Liparamba
JF-Expert Member
- Jun 12, 2016
- 690
- 592
Njoo Tabora - Uyui;
Nije Katavi idara ya Msingi,
+255767-145922
+255786-145922
Mkuu Fanya Hivyo maana watumishi hawa wanalalamika sanaWatumishi wa umma habari za jioni
Napenda kuwapa taarifa kwamba kesho, nitatoa upadates kuhusu uhamisho kwa wale walio omba kabla ya uhakiki na baada au nini unapaswa ufanye ili uhame zidi kufuatilia kuanzia saa sita mchana tarehe 2_8_2017.
Wewe ni Mwalimu (Msingi, Sekondari n,k) na unahitaji mtu wa kubadilishana naye kituo cha kazi?
Weka ombi lako hapa na wengine watawasiliana nawe.
Ni muhimu kuzingatia kuwa, ukiweka baruapepe (email), namba yako ya simu mtandaoni haishauriwi (at your own risk). Njia bora inayopendekezwa na JamiiForums ni kwa PM (Private Messages) ndani ya JF - kwa usalama wako na usiri zaidi.
MUHIMU: Ni vema kusema UPO wapi na ungependa KWENDA wapi ili wale wenye kutaka kuwasiliana nawe wapate urahisi wa kukutafuta ili kurahisisha mchakato.
Tunakutakieni utumishi mwema.
JamiiForums
Wewe ni Mwalimu (Msingi, Sekondari n,k) na unahitaji mtu wa kubadilishana naye kituo cha kazi?
Weka ombi lako hapa na wengine watawasiliana nawe.
Ni muhimu kuzingatia kuwa, ukiweka baruapepe (email), namba yako ya simu mtandaoni haishauriwi (at your own risk). Njia bora inayopendekezwa na JamiiForums ni kwa PM (Private Messages) ndani ya JF - kwa usalama wako na usiri zaidi.
MUHIMU: Ni vema kusema UPO wapi na ungependa KWENDA wapi ili wale wenye kutaka kuwasiliana nawe wapate urahisi wa kukutafuta ili kurahisisha mchakato.
Tunakutakieni utumishi mwema.
JamiiForums
Njoo singida vijijin nije kilimanjaro wilaya yoyote ile. Idara Sekondari, 0684 274 398 au 0757409740Wewe ni Mwalimu (Msingi, Sekondari n,k) na unahitaji mtu wa kubadilishana naye kituo cha kazi?
Weka ombi lako hapa na wengine watawasiliana nawe.
Ni muhimu kuzingatia kuwa, ukiweka baruapepe (email), namba yako ya simu mtandaoni haishauriwi (at your own risk). Njia bora inayopendekezwa na JamiiForums ni kwa PM (Private Messages) ndani ya JF - kwa usalama wako na usiri zaidi.
MUHIMU: Ni vema kusema UPO wapi na ungependa KWENDA wapi ili wale wenye kutaka kuwasiliana nawe wapate urahisi wa kukutafuta ili kurahisisha mchakato.
Tunakutakieni utumishi mwema.
JamiiForums
John Elia ukuje hapa harakaWatumishi wa umma habari za jioni
Napenda kuwapa taarifa kwamba kesho, nitatoa upadates kuhusu uhamisho kwa wale walio omba kabla ya uhakiki na baada au nini unapaswa ufanye ili uhame zidi kufuatilia kuanzia saa sita mchana tarehe 2_8_2017.
UmeelewekaUHAMISHO TAMISEMI UPDATES
NIkwamba kwa wale walio omba kabla ya uhakiki wanapaswa kuomba upya, yaani kufanya mchakato upya
Hakuna majina yoyote yanayosubiriwa kutolewa kwa waombaji wa nyuma,
Vibali vya uhamisho vinatolewa kwa waombaji baada ya uhakiki.
Barua zinapokelewa kwa njia ya EMS, REGISTER NA MKONONI,
Barua inatumwa/kupelekwa na mwombaji wenyewe baada ya kusainiwa na katibu tawala mkoa
Nadhnani mmeelewa
Njoo Tabora - Uyui;
Nije Katavi idara ya Msingi,
+255767-145922
+255786-145922