Hazard CFC
JF-Expert Member
- Apr 7, 2015
- 16,615
- 38,589
Nenda MchikichiWakuu
Naomba kufahamu machimbo wanayouza vitu vya dukani vya jumla kama soksi, vitambaa, miswaki, rula, pen, toothpick, super glue, aina za pipi zote...nk
Natanguliza shukrani
Unataka used au New...kama ninalo mkuu.nataka jiko la gesi plate gas na umeme plate 1 oven itumie umeme mwenye chimbo anisaidie bei iwe nzur kampuni nzuri pia
Mkuu Mb-one dumbukia hapo keko moja daka mzigo go homeNaomba kujua chimbo la fenicha
ShukraniNenda kariakoo Soko dogo. Pale muulize MTU yoyote ule mtaani upi kuna vikopo kibaoo utaelekezwa ni karibu Sana na soko dogo.
Au ulizia Dukani Kwa kipara ni wapiii. Ukishaoneshwa Kwa kipara huo huo mtaa Duka la kipara lilipo nenda Kwa mbele yake utaanza kuona mavikopo kama yoootreeee.
Una picha yake? Kama unayo hebu itupie.Mimi ni mtu wa stationery nahitaji sana velo binding machine ila used maana mpya bei ipo juu sana, msaada please,
Tumeni na picha za bidhaa hususan nguo ,nguo kila fashion ina bei zakeMwenye kujua chimbo la jeans za special k.koo anijuze,
Kuna sehemu jumla wanauza 14,000
Sehemu nyingne 12,000.
Natamani kujua huyu anaye niuzia kwa 12,000 yeye ananunuaje(Note haagizi china mana siku nyingne akikosa chap anaenda nichukulia)
Kadet na 4m6 pia...?
Nami natamani kujuwaNaumbeni kujuazwa chimbo wa nalouza wallpaper za ukatan kwa bei ya jumlaa
Hizi wallpaper Dar zinauzwa bei juu mfano tukipata watu 20 tukaunganisha hela zetu tukaagiza China tunapata kwa bei ya 6000-8000/rollerNami nataman kujuwa
Wapi nitapata baby diapers za bei rahisi kwa maeneo ya dar?
Mkuu Uganda hauwend tenaHizi wallpaper dar zinauzwa bei juu mfano tukipata watu 20 tukaunganisha hela zetu tukaagiza China tunapata kwa bei ya 6000-8000/roller
Ungeweka na bei mkuuFanya Biashara ya kununua na kuuza nguo za ndani za, na hasa zile za bei za kawaida za kike na kiume wakubwa na watoto kutoka Dar kariakoo.
Biashara hii Ina faida ya kuanzia 50% hadi 100% na kuendelea.
Dukani kwetu Tunauza bidhaa hizo kwa Jumla Kwa kuanzia Nusu Dozen.
Na tuna saidia kutuma mzigo wako Popote tanzania.
Wasiliana nasi kwa ushauri zaidi kwa whatsapp/simu #0743207176
View attachment 1736463