Kwani haikupata kutokea wakati wa nwendazake? Au tunajisahaulisha kuwa matatizo ya Tanesco ni sugu?Nchi imerudi kwa marahamia.
Yaaah upo sahihi pia , Tena sana tu, zote ni possibilities na hata kuchokonoa mfumo hata Kama ww ni developer ni sehemu ya cyber...yote hii ni katka kujisetia mazngra ya maintenance au namna yoyote ile ya kupiga helaSiyo kweli, kaongeze na darasa la Cyber security alafu uje ulete mrejesho.
Hata Mimi juzi mimi niliweka wa elfu moja kwa airtel ukakubali, nikaweka elfu tano kwa Hallotel, ikakataa!Madai yake ni ya uongo haiwezekani kila mtu analalamika eti yeye kafanikiwa. Labda kama ni exceptional case.
nahisi mtandao upo down hivyo tuendelee tu kujarijaribu maana hata mimi nilijaribu kununua zaidi ya mara nne ikagoma but baadae ilikubali hivyo tuendelee kujarijaribu but ukipata fursa nunua mwingi maana huwez jua tatizo hili litaisha liniHata Mimi juzi mimi niliweka wa elfu moja kwa airtel ukakubali, nikaweka elfu tano kwa Hallotel, ikakataa!
Ni kweli, ndo maana nimemwambia Mpendwa asikimbilie kumwita jamaa mzushi, kwa kusema alifanikiwa kununua!nahisi mtandao upo down hivyo tuendelee tu kujarijaribu maana hata mimi nilijaribu kununua zaidi ya mara nne ikagoma but baadae ilikubali hivyo tuendelee kujarijaribu but ukipata fursa nunua mwingi maana huwez jua tatizo hili litaisha lini
Mwisho tutaambiwa mifumo hiyo haifai, imeleta mfumo mpya. Hapo ndio upigaji wa mil 7 Kwa dk utakaporudi.Majuzi liripotiwa hapa JF mfumo wa TRA kuwa na dosari baada ya Uwepo wa moto HQ.
Jana na Leo TANESCO mfumo uko taabani.
Mifumo mingine muhimu pia imekuwa down wakati EGA wapo, Waziri Ndungulile, Katibu Mkuu wa Sayansi na Teknolojia yupo lkn hawana majibu yoyote kuhusu kadhia hii ya Mifumo ya TEHAMA