Mryshow Master
Member
- Sep 2, 2016
- 67
- 104
Njoo Geita - bukombeMimi ni mwalimu wa chemistry na biology natafta mtu wa kubadilishana naye kituo cha kazi ye aje arusha mi niende mwanza
Njoo Geita - bukombeMimi ni mwalimu wa chemistry na biology natafta mtu wa kubadilishana naye kituo cha kazi ye aje arusha mi niende mwanza
Kwani Ralimu eh njooeni.. basi pwani mafia nije chalinze..mkuranga..kibaha dc. Hata tanga basi.Walimu wa msingi mnakwama wapi jamani njooni Ruangwa mfaidi fursa... walimu watatu wanatafuta wa kubadilishana nao kutoka mkoa wowote ilimradi isiwe Lindi Mtwara wala Ruvuma... lengo wasogee karibu na nyumbani wana miradi yao, wala siyo kwamba kuna la zaidi
Njoo pm
Njoo Iringa, nije hukoWalimu eh njooeni.. basi pwani mafia nije chalinze..mkuranga..kibaha dc. Hata tanga basi.
Umeshapata tuwasiliane kilakalaa@gmail.comNjoo mafia basi nije hapo Iringa 0679153417
Ngoja ntakuchekiNjoo Geita - bukombe
Watu sijui uwapende vipi hata... jamani nipo siriazi na ninaandika hii kwa mara ya mwisho ukichezea bahati hii utakuja kunitafuta na usiipate tena
ANAETAKA KUJA RUANGWA MIMI NIPO TAYARI KWENDA POPOTE PALE (MSINGI) ILIMRADI TU ISIWE MIKOA YA MTWARA LINDI NA RUVUMA... JAPO IKIWA KASKAZINI MWA RELI YA KATI NITAFURAHI ZAIDI
Kasulu naipataTatizo watu hawataki kurudi makwao. Mm naangaika kuwashawishi WAHA waje huku Kasulu mjini. Lakin wapiiiii.
Hahahahahah huwa nafurahi ssna aiseeNshaanda mkuu
Yaan mtu atoke dar aende tarime? Ulisikia wapi
HahahahahahaHaya fanyeni fasta namuhamisha mke wangu mtarajiwa kutoka Lushoto aje tanga jiji,kibaha dc,kibaha town,moro town
Fanyeni fasts nishatoa mahali wasambaa wananichapia demu wangu.