BARD AI

JF-Expert Member
Jul 24, 2018
3,376
8,119
1701074781092.png

Licha ya Rais William Ruto kueleza manufaa ya ziara zake Nje ya Nchi, mapokeo yamekuwa tofauti kwa Wananchi wakiwemo Watumiaji wa Mitandao ambao wanakidai Rais hakai Ofisini ili kutatua changamoto za Gharama za Maisha. Katika kipindi cha miaka miwili, Ruto amefanya ziara 42 katika 26, Nchi 15 ni za Afrika na 11 ni za nje ya Bara la Afrika.

Nchi zote kwa ujumla ni Ubelgiji, China, Visiwa vya Comoro, DR-Congo, Djibouti, Misri, Eritrea, Ujerumani, Israel, Msumbiji, Netherlands, Rwanda, Senegal, Afrika Kusini, Korea Kusini, Switzerland, Zambia, Burundi, Jamhuri ya Congo, Saudi Arabia, Uingereza, Ethiopia, Ufaransa, Uganda, Marekani na Tanzania.

ZIARA ALIZOFANYA RAIS WILLIAM RUTO KWA MIAKA MIWILI

1701074865164.png

1701075018062.png

1701075066770.png

1701075104806.png


ZIARA ZILIZOFANYWA NA RAIS SAMIA SULUHU HASSAN KWA MIAKA MITATU

1701074831230.png

Kwa upande wa Rais Samia aliyeingia Madarakani Machi 19, 2021 akichukua nafasi ya Urais kwa mujibu wa Katiba baada ya Rais John Magufuli kufariki, amefanya ziara 46 katika Nchi 28, Nchi 17 kati ya hizo ni kutoka Afrika na 11 ni za Nje ya Bara la Afrika.

Angola, Ubelgiji, China, DR. Congo, Ethiopia, Ufaransa, Ghana, India, Morocco, Namibia, Nigeria, Oman, Saudi Arabia, Switzerland, Umoja wa Falme za Kiarabu, Burundi, Misri, Malawi, Qatar, Rwanda, Senegal, Afrika Kusini, Uingereza, Zambia, Kenya, Msumbiji, Marekani na Uganda.
1701074638882.png

1701074692429.png

1701074758588.png

1701074890220.png

1701077647382.png
 
unadhani hizo gdp tunazoambiwa zinakuwa kwa kasi ni sababu ya hizo ziara acheni viongozi watoke hawa hizi nchi bado ni changa sna bila kutoka kwenda kuangaika huko na huko hatutaambulia kitu
 
Rais Samia amefanya mema mengi kwa nchi, kama ni mapungufu ni ya kibidamu. juzi tu aliposikia naibu waziri amefanya ukatili kwa raia. Pili suala la bandari licha ya kupotoshwa kwa makusudi, hakumuwekea mtu kinyongo cha kisasi. Naamini hata ziara anazofanya ni kwa kutafakari maslahi kwanza.

Kwa wale wanoshabikia kupotoshwa kwa suala la bandari bila kujua, ni kwamba katika utafiti uliofanywa, bandari yetu ilionekana ndo bandari ya hovyo kuliko hata bandari ya somalia ambako kuna magaidi
 
Mkuu tuache mzaha hata ungekuwa wewe umepata nafasi kama ile ungekula bata nchi tofauti, maisha mafupi tatizo ni wivu tu unakusumbua kuona mama anafaidi ya dunia, hakun mtanzania utampa nafasi serkalin asipige eti mzalendo haipo hyo ikiwa hata fundi ujenzi kweny nyumba yako ukimuacha dakika mbili tu kainua kiroba cha cement
 
Mzilankende Alitufaa Sana Ila Ndiyo Hiyo Wahuni Wametuvuruga Sana Sana




Mara Watu Wema Hawafi
Mungu Kaamua Ugomvi

Vijembe Tanzania Yote Mpaka Kesho
 
Matumizi mabaya ya pesa za uView attachment 2852413
Magufuli alikuwa mgonjwa maana alikuwa amewekewa pacemaker kifuani. Pili alikuwa na aerophobia (woga wa kusafiri kwa ndege).

Tatu alikuwa anaongea BROKEN English huku akitema mimate (Ze people uzid to die in ze rake)

Unaanzanje kwenda Ulaya na madhaifu hayo? Instead inasingizia kuwa wewe ni mzalendo unabaki hapa hapa
 
Magufuli alikuwa mgonjwa maana alikuwa amewekewa pacemaker kifuani. Pili alikuwa na aerophobia (woga wa kusafiri kwa ndege).

Tatu alikuwa anaongea BROKEN English huku akitema mimate (Ze people uzid to die in ze rake)

Unaanzanje kwenda Ulaya na madhaifu hayo? Instead inasingizia kuwa wewe ni mzalendo unabaki hapa hapa
Makalio yenye mavi kaa kimya
 
Yule nae alidhani tupo enzi za ujima
Rais gani hafanyi safari
Mwoga kama kunguru
Alitumia ujinga wa Watanzania kudhani eti Rais akisafiri ni ufisadi
Kusafiri kwa raisi kuna leta tija gani kwa Taifa? gharama za safari zake zina zidiwa na faida ya matokeo ya safari yake?. Kaangalie kalenda ya safari ya raisi wa Taifa kubwa lenye GDP ya trillion 26 na ili lako lenye 277 billion!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom