kitinusa beatrice
Member
- Jan 28, 2016
- 73
- 2
Njo MUSOMA msnispa nik Dodoma manispa
We utskuwa umekorofishana na wanakijiji huko kwa waziguaNJOO KILINDI TANGA NIJE SEHEMU YOYOTE MKOA WA TANGA AU MOROGORO IDARA YA MSINGI O713281515
Ungekuwa moro town ningekutafutia MTU yupo bumbuli mjini kabisaNjoo Ushetu -kahama nije Korogwe , lushoto-Tanga.Idara elimu msingi.piga 0684711818 au jibu hapa hapa jf.
Unga mkuu hii namba muwasiliane na huyu mtu 0682098837VP nkuadd kwenye magroup ya watsap ya kubadlshana ktuo?