mwongozo junior
Senior Member
- Jul 28, 2015
- 180
- 64
Kitendo Cha Magufuli Kuangalia Makabila Ndio Ukabila Wenyewe Atakua Ana U-practice, Vilevile Dini. Kitu Cha Msingi Ni Kua Na Fursa Nyingi Za Ajira, Ili Wenye Sifa Waajirike, Waache Kulalama Mitaani Na Kuzusha Hofu Na Distrust. Funny How! Wabongo Wanatabia Ya Kuipondea Kenya Sana Kua Ina Ukabila Kumbe Hapa Bongo Ndio Cancer Yenyewe, Ukiwa Kabila Fulani Hutakiwi Kua Prezidaa, Ukiwa Dini Fulani Usubiri Mpaka Zamu Yako Ije, Manake Ni Wazamu Kwa Zamu. Ukiwa Nje Ya Chamadola Hupewi Hata Ukuu Wa Chuo, Tuache Unafiki.
Kuongeza wigo Wa ajira ni sawa lkn siyo ufumbuzi. Wale waliyohodhi ajira wataendelea kuvuta /kuwapa watu wao kazi. Swali langu n kwamba huu mdudu Wa ajira kukaa kidini, kikabila na kikanda utauawa lini? Hiyo ndiyo hoja yangu.
Usizunguuke mbuyu. Pasua jipu