Mjanja M1

JF-Expert Member
Oct 7, 2018
3,660
12,305
1708069602523.png

Spika wa Bunge la Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt Tulia Ackson, amesema kuwa Bunge limewapa Tanesco muda kufikia mwezi wa sita mgao wa umeme uwe umeisha.

"Wacha tuipe serikali muda, kwa maana ipi wao walijipanga mwezi wa sita (shida ya umeme kuisha) wakarejesha nyuma mwezi wa pili, tunawapongeza sana na mmerejesha mpaka mwezi wa tatu kwa hizo mashine zote kukamilika, Bunge linawapa mpaka mwezi wa sita ili bunge linapokuwa hapa mgao uwe umeisha, tunawapongeza sana kwa kazi nzuri," - Spika wa Bunge

Pia soma:
- Naibu Waziri wa Nishati: Mgawo wa umeme nchini utaisha mwezi wa tatu
 
"Wacha tuipe serikali muda, kwa maana ipi wao walijipanga mwezi wa sita (shida ya umeme kuisha) wakarejesha nyuma mwezi wa pili, tunawapongeza sana na mmerejesha mpaka mwezi wa tatu kwa hizo mashine zote kukamilika, Bunge linawapa mpaka mwezi wa sita ili bunge linapokuwa hapa mgao uwe umeisha, tunawapongeza sana kwa kazi nzuri," - Spika wa Bunge
Hii nchi ngumu sana.
 
Spika Tulia Akson aipa Wizara ya Nishati mpaka mwezi Juni 2024 kuhakikisha wanamaliza kabisa mgawo wa umeme.

Akiwa bungeni alipokuwa anaelezea jambo hilo Spika Tulia anasema

"Wacha tuipe serikali muda, kwa maana ipi wao walijipanga mwezi wa sita (shida ya umeme kuisha) wakarejesha nyuma mwezi wa pili, tunawapongeza sana na mmerejesha mpaka mwezi wa tatu kwa hizo mashine zote kukamilika, Bunge linawapa mpaka mwezi wa sita ili bunge linapokuwa hapa mgao uwe umeisha, tunawapongeza sana kwa kazi nzuri,"

Pia soma:
- Naibu Waziri wa Nishati: Mgawo wa umeme nchini utaisha mwezi wa tatu
 
Ndugu zangu Watanzania,

Bunge letu tukufu chini ya uongozi imara wa Nguli wa sheria kuwahi kutokea nyanda za juu kusini na Rais wa umoja wa mabunge Duniani, umeipa maagizo mazito serikali bya kuhakikisha kuwa ifikapo mwezi wa sita Mwaka huu basi tatizo na changamoto ya mgao wa umeme inafika tamati na kuwa mwisho na historia ya mgao wa umeme katika nchi hii ya asali na maziwa na ambayo Mungu ameijalia kila aina ya rasilimali na kila aina ya utajiri.

Bunge limetoa muda huo ambapo linaamini ni wakati huo ambapo mitambo yote katika bwawa la mwalimu Nyerere itakuwa imewashwa na kuanza kuzalisha umeme.

Nisiwe na maneno mengi na kuharibu habari hii njema kabisa kwa mamilioni ya watanzania wanyonge ambao wanaendelea kuwa watulivu na wenye subira kwa kila jambo linalokuja mbele yao.
 

Spika wa Bunge la Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt Tulia Ackson, amesema kuwa Bunge limewapa Tanesco muda kufikia mwezi wa sita mgao wa umeme uwe umeisha.

"Wacha tuipe serikali muda, kwa maana ipi wao walijipanga mwezi wa sita (shida ya umeme kuisha) wakarejesha nyuma mwezi wa pili, tunawapongeza sana na mmerejesha mpaka mwezi wa tatu kwa hizo mashine zote kukamilika, Bunge linawapa mpaka mwezi wa sita ili bunge linapokuwa hapa mgao uwe umeisha, tunawapongeza sana kwa kazi nzuri," - Spika wa Bunge

Pia soma:
- Naibu Waziri wa Nishati: Mgawo wa umeme nchini utaisha mwezi wa tatu
Tunawapongeza sana kwa kazi nzuri," - Spika wa Bunge
 
Baada ya Naibu waziri wa Nishati kusema mgao utapungua kwa mwezi huu wa pili kwa kiasi kikubwa na mwezi wa tatu mgao kuisha kabisa, Spika awaongezea muda mpaka mwezi wa sita ndio mgao uwe umeisha.

Spika amesema kwakuwa muda wa awali ulikuwa mwezi wa sita lakini wakapunguza na kusema mgao utaisha mwezi wa 3, basi Bunge limeiongezea muda serikali na hivyo mpaka mwezi wa sita wawe wamemaliza tatizo la mgao nchini.

Wizara haijaomba kuongezewa muda wala hawajaripoti tatizo lolote ili kuwepo na mazingira ya kuongezewa, sasa kwanini Tulia aongeze muda mwingine?

Hawa watu wanatuchezea sana, wao hawaathiriki na huu mgao ndio maana hata hawajali.

Kuna uwezekano mkubwa uzembe umetokea kama kawaida, wakajipanga wajiongeleshe mwisho wa siku Spika aje aongeze muda.

Hakuna uwajibikaji na sisi tumekaa kimya tunakubali tu huu uzembe.
 
Back
Top Bottom