MkurangaApumzike mahala pema.arusha tulikula nyama,Zanzibar sijui watatulisha urojo,au mkuranga
Nakupa nafasi ya bure na ya upendeleo utukane matusi yote mpaka umalize.anza sasa kutukana mpaka umalize matusi yote uliyonayo na ikibidi nenda kakope mengine maana nimegundua wewe una utaira kichwani.Pumbavu wewe Mshenzi wewe na mwanga jamii forums sio kanisani mbwa wewe nyoko usitake nikuporomoshee matusi ya nguoni mbwa wewe
Hapna ni live hiyo mtoa mada kaiweka sasa hiviNimeona hii ilikuwa inarushwa moja kwa moja. Atakuwa kuna mtu karekodi wakati iko live
mmhNaomba unisamehe bure kabisa.niliandika kabla ya kutangazwa kwa kifo cha mzee wetu, hata hivyo nimesharekebisha haraka sana.naomba mnisamehe sana katika hilo
Mzee yule alkua fiti sn,Wapi Makamba Sr.
Ila Mzee katoboa 98 kininja sana,Hakuna mkongojo,Hakuna miwani.
Kwa hiyo akaona bora awaachie vijana msala?!Alikuwa ashajizeekea hakutaka heka heka na vijana
Ili Kupisha kuolewa kwakoYaani wakufiche kifo Cha mwinyi ili iweje!?
Jamaa chawa hadi kwenye misibaAcha uchawa uliokubuhuu
Naomba unisamehe na wote mnisamehe sanaa .niliandika kabla yakutagazwa kwa kifo cha mzee wetu.ndio maana nimerudi kurekebisha haraka sana baada ya kupata taarifa za huzuni kwa Taifa letu juu ya msiba wa mzee wetu.naomba mnisamehe sanakwahio nahuu msiba mama ndio kasababisha?
Mzee kaacha ameilaani starsRIP MZEE WA KICHWA CHA MWENDAWAZIMU