzia wafanyabiashara wa kuku wanaotoka dar(hapa kuna wanaonunua na kupeleka sokoni dodoma na kisha kuwauzia wafanyabiashara wa dar na kuna wanaonunua direct kutoka huko na kupeleka dar penye soko kubwa zaidi)

c. kuna uwezo mkubwa sana wa ku-save vijisenti vyako kwa sababu gharama ya maisha ya pale ni almost karibu na below zero, pale kuna baadhi ya walimu wamebadilisha maisha sana kwa kuishi kwao huko, just imagine lita moja ya maziwa ni sh. 500!!!! wakati dar nish. 1500!!!! Kwa mwenye long term plans hasa za ku-save hela papo bomba sana!

d. unaweza pia kufuga ng'ombe, mbuzi, kondoo kwa kushirikiana na wazazi wa pale, and the end ukawa upo poa sana kiuchumi(mwalimu mkuu wa pale anasomesha watoto wake ulaya kwa kuuza ng'ombe tu, mtoto mmoja yupo udsm na hana mkopo anasomeshwa na babake)

e. unaweza ukaamua kufanya ujasiriamali wa bidhaa mabalimbali kutoka dar na kupeleka dom, hasa kama utalink na mtu aliepo dar kwani kule bado sio tz kule kiasi fulani ni tanganyika katika huduma za kijamii ila zahanati zipo

f. unaweza ukaanzisha studio yako ya kuonyesha filamu za akina kanumba, i promise utakula vimiamia vyao hadi utachoka, achilia mbali playstations!

g. unaweza ukawa unachajisha simu tuu, baaaaaaaas! na ukaishi vizuri sana, nitafute nikupe mpango wa solar ukaamke kimaisha huko dom(huwezi kujua pale panaweza kuwa ndio chimbuko la kuaga kwako umaskini, maradhi, ujinga na ccm!)
Yeye anafuga kuku, analima alizeti ila anapaswa kuhama kumfuata mumewe aliepo dar kikazi!!

Zaidi call me through 0687 332 864(or sent me sms)

NB:
Kama utataka mtu wa kulink naye kwenye business za kutoka dar, nitafute tufanye pamoja!!

Natanguliza shukran!!
 
Sasa si useme kama unataka kubadilishana? Sio lazima upangiwe shule anayotoka. Mimi pia nipo Chamwino tubadilishane basi Mkuu

SG8 upo shule ipi pale chamwino?? isije ikawa ndo wewe nakuongelea humu jamvini!!
 
Mimi ni mwalimu nipo wilaya ya Bagamoyo natafuta mwalimu wa shule ya msingi wa manisipa ya Tanga wa kubadilishana nae. Mawasiliano .mwangaza.lyimo339@gmail.com
 
haina haja ya kugugo fufu nmepta mara nying sana sana so napafahamu tatzo dar kuna ktegauchumi ndo knaanza kunlpa
 
nafanya kazi wilaya ya rorya Mkoa wa mara napenda kwenda musoma mjini au tarime mwalim mwenye hitaji tuwasiliane (secondari)
 
Mi niko Mahenge- Ulanga, Morogoro, nataka kwenda Tandahimba- Mtwara, aliye tayari tuwasiliane! mwalimu wa shule ya msingi.
 
nafanya kazi wilaya ya rorya mara napenda kwenda musoma mjini mwalim mwenye hitaji tuwdiliane

DUUUUUUUH
Kasi ya mauaji Musoma yaongezeka T
Details
Imechapishwa Ijumaa, 08 Februari
2013 22:03
Imeandikwa na Erasto Mkumbange,
Butiama Imesomwa mara: 55 KIJANA mmoja aliyetambulika kwa jina la Magere.

Masatu Mkazi wa Mtaa wa Nyakato,
Wilaya ya Musoma ameuawa kisha
kutupwa mtoni. Katika tukio hilo
wanajeshi waliingilia kati na kufanikiwa kudhibiti maafa zaidi baada ya nyumba moja ya mtuhumiwa wa mauaji hayo kuchomwa moto.

Baadhi ya mashuhuda wa tukio hilo la
Februari 4 mwaka huu katika kijiji cha
Etaro wilayani humo, walisema kuwa siku ya tukio marehemu aligongana na
pikipiki ambapo marehemu aliamua
kumlipa fedha aliyegongana naye lakini balozi wa eneo la tukio
alipelekewa pikipiki ya marehemu kwa
ajili ya kuihifadhi. Baada ya tukio kweli pikipiki ilichukuliwa na kupelekwa kwa balozi wakati wanakwenda kuna vijana wawili walikuwa wakifuatilia kwa nyuma, na baada ya hapo marehemu
hakuonekana tena hadi jana alipoonekana amekufa na yupo ndani
ya mto, alisema shuhuda aliyekataa
kutaja jina lake.

Baada ya waendesha pikipiki wa Wilaya ya Musoma kupata taarifa kwa kuuawa kwa mwenzao walikwenda na kuvamia kijiji hicho kwa kuwapiga baadhi ya wananchi na balozi ambaye alikuwa amehifadhi pikipiki hiyo kisha kumtaja mmoja wa wauaji hao kuwa ni Koti Magee mkazi wa kijiji hicho.

Waendesha pikipiki hao walikwenda hadi kwa mtuhumiwa huyo na walimkuta lakini alifanikiwa
kuwatoroka kisha kukimbilia ziwani na
kujitosa kwenye maji kuogelea ikiwa
ndio pona yake.

Baada ya kumkosa vijana hao walirudi nyumbani anapoishi kijana huyo ambaye anaishi na baba yake mzazi aliyejulikana kwa jina la Magee Saganda kisha kuitia moto nyumba moja na kuteketea kabisa.

Wanajeshi wa Jeshi la Ulinzi la
Wananchi wa Tanzania waliwahi kufika
katika eneo la tukio na kuzuia uchomaji moto wa nyumba zingine.

Jeshi la polisi baada ya kufika lilichukua mwili wa marehemu na Balozi wa eneo hilo Peter Mabojano na baadhi ya wananchi wa kijiji hicho kwa
ajili ya mahojiano zaidi.

Mwili wa marehemu umepelekwa katika. Hospitali ya Mkoa huo na
umehifadhiwa katika chumba cha
kuhifadhia maiti kwa ajili ya taratibu
za mazishi. Tukio hili ni la tano kutokea katika wilaya ya Butiama kuanzia Novemba mwaka jana hadi
Februari mwaka huu.

Matukio hayo ni pamoja na la Desemba 21, mwaka huu saa 5:30 usiku Tabu Makanya (68) Mkazi wa Kijiji cha Kwikuba alichinjwa lakini watuhumiwa wakiwa katika harakati ya kuondoka na kichwa chake waliwahiwa na wananchi kisha kukitupa.

Tukio lingine lilitokea Desemba 2, Blandina Peru alichinjwa
na kuchukuliwa damu yake tu na Sabina Mkireri wa kijiji cha Kabegi, alichinjwa na kuondoka na kichwa
chake. Aidha kijana aliyetambuliwa
kwa jina la Thomas Majengo (23-28)
Mkazi wa Kiara, Musoma Mjini
alichinjwa na kunyang'anywa pikipiki.
 
m education officer grade II nipo njombe vijijini (mtwango )nataka kwenda iringa mjini. aliyetayari tuwasiliane kwa pm.
 
Back
Top Bottom