Shimba ya Buyenze
JF-Expert Member
- Dec 22, 2014
- 178,255
- 1,077,561
Mwamshe...
Mwambie kuwa una hamu ya kudinywa...
Tatizo liko wapi?
Mwambie kuwa una hamu ya kudinywa...
Tatizo liko wapi?
Hapo sawa sasa...Hapo kwa Daddy ni sawa kabisa maana miaka 76 umemzidi hadi baba yangu
😀😀 nimeelewa DaddyHapo sawa sasa...
Ila kumbuka ni daddy...
Na siyo dad....
Kuna tofauti
Hili linanihusu Kabisa, kesho naanza🤣🤣
Amekula bata mpaka akavuka mpaka 🤣🤣
Duuuh aiseee....... risasi na mapanga hayawezi kuepukika Kwa style hii
😂😂😂😂na ukimaliza uangalie abs zako zilivyokaa😆😆😆Hili linanihusu Kabisa, kesho naanza🤣🤣
hahahaha.hy ya godoro nilikutana nayo kigali 2010.hahahaha.ilikua balaaNdo maana lodge zote ukanda huo mpaka Uganda na Rwanda magodoro yana plastic cover. Matoke na senene sijui huwa zinawafanyeje mabinti wa hizo sehemu.
Niko Bukoba form 6 nimekutana na binti wa Rugambwa sekondari mweh!
Unchuge imana yange bojo...
Mshaija wange....
Emana yawe.....
Mara bomba likafongoka.....Dah!
Nimekukumbusha tu
Sasa hapa itakuwaje jamani😲😲😲😲😲Wamekimbia msala
Mbona povu kamanda? Jukwaa la siasa lisije likahamia huku stress free zone!Wabinafsi wanao chukia usalama wa Nchi wasingependa kuona HAKI.Maridhiano siyo ya watu kulamba asali isipokuwa HAKI ktk Nchi.Mtu mpumbavu tu ndiye anayeweza kufikiri Tanzania kuna asali ya kutosha kulambwa wkt GDP yake ni ndogo kuliko utajiri wa Elon Musk.Poverty mentality https://t.co/9tuuBUQCJSView attachment 2249855
Duh naona hujaelewa brother nimeitoa Twitter hiyo check link yake ipo hapoMbona povu ndugu yangu? Mapovu yaende huko jukwaa la siasa hapa sisi hata haya mambo ya siasa tunayachukulia kiutani tu. Stress free yaani...
Na kulamba asali wala hakuhusiani na GDP. Hata ripoti ya CAG haikupi mwanga kuhusu ulambaji wa asali unavyofanyika katika nchi hii? Kula kulingana na urefu wa kamba yako je?
View attachment 2249862View attachment 2249863