Nyanya mbichi
JF-Expert Member
- Nov 10, 2011
- 3,716
- 2,207
Kubenea anawaambia watanzania wampe ubunge ndo atoe list ya mafisasidi...
We are living in a crazy world
katafuta kinga ya kibunge
Kubenea anawaambia watanzania wampe ubunge ndo atoe list ya mafisasidi...
We are living in a crazy world
Leta bia mojaWasomi huwa mnajifanya hamkiungi chama cha mapinduzi kwa kujifanya kimbelembele na ukawa mfate boom ukawa sasa na boom hampati tukiwahurumia sana tutawapa 12000 wengne tu au tusiwape kabisa hatuna pesa za kuchezea kuwapa wasiotuunga
huo ni mtaji wa ccm haiwezi kufanya hivyoWakuu wa Wilaya hawana Kazi, wafutwe! Hawamo hata ktk Katiba! Huapishwa na Wakuu wa Mikoa na siyo Rais! Kazi ya kusimamia Maendeleo ni ya Wakurugenzi wa Halmashauri! Ma- DC, eti ni Wenyeviti wa Kamati ya Ulinzi na Usalama ya Wilaya! Waachiwe Polisi kazi hiyo, na kuwajibika kwa IGP! Ma-RC, badala ya kuhudhuria Sherehe tu, wasimamie Wilaya zao zote, wao wenyewe, wakiwa wawakilishi wa Rais! Itapunguza sana Gharama za Serikali!
Waswahili ndio maana umaskini unawapendeza kweli, hoja hapa ni kumshauri Rais do and dots wewe unamrukia Lowasa?Kama ilifikia mahali wananchi wakatia nia ya kumpeleka ikulu ENL bila kujali mapungufu yake mazito maeneo mengi lazima CCM wabadilike kabla hawajafurumushwa ikulu kwa namna ya ajabu itayowaacha hawaamini nini kimetokea ...
Magufuli ni Intelligent sana. Anajua jinsi ya kucheza na kila mtu
Aanze na ya kuiua CHADEMA kwanza kama Mkapa alivyofanya kwa NCCR, maana wamekuwa na fujo sana mitaani. hII ITAMSAIDIA KUFANYA MAJUKUMU YAKE BILA KUBUGHUDHIWA
Aanze na ya kuiua CHADEMA kwanza kama Mkapa alivyofanya kwa NCCR, maana wamekuwa na fujo sana mitaani. hII ITAMSAIDIA KUFANYA MAJUKUMU YAKE BILA KUBUGHUDHIWA
Huu uchaguzi umeacha majeraha mengi na makubwa yanayohitaji kiongozi mwenye busara na hekima kuweza kuyaponyesha. Kwa kuwa Magufuli naye alijitambulisha kama kiongozi anayetaka mabadiliko, aoneshe toka mwanzo kabisa kwamba yeye ni tofauti na business wont be as usual anymore. Tukubali tusikubali ukweli ni kwamba, kulingana na matakwa ya katiba yetu ya sasa, tayari katangazwa na kuapishwa kama Raisi wa Tanzania. Aanze kwa kuwa Raisi wa wote.Well said mkuu
- Usikubali kofia mbili; wewe ni Raisi, uenyekiti wa CCM muachie mwingine ili chama kibaki chama na serikali ibaki serikali.
- Washauri Wabunge wa CCM, watangulize maslahi ya taifa mbele ya maslahi ya chama.
- Washauri Wabunge wa CCM kama itawezekana wamchague Spika wa Bunge asiyeegemea upande wowote.
- Pokea ushauri kutoka kwa vyama vya siasa lakini uwe huru kufanya maamuzi kulingana na matakwa ya Katiba ukizingatia maslahi ya wananchi.
- Usiruhusu Ikulu kutumika kwa maslahi ya CCM, vikao vya chama vifanyike nje ya Ikulu.
- Washauri CCM waachie mali za wananchi kwa kuzirudisha mikononi mwa wananchi kupitia serikali.
- Agiza vyombo vya dola vitoe haki sawa kwa wananchi bila upendeleo.
- Futa sheria zote kandamizi zinazozuia uhuru wa kutafuta, kupokea na kutoa habari. Vyombo vyote vya habari viwe huru.
- Hakikisha mikataba yote tunayoingia inawekwa wazi ili vijadiliwe na kupitishwa na Bunge.
- Vikumbushe vyombo vya dola kwamba jukumu lao la kwanza ni kuwalinda Watanzania na mali zao na si kupambana nao.
Hoja yako ni nini?Waswahili ndio maana umaskini unawapendeza kweli, hoja hapa ni kumshauri Rais do and dots wewe unamrukia Lowasa?
Huwezi kuishi maisha ya Lowasa mpaka unaingia kaburini, kuna wanayemwita Nabii anaheshimika Dunia nzima TB Joshua kaja Tanzania kaenda masaki kwa Lowasa na wameenda wote Monduli, wewe kajamba nani anakujuwa nani? roho mbaya ndio maana liinchi linaalaniwa na miaka inavyokwenda unazidi kuwa maskini, hivi Mungu angekuazima mamlaka yake yapo kwa dakika 2 tu si ungeshautowa uhai wa Lowasa?
Kwako wewe muadilifu ni padre mzinzi Slaa, aliyelihasi kanisa, aliyepora mke wa mtu na sasa anaishi nae kama hawara wewe huyu ndio unamuona muadilifu? poor you.
Usilazimishe hoja za nguvu!1:Yesu aliingia mjini Yeriko, akawa anapita katika njia za mji huo. 2:Kulikuwa na mtu mmoja mjini, jina lake Zakayo ambaye alikuwa mkuu wa watoza ushuru tena mtu tajiri. 3:Alitaka kuona Yesu alikuwa nani, lakini kwa sababu ya umati wa watu, na kwa vile alikuwa mfupi, hakufaulu. 4:Hivyo, alitangulia mbio, akapanda juu ya mkuyu ili aweze kumwona Yesu, kwa maana alikuwa apitie hapo. 5:Basi, Yesu alipofika mahali pale, aliangalia juu akamwambia, "Zakayo, shuka upesi, maana leo ni lazima nishinde nyumbani mwako." 6:Zakayo akashuka haraka, akamkaribisha kwa furaha. 7: Watu wote walipoona hayo, wakaanza kunung'unika wakisema, "Amekwenda kukaa kwa mtu mwenye dhambi." 8: Lakini Zakayo akasimama akamwambia Yesu, "Sikiliza Bwana! Mimi nitawapa maskini nusu ya mali yangu, na kama nimenyang'anya mtu yeyote kitu, nitamrudishia mara nne." 9: Yesu akamwambia, "Leo wokovu umefika katika nyumba hii, kwa vile huyu pia ni wa ukoo wa Abrahamu. 10: Kwa maana Mwana wa Mtu amekuja kutafuta na kuokoa waliopotea."