Mbowe: Rais Samia haaminiki, aweke hadharani mkataba wa bandari ili tuuone

Erythrocyte

JF-Expert Member
Nov 6, 2012
117,741
218,332
Screenshot_2023-10-23-20-09-43-1.png
Akihutubia Maelfu ya Wananchi huko Nkasi kwenye ile Oparesheni Kabambe inayoitwa Oparesheni 255 okoa Bandari zetu, Mwenyekiti wa Chadema, Feeman Mbowe, amesema Rais Samia haaminiki na ili tuamini kile kilichosainiwa jana alichodai ni mkataba wa bandari na DP WORLD ya Dubai basi mkataba huo uwekwe hadharani. Hii ni kwa sababu tunaweza kuwa tumepigwa (zilongwa mbali zitendwa mbali).

Awali Wananchi walimtaka Mbowe aombe nakala ya mkataba huo ili wauone na kujiridhisha kama kilichosemwa ndicho kilichoandikwa .
 
Ukweli ni kwamba, tukiukubali uhuni wa IGA, tumeuza vizazi vyetu vyote.

Mpaka sasa IGA ipo vile vile, hakuna kilichobadilika. DP wakati wowote huko mbeleni wana uwezo wa kutudani tutimize masharti ya IGA, tukigoma, tutashtakiwa, na lazima tutalipishwa kwa kukiuka makubaliano.

Siku hizi za mwanzoni wanaweza wasitudai chochote kuhusiana na IGA, ili tujisahau na tuamini kuwa IGA haipo, lakini huko mbeleni ni lazima watatugeuka.
 
Mbowe aache utapeli wake hapa wa kuwahadaa wafuasi wake ambao alishawachukulia kama manyumbu wake. Yeye ndiye haaminiki ambaye alishakifanya chama kama mradi wake binafsi, ndio maana aliuza chama 2015 akapiga pesa zake akatulia pembeni akawa anatumbua tu pesa kwa raha zake.

Mbowe huyo huyo alikuwa anakirundikia chama madeni yasiyo hata risiti wala makubaliano lakini akawa anajilipa tu kupitia watu wake aliowachomeka kijanja. Miaka yote Mbowe amekuwa akitafuna Ruzuku kama mchwa mwenye njaa mpaka akashindwa hata kujenga choo tu cha ofisi pale kwenye ofisi za kupanga. Mbowe alishindwa kupaka hata rangi tu ya ofisi zile za kupanga wanazoendelea kubanana utafikiri mbuzi wa mnadani.

Sasa Mbowe ataaminika kwa nani zaidi ya nyumbu wake wasiojitambua? Nani atamsikiliza Mbowe aliye dalali mkuu wa kutumia chama kwa manufaa yake binafsi huku wanachama wakitumika kama makarai tu?

Rais wetu anaaminika na ndio maana Anaendelea kuungwa mkono na watanzania wote ikiwepo viongozi wa Dini zote hapa nchini. Mbowe akae kwa kutulia na kuendelea kutafuna pesa za nyumbu wake.
 
Wenye akili wanaongea sasa. Asante Mh. Mbowe!
Ninyi hamjitambua na hamna akili ndio maana mbowe anawaburuza kama ng'ombe wapelekwao machinjioni.

Mbowe hana uadilifu wa kusema na kuaminika kwa wenye akili kwa kuwa ni mbabaishaji tu na dalali wa kisiasa anayetumia chama kujitajirisha yeye binafsi huku wanachama wakiishia kuwa kama watumwa.

Ndio maana ukigusa ukigoda wake lazima uonyeshwe kazi.kama huamini waulize waliojaribu kutaka kushindana naye walichokipata.

Alishasema usionje sumu kwa ulimi. Chama kapewa kama urithi na mradi wake na familia yake.ninyi ni wasindikizaji tu
 
Ukweli ni kwamba, tukiukubali uhuni wa IGA, tumeuza vizazi vyetu vyote...
Acha Ramli wewe maana naona aibu zimewashika na mmeanza kuhamisha magoli kama kawaida yenu ya unyumbu. Si mlikuwa mnasema mkataba ni wa milele?

Si mlisema serikali haiwezi kujitoa? Si mlisema nchi imeuzwa na bandari zote za bara zimeuzwa? Si mlisema hatuna chetu?

Kweli ninyi ni manyumbu kweli kweli na hamjitambui hata kidogo ndio maana akili zenu hazieleweki mnasimamia nini na mnashikilia nini, ninyi ni kama mavinyonga tu. Ndio maana mnaburuzana huko kama mbuzi wapelekwao malishoni.
 
View attachment 2790507
Akihutubia Maelfu ya Wananchi huko Nkasi kwenye ile Oparesheni Kabambe inayoitwa Oparesheni 255 okoa Bandari zetu , Mwenyekiti wa Chadema , Feeman Mbowe , amesema Rais Samia haaminiki , na ili tuamini kile kilichosainiwa jana alichodai ni mkataba wa bandari na DP WORLD ya Dubai basi mkataba huo uwekwe hadharani , Hii ni kwa sababu tunaweza kuwa tumepigwa ( zilongwa mbali zitendwa mbali )

Awali wananchi walimtaka Mbowe aombe nakala ya mkataba huo ili wauone na kujiridhisha kama kilichosemwa ndicho kilichoandikwa .
Hakuna sheria hiyo duniani. Mikataba ya kibiashara ile, siyo "public".

Mikataba ya kuoneshwa kila mtu ni ile inayofika bungeni.
 
View attachment 2790507
Akihutubia Maelfu ya Wananchi huko Nkasi kwenye ile Oparesheni Kabambe inayoitwa Oparesheni 255 okoa Bandari zetu , Mwenyekiti wa Chadema , Feeman Mbowe , amesema Rais Samia haaminiki , na ili tuamini kile kilichosainiwa jana alichodai ni mkataba wa bandari na DP WORLD ya Dubai basi mkataba huo uwekwe hadharani , Hii ni kwa sababu tunaweza kuwa tumepigwa ( zilongwa mbali zitendwa mbali )

Awali wananchi walimtaka Mbowe aombe nakala ya mkataba huo ili wauone na kujiridhisha kama kilichosemwa ndicho kilichoandikwa .
Hamna nchi duniani inaweka mikataba for public domain. Mbowe acha kuwadanganya washamba wa Sumbawanga. Mikataba ni trade secrets na ziko strongly protected through NDAs
 
Back
Top Bottom