Mkuu umefika Dodoma kweli ama upo kwenye kijinyumba flani hapo buza kwa osama 😀😀😀Hao wakishasaini posho tu wanakuja Dar kula bata Dodoma vumbi jingi!
Na wengi wa watakaoangalia na kusikiliza ni wafuasi wa Chadema wakifikiri Mama atatangaza Uchaguzi Mpya wa Madiwani, Wabunge na Rais! Ahahahahahahahaja!Hotuba ya rais mama samaia kesho itavunja rekodi ya kutizamwa na kusikilizwa na wananchi wengi katika historia marais wote waliopata kutokea katika taifa letu
Ingekuwa Upinzani wangeshanyimwa posho.Amesema wapigiwe simu.
Sasa nawaza utoro umeanza lini?
Dodoma vumbi ni jingi hata pakiwa mjini vipi.Mkuu umefika Dodoma kweli ama upo kwenye kijinyumba flani hapo buza kwa osama
Wacha wivu weweDodoma vumbi ni jingi hata pakiwa mjini vipi.
Hata kama haifikii DarMkuu umefika Dodoma kweli ama upo kwenye kijinyumba flani hapo buza kwa osama
Thanks to JPM!Nilikua Dodo recently,
It's such a beautiful town.
Mkuu mbona unaandika kwa unyonge sana tatizo ni nini?Ni jambo jema!
Inabidi ubadili ubadili ID yako. Kuendelea kutumia ID yenye jina la marehemu ni sawa na kuabudu maiti kitu ambacho ni dhambi kwa Mungu.Sawa tumekusikia mkuu! Hata wanasaccos wataunga tela.
Nna raha zangu tu hapa nikisubiri hotuba kwa hamuPunguza makasiriko basi😀😀
Thanks to JPM!
Nami pia!Nna raha zangu tu hapa nikisubiri hotuba kwa hamu.
Wivu na dodoma? you must be joking mkuu.Wacha wivu wewe
Badala yake adamkePunguza makasiriko basi
Yes, lengo ni kuona mwelekeo wa huyo mama kama atajitenga na tabia za yule dhalimu, atajibanza ndani ya ule udhalimu. Hatutegemei kubwa la maana toka kwake, ila tunatarajia atatoa muelekeo tofauti na wa yule ibilisi.Na wengi wa watakaoangalia na kusikiliza ni wafuasi wa Chadema wakifikiri Mama atatangaza Uchaguzi Mpya wa Madiwani, Wabunge na Rais! Ahahahahahahahaja!!!
Juzi hadi niligoogle maana ya meno kudemka. Sijui kesho mama anaongeza lipo tuende kugoogle. Ananikumbusha mzee wa kubagazana.Misamiati mipya ya mwambao itakuwepo.