Ndani ya miaka 3, Rais Samia amesafiri nje ya Nchi mara 54, gharama zake bado siri

BARD AI

JF-Expert Member
Jul 24, 2018
3,376
8,119
Orodha ya safari za kimataifa za urais zilizofanywa na Samia tangu ashike madaraka ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania 19.03.2021

Rais Samia kafanya jumla ya safari 54 za kimataifa kama Rais wa Tanzania katika nchi tofauti za Afrika, Ulaya, Asia na Amerika ya kaskazini.

Rais @SuluhuSamia kasafiri mara 35 katika nchi za Afrika, safari 7 katika nchi za Ulaya, safari 9 katika nchi za Asia, safari 3 nchi za Amerika kaskazini.

Rais Samia katika orodha ya ziara zake 54 za kimataifa nchi ambayo amekwenda mara nyingi ni Uganda (4), Mozambique (3), USA (3), UK (2), UAE (2)

NB; Netherlands (Uholanzi), MFALME hufanya safari (state visit) zisizozidi mbili kwa mwaka. Pia hupokea ugeni wa aina hiyo mara mbili tu kwa mwaka.

20240306_212302.jpg


Brigedia Mtikila, MMM.
 
Kwa Mwaka 2024..
  • Indonesia - State Visit. January 26, 2024
  • Vatican City - Official Visit. February 12, 2024
  • Norway - State Visit. February 13, 2024
  • Ethiopia - AU Assembly. February 17, 2024
  • Namibia - Hage Geingob Funeral. February 24, 2024
  • Nigeria - State Visit. March 5, 2024
Ndani ya siku 41 Rais Samia Suluhu Hassan amesafiri katika nchi 6 tofauti.
 
Mwaka huu pekee atakuwa na safari zisizopungua 25, kuna hati hati akawa anasikiliza kero za wananchi akiwa nchi nyingine. Kweli inabidi aongezewe ndege kama bunge lilivyoazimia
 
Kuna kitu aliongea Dr slaa kuhusu hizi safari, lakini kwa vile JF hapa wengi machawa waliishia kumtukana tu.
 
Unapata nguvu wapi na ujasiri wa kuhoji safari za mheshimiwa?

INGIA NDANI YA MFUMO NDIO UTAJUA NINI MAANA YA SAFARI ZA MKUU WA NCHI.
 
Tunafundishwa kuwa na kiasi, yaani hata mkuu hana kiasi.
It's too much!
 
DR. SSH IS DOING WELL, FOR EXPOSURE, HUWEZI JIFUNGIA NDANI YA NCHI KAMA KIONGOZI, NI LAZIMA USHIRIKI MKUTANO MBALI MBALI NA WAKUU WENZAKO.
 
urais wa kuokota kazi kweli kweli, embe chini ya mnazi lazima likupelekeshe kwa ushamba...maana huelewi wala hutaelewa utapambana kulila tu :p
 
Back
Top Bottom