Mwanga Mkali
JF-Expert Member
- Jul 8, 2018
- 1,290
- 2,416
Bujibuji kusema anajishushia heshima ni kumuonea hajawahi kuheshimika. Mtu mwenye vinasaba vya ubaguzi na chuki anae kesha akiihubiri chuki na kutoa kauli za kuudhi uliwezaje kumuheshimu?Bujibuji unajishushia heshima Sasa. Kwani huko tanesco Kuna wasukuma tuu?
Lazima tuukubali ukweli kwa Sasa ofisi nyingi za umma zinarudi kwa Kasi Sana kueoekea awamu ya nne. Wafanyakazi wengi Sasa wapo busy kupinga soga maofisini uwajibikaji unapungua kwa Kasi. Kuna sehemu waya wa tanesco ulikatika mjini kabisa na tanesco walikuja baada ya masaa 36, nikajiuliza enzi za Magufuli Hawa jamaa wangetumia muda gani?
Subiri Sasa bwawa la mtera litaanza kuisha maji tuanze kununua majenereta.
Sent from my TECNO RA7 using JamiiForums mobile app