Baba kaila
Member
- May 16, 2014
- 23
- 16
Njoo Nzega mji niende Arusha DC or meru ...idara elimu sekondari
0756430325
0756430325
HaaassWalimu mlioko dar na Arusha mkipata dharura ya pesa msisite kunitafuta unapata ndani ya dakika 15
Uko minepa nn?Njoo ulanga shule iko karibu na ifakara mjini nauli 3000 nije wilaya yoyote ndani ya morogoro,idara ya sekondari 0656621626/0757937204
Wewe ni Mwalimu (Msingi, Sekondari n,k) na unahitaji mtu wa kubadilishana naye kituo cha kazi?
Weka ombi lako hapa na wengine watawasiliana nawe.
Ni muhimu kuzingatia kuwa, ukiweka baruapepe (email), namba yako ya simu mtandaoni haishauriwi (at your own risk). Njia bora inayopendekezwa na JamiiForums ni kwa PM (Private Messages) ndani ya JF - kwa usalama wako na usiri zaidi.
MUHIMU: Ni vema kusema UPO wapi na ungependa KWENDA wapi ili wale wenye kutaka kuwasiliana nawe wapate urahisi wa kukutafuta ili kurahisisha mchakato.
Tunakutakieni utumishi mwema.
JamiiForums
Ndugu singida vipi, ukipata anaetaka kuja singida naomba uni pmNjoo Mbeya (Busokelo) nije Dodoma Manispaa idara (sekondari)
Kwani hizi mambo bado zipo? Nasikia siku hizi unaandika tu barua kwa DED unakotaka kuhamia ukiulizia kama kuna nafasi ya kuhamia. Baada ya hapo atakujibu kukujulisha kama nafasi ipo na utaendelea na hatua inayofuata!!habari ndg,
Natafuta mwl wa sekondari wakubadilishana nae aje Mwanza, mm niende Arusha. Kwa alie tayari anichek pm.