Jamani mungu awafungue hawa wenye nchi watukumbuke nasisi tulio chini ya mti mkavu. Tuombe iwe kweli maana duuNami naskia hivyo
Sent from my TECNO-Y3+ using JamiiForums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jamani mungu awafungue hawa wenye nchi watukumbuke nasisi tulio chini ya mti mkavu. Tuombe iwe kweli maana duuNami naskia hivyo
Njoo Tabora - Uyui;
Nije Katavi idara ya Msingi,
+255767-145922
+255786-145922
Idara gani mkuuNJOO MAGU NIJE GEITA
Umeskia wap mkuu hz taarfaJamani nasikia vibali vya uhamiaho vimetoka kuna ukweli wowote?
Sent from my TECNO-Y3+ using JamiiForums mobile app
Serkl ipo bize na barabara na si kukuhamishajamani vibali lini vitatoka kwa yoyote aliyepata tetesi au tuanze upya? na je huko halshauri tutaaainiwa ?
lakini hizo Barbara kwani lazma aende yule?
Ni fumbo la Imanijamani vibali lini vitatoka kwa yoyote aliyepata tetesi au tuanze upya? na je huko halshauri tutaaainiwa ?