Wanasemaga ipo remote ! Sasa kulikoni kwenye hili suala !! Wabongo ni wasahaulifu sana. !!Ngoja muwekewe Derby la simba yanga mtasahau yote
Ngoja mletewe matamasha ya wasani
Wazunguke mikoa yote mtasahau kila kitu
Ova
Na unaambiwa hii inchi ina wanausalama wa kimkakati wabobevu!!Mapato yatakayotokana na bandari za Tanganyika ni ya muungano na Zanzibar inapata mgao wake achilia mbali mgao wa 4.5% BoT kwa pato linalotokana na rasilimali za Bara.
Sasa hivi Zanzibar wanampango wa kulipa wajumbe wa nyumba kumi mishahara. Tayari wazee wanalipwa pensheni na waliobaki wanatumia umeme bure. Hapo hawajui gharama za ulinzi , mambo ya ndani na nje au taasisi zingine za muungano.
Huyu Mbarawa anakuwaje waziri wa jambo lisilo la muungano? Sasa Rais wa JMT ni Mzanzibar, Rais wa SMZ ni Mzanzibar na Waziri ni Mzanzibar. Nani anamtetea Mtanganyika kwa usawa huo.
Uuzwaji wa bandari hauna uchungu isipokuwa kwa Watanganyika.
Nyerere, Mkapa, Kikwete , JPM walijua hilo hawakuwahi kufikiria. Walijua ni rasilimali na hazina za Watanganyika
Mwinyi aliuza Loliondo ''ujombani'' akiwa na Waziri Diria. Historia bwana!
JokaKuu Pascal Mayalla
Hutaki ukweli ufahamike ?Kwanini munasambaza Chuki? Munafaidika na nini kusambaza hizo chuki?
Una point sana ila umemaliza vibaya, eti Jiwe alikuwa na akiliA huge miscalculation by SSH. Watanzania (watanganyika) wameibiwa sana kwa mgongo wa ubinafsishaji, yaani serikali inatumia matrilioni kuwekeza kwenye kitu alafu mwisho wa siku wahuni wachache wanapiga dili na kuuziwa kwa bei za kutupa.
Imetokea tena na tena na tena, ATCL, TTCL, TRC, NBC, mashamba ya serikali, nyumba za serikali, viwanda vya serikali na mengine mengi. Bado CCM haijifunzi tu??
Watu wanamlaumu JPM kuwa alikuwa katili lakini bwana yule alikuwa na akili za kutatua changamoto, akiona sehemu kuna mapungufu basi anaumiza kichwa kuona taitizo ni nini, watu? Mifumo? Sheria? Kisha anajaribu kutatua.
Kama Bandari sio issue ya Muungano kwa Nini Waziri mzenji anakuwa Waziri wa Bandari!? Miundo mbinu!?Bandari sio ishu ya Muungano ingawa DP World wamepewa kandarasinya kujenga Bandari Mpya ya Zanzibar na huenda ndio wakawa operator pia.
mh!!!Miongoni mwa siri zilizofichuliwa leo kuhusu Mkataba wa kuiuzia kampuni ya Waarabu Bandari za Tanzania, imo habari kwamba Bandari zitakazohusika ni zile za Tanganyika Pekee, za Zanzibar hazitahusika.
Ikumbukwe kwamba Bandari ni miongoni mwa mambo ya Muungano, ikiwa kama jambo hili lina faida kwanini tunaitenga Zanzibar. Je, Wazanzibar hawataki faida?
Bali kitu pekee ambacho tumekiona ni kwamba Waziri Aliyesaini Mkataba huu anayeitwa Makame Mbarawa anatokea upande wa Zanzibar kama alivyo Rais Samia Suluhu Hassan.
Najua hapo kwa JPM natofautia na wengi.Una point sana ila umemaliza vibaya, eti Jiwe alikuwa na akili
Mwamba atabaki kuwa visionary leader ever !!Najua hapo kwa JPM natofautia na wengi.
Kusema kweli, waziri yule anazingua. Mambo hayaendi kabisa...ni kwasababu Watanganyika tuna tabia ya kulala usingizi tukidhani tuko salama ktk serikali ya muungano.
..hii sio mara ya kwanza Rais wa muungano toka Zanzibar kuteua Mzanzibar ktk wizara isiyo ya muungano, halafu waziri huyo kuanza kutenda ndivyo-sivyo.
Hutaki ukweli ufahamike ?
Mpaka bandari ya KIBIRIZI mmmmmmaekuna tanzaniaa na zanzibar... ila tanganyika haipoo tena! huu mkatabaa wa kifalaaa huyu mzanzibar mwenzao kaona ndugu zake wasiwepoo... sisi mazombi ya baraa ndo tuzagamuliwee na waarabu
Kesho waarabu wanalamba Bandari zetu kimasikhalakuna tanzaniaa na zanzibar... ila tanganyika haipoo tena! huu mkatabaa wa kifalaaa huyu mzanzibar mwenzao kaona ndugu zake wasiwepoo... sisi mazombi ya baraa ndo tuzagamuliwee na waarabu
wajee watukate tuu maana washatuvua nguoooo...Mpaka bandari ya KIBIRIZI mmmmmmae View attachment 2651264
yani hakuna namna ule mkataba unafaa hata kusemwa mbele za watuuuu... hata kichaaaa hawezi ukubaliKesho waarabu wanalamba Bandari zetu kimasikhala
Kama ukweli ni hivo bas acha kulalamika.Hapo zamani kidogo wenzetu wa Zenji ndio waliokuwa wanaulaani huu muungano !
Sasa hivi imebadilika wabara ndio wanalalamika ! Kumbe kweli kulia ni kupokezana !