Upo wilaya ipi mwanza
upo Mwanza sehemu gani.Njoo mwanza nije tabora
wasiliana na Mimi 0766274935Njoo mwanza nije tabora
NAOMBA USHAURI KUTOKA KWENU WALIMU.
Habari za join wakuu. Nina mdogo wangu amemaliza darasa la saba mwaka huu. Ni miongoni mwa waliofauru mitihani yao. Amemaliza shule msingi Kahama ninahitaji kumfanyia utaratibu ili aje asomee Dar es salaam na mm najua hawezi chaguliwa nje ya mkoa wake kutokana na ongezeko la shule za kata. Ni hatua gani ninatakiwa kuzifuata na ninapaswa kufanya utaratibu gani? Mawazo yenu ni ya msingi sana
Simu yangu 0786446650ANAYE TAKA KUJA MWANZA JIJI.
idara ya sekondari mimi nije dodoma chamwino
Hivi awamu hii ya tano kubadilishana vituo bado kupo ?
Njoo geita dc Mimi nije mbeya,songwe,njombe,iringa,sumbawanga ,mawasiliano 0765987333Mimi ni mwalimu niko mkoa wa Arusha wilaya ya Monduli. Natafuta mwalimu wa kubadilishana nae yeye aje mko wa Arusha mimi niende mkoa wa Kilimanjaro Wilaya yoyote.
Mm nipo geita nataka kuja sumbawangaMie nipo Mbeya nataka kuja Moro. Kama vp 2badilishane.