uwe hodari
JF-Expert Member
- Dec 16, 2022
- 4,047
- 8,544
Mwinyi
Tayari namsikia Christina shusho ameshusha kibao
Msecho nakuaminia
Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Washauri wapo wa kutosha sana, tena wanaoangalia zaidi wakati ujao kuliko wakati uliopita.Nchi inazazidi kuondokewa na washauri.
Sasa unafikiri bendera zingetundikwaje nusu mlingoti kwa misiba miwili.Ndio leo wameamua kutupa taarifa.
Rip Ali Hassan Mwinyi
Mzee kala chumviKitambo Sana,hope muafaka wapi azikwe ushamalizika.....R.I.P Mzee wa Ruksa
AnyoneWho is next
Sawa nashukuru kwa matusi yako na wala sina baya na wewe zaidi ya kukusamehe tu. Maana siamini kama kuna kosa nililokukosea zaidi ya kwamba una chuki binafsi na mimi.maana mtu akiomba msamaha kwa jambo alilofanya kwa bahati mbaya na wewe ukatoa matusi kiasi hicho inaonyesha una chuki binafsi na mimi.Mshenzi nyoko wewe wewe shenzi type mwanga mkubwa
.pumbavu kabisa mbwa wewe wewe mhamiaji haramu na mwanga nyoko
MhDirector wa Video.ya Rais Alaaniwe kwanini ameachip.footage ambazo haziruhusiwi kuingia mtaani..
View attachment 2920521
View attachment 2920522
Yule mzee hili neno kitamuandama sanaKuna bwana aliwahi kusema wazuri hawafi .