JamiiForums
JF Official Account
- Nov 9, 2006
- 6,202
- 5,013
Bado nazidi kuwatahadharisha wana #JF juu matapeli wana vi SMS vya mtego mfano(Mimi nimefanikiwa au Mimi Afsa TAMISEMI nitakusaidia) NA wanadai uwatumie details zako ikiwepo check No. NA atadai kiasi nusu ya PESA mchakato ukiisha ummalizie.
MWL UKIONA SMS au MTU ANAKUAMBIA UMPE PESA JUA NI TAPELI siku sio nyingi nitaanika no Zao humu Mimi washawahi hata Kunitishia amani eti nawaharibia kisa niliwafungua watu macho kama hivi.
Mwl na watumishi wengine njia sahihi NA rahisi ni kutafuta wa kubadilishana nae NA kama huwezi kuweka tangazo humu JF nitafute kwa no 0756231236 au 0689270867 nitakusaidia kuweka TANGAZO.
Nawatakieni kazi njema mungu awatangulie sana.
Kaumba pale vp umewahi beba zigo?
Ndugu yangu, natamani sana ningebaki Moro bt nalazimika kuhama ili kuungana na familia coz nimeingia ktk ulimwengu wa wawiliwawili.Unaweza kufanya kazi Moro na bado ukaenda Dar as much as u like (approx 200 kms). Unless u have a very valid reason ya kuondoka Moro au ya kuwa Dar, ungebaki tu huko.
Ndio maana usishangae wengi wanatamani kubadilishana nawe waje hapo Moro!
ndugu yangu unauliza ndevu kabul au vumbi kwenye stoo ya mkaa ?
Nahama kwa ajili ya kuungana na familia yangu ambayo ipo Dar. Thats it!Weka na sababu za kubadilishana naye isije kuwa wamekuroga huko.
ndoto za alinacha... urban to rural nani anaitaka?