Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 121,918
- 95,201
AminaNashukuru mkuu kama kweli yeye ni mkweli na anataka tuzizike tofauti zetu alivunje bunge HALIMA barakah za wananchi na kama anatomy gharama za uchaguzi mwambieni sisi wananchi tutachangia wenyewe kama tulivyomchangia lisu, kama tulivyowachangia viongozi wa chadema kwenye faini zao za ujinga za kubambikiwa kesi n.k tofauti na hapo mapambano yataendelea ba atapata shida sana kuongea watanzania waliogawanyika kivyama