Nenda kariakoo Soko dogo. Pale muulize MTU yoyote ule mtaani upi kuna vikopo kibaoo utaelekezwa ni karibu Sana na soko dogo.
Au ulizia Dukani Kwa kipara ni wapiii. Ukishaoneshwa Kwa kipara huo huo mtaa Duka la kipara lilipo nenda Kwa mbele yake utaanza kuona mavikopo kama yoootreeee.
Shukrani
 
Mwenye kujua chimbo la jeans za special k.koo anijuze,
Kuna sehemu jumla wanauza 14,000
Sehemu nyingne 12,000.
Natamani kujua huyu anaye niuzia kwa 12,000 yeye ananunuaje(Note haagizi china mana siku nyingne akikosa chap anaenda nichukulia)

Kadet na 4m6 pia...?
Tumeni na picha za bidhaa hususan nguo ,nguo kila fashion ina bei zake
 
Naomba kujua machimbo ya vitu vifuatavyo
T-shirt 4m6 zile machinga wanauza 7000
Sandals za kike zile machinga wanauza 3500
Vijora vile wanaviuza 6000
Bidhaa za dukani kama Foil, miswaki, pipi, jaladio, soksi, pencel, pen, daftari, kofuli, lesso n.k
Sandals za kike na kiume za kimasai
Boxer zile zinafungwa tatu tau machinga wanauza 10,000
Jeans ambazo machinga wanauza 12,000

Kwa anayejua akiweka na bei za kununulia kwa jumla itapendeza zaidi.
 
Wakuu naomba kujua wanapouza mkasi wa moto, wenyewe ukikata hauachi nyuzinyuzi unatengeneza smoothness unatumika sana kutengeneza handbags hizi za wadada hasa zile za kichina unakuta wametumia huu mkasi wa moto.
 
Fanya Biashara ya kununua na kuuza nguo za ndani za, na hasa zile za bei za kawaida za kike na kiume wakubwa na watoto kutoka Dar kariakoo.
Biashara hii Ina faida ya kuanzia 50% hadi 100% na kuendelea.
Dukani kwetu Tunauza bidhaa hizo kwa Jumla Kwa kuanzia Nusu Dozen.
Na tuna saidia kutuma mzigo wako Popote tanzania.
Wasiliana nasi kwa ushauri zaidi kwa whatsapp/simu #0743207176
View attachment 1736463
Ungeweka na bei mkuu
 
Back
Top Bottom