ndikumangenge
Member
- Jan 6, 2019
- 86
- 67
Mm nimenunua airtel Hera wamelamba token hakuna huyu mama sidhani km atatoboA mbona haya mambo tulikua tumeshaanza kuyasahau?Kuna kila rangi ya hujuma..nimenunua kupitia halotel hela wamekata na token hakuna