mrangi
JF-Expert Member
- Feb 19, 2014
- 81,066
- 106,506
Mnachukua siku 2,3 bado hamja fanya maboreshooTutatoa taarifa kamili tafadhali
Acheni tu ikae hata mwezi mzimaaaa
Ova
Mnachukua siku 2,3 bado hamja fanya maboreshooTutatoa taarifa kamili tafadhali
Yaani kweli Tanesco watu wakae gizani kisa mmeshindwa kuteneneza system yenuTAARIFA YA KUKOSEKANA KWA HUDUMA YA MANUNUZI YA LUKU KWA BAADHI YA WATEJA
Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) linawaomba radhi wateja wake kutokana na hitilafu iliyotokea kwenye mfumo wa manunuzi ya umeme wa LUKU siku ya Jumatatu, Mei 17, 2021 na kusababisha baadhi ya wateja kushindwa kununua umeme.
Tunaomba uvumilivu wakati wataalamu wetu wanafanya kazi kuhakikisha tatizo hilo linatatuliwa haraka.
Tutaendelea kutoa taarifa kadri huduma itakavyo kuwa ikirejea.
Tunawaomba radhi kutokana na hitilafu iliyotokea kwenye mfumo wa manunuzi ya umeme wa LUKU siku ya Jumatatu, Mei 17, 2021 na kusababisha baadhi ya wateja kushindwa kununua umeme. Tunaomba uvumilivu wakati wataalamu wetu wanafanya kazi kuhakikisha tatizo hilo linatatuliwa haraka.
---
Nachokupenda kweli ww ni mpinzani hujawahi kusifia kuanzia leo nahama ccm kiroho Ila kimwili nipo kwao kwa masirahi nilimuelewa sana jiwe ila huyu mama sifikilii kuja kumuelewa anapotupeleka team jk tu ndo wanaelewa tuendakoAibu kubwa sana !
wa sukuma gang na gogo gang hautamwacha mama salama hataamini chadema itavokuwa na sukuma na gogo member wa kutosha na naomba kwa mungu akwameKama ni hivyo basi hiyo sukuma gang ni mtandao mkubwa sana: malori kukwama bandarini, tra mtandao uko chini, majambazi wanatest mitambo dar, etc
Mimi hili nakataaa Mfumo wowote lazima uwe na buckup. Mfumo unaoingiza hela kama Luku uniambie upo down toka juzi??? . Hilo haliwezekana kuna sababu mahali.Hapana inaweza kuwa kweli ni shida za kiufundi na zinaweza kutokea awamu yeyote tu!
Mkuu mgogo na msukuma wameanza kuunda mipango yao na wanaoshabikia hawajua kama wanafanya umoja kukoma watakuja kuchekea chooniHao wasukuma wako wengi kiasi gani hadi kuwa kila sehemu ya tatizo ?mimi naona wapinzani wa sisiemu wanatumia hii njia kuwaondoa watu wa kanda ya ziwa upande wao bila kujua na ifikapo 2025 ndio utaona turnabout ki ukweli wasukuma hawajwahi kuwa na umoja wowote na hii sukuma gang nI tactic ya kuwaunganisha kuona kuwa wanabaguliwa na watu bila kujua wamekuwa wana shabikia hatimaye kisichokuwapo kitakuwapo na itakuwa kitu kibaya kuliko maelezo muda utaongea
Na mwenyewe alisema tutamkumbuka. Sasa sisi wa kupata 2000 leo ndio ununue umeme tunalala giza. Ina gikia mahali mtu unatamani kufunga loop wire nyuma ya meter upate umeme. Kuliko kusubiria umeme usio patikana.Nachokupenda kweli ww ni mpinzani hujawahi kusifia kuanzia leo nahama ccm kiroho Ila kimwili nipo kwao kwa masirahi nilimuelewa sana jiwe ila huyu mama sifikilii kuja kumuelewa anapotupeleka team jk tu ndo wanaelewa tuendako
buji acha hizo weka heshima ya hili kundi mbeleSukuma Gang Members wapo kazini kuhakikisha Mzanzibari hatoboi
Hawa TANESCO wanataka kuturudisha nyuma kimaendeleo maana siku ya leo tena tunakaa bila umeme sijui wapi tutapata rizikiMbona hata leo units hazinunuliki?. Nimejaribu kununua lakini imeshindikana.
Team jk mmetuharibia nchi bado nanyie mnaongea hivi msukuma na mtu wa pwani nani mvivuMama anakosea mwenyewe
Alitakiwa afanye kama meko alivyofanya.
Meko alifukuza watu wote wa JK.
Sasa mama anawakumbatia watu wa meko kuanzia waziri mkuu
Hii ni hatari
Watu wa meko wengi ni wakatili na walibebwa na meko na wote ni zero brain
Hawapendi kuona reformation yoyote inauokwenda kinyume na dikteta meko.
Kwa hio wanachokifanya ni kumhujumu mama wazi wazi
Siyo kweli, kaongeze na darasa la Cyber security alafu uje ulete mrejesho.Mkuu nasoma computer science....katika programming hakuna hitirafu ,na hata virus ni program ya computer inayofanya kazi kwa kuipa ubize computa au kupiga copy au kudelete files muhimu na ni mtu anaeza tengeneza virusi, hebu nirud kwenye point, program ikiandikwa haibadiliki, ni pure number ile, I mean automation is perfect, Kama ilivo 1*1=1 it can't change.
Kwa hiyo ni mwendo wa kuliwa tu...basi sawa, wacha tunyolewe na topaz yenye kutu.Huko kuna mikono ya wakubwa