ZANZIBAR NI KAMA MKOA..Tunahitaji serikali ya TANGANYIKA.
..Kwa hali ilivyo sasa hivi Watanganyika hatuna mtetezi ktk serikali ya muungano.
..Rais ni Mzanzibari. Kateua Waziri Mzanzibari ambaye ameamua kuuza mali za Watanganyika.
..Makame Mbarawa ameteuliwa kimakosa kusimamia wizara isiyo na muungano.
Cc Nguruvi3
Hii issue ya utanganyika imeibuka ghafla....kulikoni?..Tunahitaji serikali ya TANGANYIKA.
..Kwa hali ilivyo sasa hivi Watanganyika hatuna mtetezi ktk serikali ya muungano.
..Rais ni Mzanzibari. Kateua Waziri Mzanzibari ambaye ameamua kuuza mali za Watanganyika.
..Makame Mbarawa ameteuliwa kimakosa kusimamia wizara isiyo na muungano.
Cc Nguruvi3
Tanganyika ilishazikwa na alieleta huu muungano ,Hakika tunahiitaji Tanganyika yetu sasa kuliko wakati mwingine wowote, tumechelewa sana
Maza anauza kila kitu upande wa baraItapendeza zaidi bandari iuze kabisa liwe ni pigo kichwani ili damu zitoke masikioni tujue vizuri kwamba huu muungano ni wa "chetu ni chao ila chao sio chetu".
Itapendeza Serengeti na Bagamoyo iwe sehemu ya Zanzibar, Ni ndugu zetu ehhh ?
Nawasilisha
Maza anauza kila kitu upande wa baraItapendeza zaidi bandari iuze kabisa liwe ni pigo kichwani ili damu zitoke masikioni tujue vizuri kwamba huu muungano ni wa "chetu ni chao ila chao sio chetu".
Itapendeza Serengeti na Bagamoyo iwe sehemu ya Zanzibar, Ni ndugu zetu ehhh ?
Nawasilisha
Mmoja alishapigaga bei Loliondo, wengine wanataka wamalizie na ngorongoro kabisa. tangu miaka ile tunapigania loliondo hadi leo mwarabu amefanya pale kwao tu. huu muungano unapaswa kufanyiwa tathmini haraka iwezekanavyo, na atakayefanya hilo ni CHADEMA, ccm wameshindwa na wana maslahi visiwani huwa wanapata kura kule ndio maana wanaushikilia. chadema huwa hamnaga kura kule, identify yourself na muikomboe Tanganyika muone kama hamtapata wafuasi wengi kuliko hata ccm. changamkeni.Itapendeza zaidi bandari iuze kabisa liwe ni pigo kichwani ili damu zitoke masikioni tujue vizuri kwamba huu muungano ni wa "chetu ni chao ila chao sio chetu".
Itapendeza Serengeti na Bagamoyo iwe sehemu ya Zanzibar, Ni ndugu zetu ehhh ?
Nawasilisha
Hii issue ya utanganyika imeibuka ghafla....kulikoni?
Ziwa Victoria wachukue piaItapendeza zaidi bandari iuze kabisa liwe ni pigo kichwani ili damu zitoke masikioni tujue vizuri kwamba huu muungano ni wa "chetu ni chao ila chao sio chetu".
Itapendeza Serengeti na Bagamoyo iwe sehemu ya Zanzibar, Ni ndugu zetu ehhh ?
Nawasilisha
Hapa Unguja bandari zetu zipo HURU na SALAMA karibuni wawekezaji
Si wanataka talaka na nyie hamtakiRais mstaafu Mwinyi, Rais Samia na Mbarawa wanahujumu Tanganyika!
Mwinyi aliuza Loliondo kwa Waarabu na Samia na Mbarawa wanauza bandari zetu kwa Waarabu, je ni nini kilicho nyuma ya pazia?
Wazanzibari wataimaliza Tanganyika kwa kuiuza kireja reja kwa Waarabu!
TumechokaaaaMuungano uvunjwe, na kila mtu akae sehemu yake inayo muhusu..
Tumechokaaaaaaaaaa!!!