..Tunahitaji serikali ya TANGANYIKA.

..Kwa hali ilivyo sasa hivi Watanganyika hatuna mtetezi ktk serikali ya muungano.

..Rais ni Mzanzibari. Kateua Waziri Mzanzibari ambaye ameamua kuuza mali za Watanganyika.

..Makame Mbarawa ameteuliwa kimakosa kusimamia wizara isiyo na muungano.

Cc Nguruvi3
 
..Tunahitaji serikali ya TANGANYIKA.

..Kwa hali ilivyo sasa hivi Watanganyika hatuna mtetezi ktk serikali ya muungano.

..Rais ni Mzanzibari. Kateua Waziri Mzanzibari ambaye ameamua kuuza mali za Watanganyika.

..Makame Mbarawa ameteuliwa kimakosa kusimamia wizara isiyo na muungano.

Cc Nguruvi3
ZANZIBAR NI KAMA MKOA
 
..Tunahitaji serikali ya TANGANYIKA.

..Kwa hali ilivyo sasa hivi Watanganyika hatuna mtetezi ktk serikali ya muungano.

..Rais ni Mzanzibari. Kateua Waziri Mzanzibari ambaye ameamua kuuza mali za Watanganyika.

..Makame Mbarawa ameteuliwa kimakosa kusimamia wizara isiyo na muungano.

Cc Nguruvi3
Hii issue ya utanganyika imeibuka ghafla....kulikoni?
 
Itapendeza zaidi bandari iuze kabisa liwe ni pigo kichwani ili damu zitoke masikioni tujue vizuri kwamba huu muungano ni wa "chetu ni chao ila chao sio chetu".

Itapendeza Serengeti na Bagamoyo iwe sehemu ya Zanzibar, Ni ndugu zetu ehhh ?

Nawasilisha
Maza anauza kila kitu upande wa bara
 
Itapendeza zaidi bandari iuze kabisa liwe ni pigo kichwani ili damu zitoke masikioni tujue vizuri kwamba huu muungano ni wa "chetu ni chao ila chao sio chetu".

Itapendeza Serengeti na Bagamoyo iwe sehemu ya Zanzibar, Ni ndugu zetu ehhh ?

Nawasilisha
Mmoja alishapigaga bei Loliondo, wengine wanataka wamalizie na ngorongoro kabisa. tangu miaka ile tunapigania loliondo hadi leo mwarabu amefanya pale kwao tu. huu muungano unapaswa kufanyiwa tathmini haraka iwezekanavyo, na atakayefanya hilo ni CHADEMA, ccm wameshindwa na wana maslahi visiwani huwa wanapata kura kule ndio maana wanaushikilia. chadema huwa hamnaga kura kule, identify yourself na muikomboe Tanganyika muone kama hamtapata wafuasi wengi kuliko hata ccm. changamkeni.
 
Itapendeza zaidi bandari iuze kabisa liwe ni pigo kichwani ili damu zitoke masikioni tujue vizuri kwamba huu muungano ni wa "chetu ni chao ila chao sio chetu".

Itapendeza Serengeti na Bagamoyo iwe sehemu ya Zanzibar, Ni ndugu zetu ehhh ?

Nawasilisha
Ziwa Victoria wachukue pia
 

Attachments

  • CF26D075-2AA1-4E87-991A-6A39D3A60450.jpeg
    CF26D075-2AA1-4E87-991A-6A39D3A60450.jpeg
    72.9 KB · Views: 5
  • 387261CA-E97D-48BE-83A2-4E3F571A2E05.png
    387261CA-E97D-48BE-83A2-4E3F571A2E05.png
    136.5 KB · Views: 7
Rais mstaafu Mwinyi, Rais Samia na Mbarawa wanahujumu Tanganyika!
Mwinyi aliuza Loliondo kwa Waarabu na Samia na Mbarawa wanauza bandari zetu kwa Waarabu, je ni nini kilicho nyuma ya pazia?

Wazanzibari wataimaliza Tanganyika kwa kuiuza kireja reja kwa Waarabu!
 
Rais mstaafu Mwinyi, Rais Samia na Mbarawa wanahujumu Tanganyika!
Mwinyi aliuza Loliondo kwa Waarabu na Samia na Mbarawa wanauza bandari zetu kwa Waarabu, je ni nini kilicho nyuma ya pazia?

Wazanzibari wataimaliza Tanganyika kwa kuiuza kireja reja kwa Waarabu!
Si wanataka talaka na nyie hamtaki
 
Kwanza Zanzibar imekuka percentage nyingi sana kwenye mikopo na Hela zote zinalipwa na tanganyika
 
Back
Top Bottom