Watumishi wa umma habari za jioni

Napenda kuwapa taarifa kwamba kesho, nitatoa upadates kuhusu uhamisho kwa wale walio omba kabla ya uhakiki na baada au nini unapaswa ufanye ili uhame zidi kufuatilia kuanzia saa sita mchana tarehe 2_8_2017.
 
Watumishi wa umma habari za jioni

Napenda kuwapa taarifa kwamba kesho, nitatoa upadates kuhusu uhamisho kwa wale walio omba kabla ya uhakiki na baada au nini unapaswa ufanye ili uhame zidi kufuatilia kuanzia saa sita mchana tarehe 2_8_2017.
Mkuu Fanya Hivyo maana watumishi hawa wanalalamika sana
 
Wewe ni Mwalimu (Msingi, Sekondari n,k) na unahitaji mtu wa kubadilishana naye kituo cha kazi?

Weka ombi lako hapa na wengine watawasiliana nawe.

Ni muhimu kuzingatia kuwa, ukiweka baruapepe (email), namba yako ya simu mtandaoni haishauriwi (at your own risk). Njia bora inayopendekezwa na JamiiForums ni kwa PM (Private Messages) ndani ya JF - kwa usalama wako na usiri zaidi.

MUHIMU: Ni vema kusema UPO wapi na ungependa KWENDA wapi ili wale wenye kutaka kuwasiliana nawe wapate urahisi wa kukutafuta ili kurahisisha mchakato.

Tunakutakieni utumishi mwema.

JamiiForums
Wewe ni Mwalimu (Msingi, Sekondari n,k) na unahitaji mtu wa kubadilishana naye kituo cha kazi?

Weka ombi lako hapa na wengine watawasiliana nawe.

Ni muhimu kuzingatia kuwa, ukiweka baruapepe (email), namba yako ya simu mtandaoni haishauriwi (at your own risk). Njia bora inayopendekezwa na JamiiForums ni kwa PM (Private Messages) ndani ya JF - kwa usalama wako na usiri zaidi.

MUHIMU: Ni vema kusema UPO wapi na ungependa KWENDA wapi ili wale wenye kutaka kuwasiliana nawe wapate urahisi wa kukutafuta ili kurahisisha mchakato.

Tunakutakieni utumishi mwema.

JamiiForums
 
Wewe ni Mwalimu (Msingi, Sekondari n,k) na unahitaji mtu wa kubadilishana naye kituo cha kazi?

Weka ombi lako hapa na wengine watawasiliana nawe.

Ni muhimu kuzingatia kuwa, ukiweka baruapepe (email), namba yako ya simu mtandaoni haishauriwi (at your own risk). Njia bora inayopendekezwa na JamiiForums ni kwa PM (Private Messages) ndani ya JF - kwa usalama wako na usiri zaidi.

MUHIMU: Ni vema kusema UPO wapi na ungependa KWENDA wapi ili wale wenye kutaka kuwasiliana nawe wapate urahisi wa kukutafuta ili kurahisisha mchakato.

Tunakutakieni utumishi mwema.

JamiiForums
Njoo singida vijijin nije kilimanjaro wilaya yoyote ile. Idara Sekondari, 0684 274 398 au 0757409740
 
UHAMISHO TAMISEMI UPDATES

NIkwamba kwa wale walio omba kabla ya uhakiki wanapaswa kuomba upya, yaani kufanya mchakato upya

Hakuna majina yoyote yanayosubiriwa kutolewa kwa waombaji wa nyuma,

Vibali vya uhamisho vinatolewa kwa waombaji baada ya uhakiki.

Barua zinapokelewa kwa njia ya EMS, REGISTER NA MKONONI,
Barua inatumwa/kupelekwa na mwombaji wenyewe baada ya kusainiwa na katibu tawala mkoa
Nadhnani mmeelewa
 
UHAMISHO TAMISEMI UPDATES

NIkwamba kwa wale walio omba kabla ya uhakiki wanapaswa kuomba upya, yaani kufanya mchakato upya

Hakuna majina yoyote yanayosubiriwa kutolewa kwa waombaji wa nyuma,

Vibali vya uhamisho vinatolewa kwa waombaji baada ya uhakiki.

Barua zinapokelewa kwa njia ya EMS, REGISTER NA MKONONI,
Barua inatumwa/kupelekwa na mwombaji wenyewe baada ya kusainiwa na katibu tawala mkoa
Nadhnani mmeelewa
Umeeleweka
 
Kuna ndugu yangu yupo wilaya ya Nyasa anataka aje wilaya ya Rungwe,busokelo au kyela.[HASHTAG]#0762950879[/HASHTAG] elimu msingi
 
Back
Top Bottom