Status
Not open for further replies.
Aache siasa za chuki mauaji na kupoteza watu

Sisi wote ni Watanzania hakuna mgeni anayemkosoa zaidi ya wazawa.....


Aache figisufigisu za kuzuia upinzani kufanya siasa zao kwa uhuru ...

Aache kuchezea katiba ya nchi na kutunga vijisheria uchwara kuna siku izo sheria zitatumika kuwashugulikia ata wajukuu zake .....

Mpaka sasa sijaona alichifanya vizuri chochote labda akijenga bwawa la kufua umeme wa maji wenye bei nafuu ndio naweza msifia kwa ilo tu...

Mengine yote kapuyanga sana kila kitu anashindwa sio utawala bora sio uchumi wala siasa hakuna anachokijua..
 
Atambue hii mikopo anayochukua kwa fujo ana uhakika miradi yake itaweza kurejesha? Je ana maelezo ni kwa jinsi gani miradi hiyo itarejesha mikopo hiyo?
 
Weka link tafadhali....sijawahi kujua km ipo
https://www.jamiiforums.com/threads...wa-rais-dkt-john-pombe-magufuli.966354/unread

 
Hakuna kununua mandege tena,faida yake ipo ila inachukua muda mrefu kuipata,ainvest kwenye education..ni common saying urithi wa baba kwa wana ni elimu,na yeye ndio atuachie elimu….watu wote wasome,mkubwa mdogo disabled etc...anyone capable of studying, should be given access to.....Mkuu..@TheLobbyist unanipa shilingi ngapi? LOL
 
Mficha uchi hazai.
 
Sitawaongezea mishahara Watumishi wa umma! Nitatumia usafiri wa baiskel, Wafanyabiashara hawatalipa kodi

Wakulima watapewa mbolea bure, kila mwananchi atalipwa mshahara wa Tsh. milion moja, kila kaya itapewa gari kulingana na idadi yao!!

Mungu mubariki Magufuli aijenge nchi ili nikija kuitawala Awe ametengenezea miundo mbinu ya kula bata watu wote mpaka mwisho wa dunia
 
Umesahau " kuwa utakuwa unavuta bangi" Rais sio mchezo mchezo, usione Mkuu wa Nchi akichukizwa, akikosoa, akipaza sauti Kali, akitoa watu madarakani, tena aalioteua mwenyewe, akikuteua akikukuondoa umeshampa usumbufu, na ndio maana watu kama #$!$+$8 wakimsapoti nyinyi mnang'aka that does not help even wee ikitokea umeupata urais. Rais nyerere Mwenyezi Mungu ''Amrehemu hayati Mwalimu Nyerere" alikuwa mkali kuliko marais wengine, Itatakiwa raid ajaye awe mkali zaidi, tena awe mmasai, awe kama Hayati Sokoine
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…