KAREEM2011
Member
- Feb 12, 2015
- 34
- 4
Njo kasulu mji idara sec nije bariad mji, nzega mji,geita mj,chato au halmashaur ya mji yoyote kanda ya ziwa:0683120745
Kwa wale wiomba uhamisho majina yameshatoka kaangalie kama umebahatika. Namshukuru mungu sanaaaa Mimi nimebahatikaa. Inawezekana kuhama jaribu bahati yako.
Kwanza uwe umeshathibitishwa kazini. Pili uwe na sababu ya msingi ya wewe kuhama eidha unacheti cha ndoa,au sababu za kiafya. Tatu unaandukabarua na kuambatanisha hiyo sababu. Nne unaanza kuizungusha kusainiwa kuanza na mkuu wako wa shule afisa elimu then unapeleka huko unakotaka kuhamia ila uwe umeshaomba nafasi nao watasaini kukubali kukupokea then itarudi kwako utaandika nyingine kwenda tamisemi ukiambatanisha hiyo iliyosainiwa pamoja nabarua ya kuajiriwa, tsd no, salary slip ya karibuni. Kwenye hiyo barua inayosainiwa huko wanapokupokea hakikisha wanakupa nafasi ya Mel meingine eidha amefariki au amehama. Hili nilamsingi sanaaa. No hivyo tuuu.