mkorinto
JF-Expert Member
- Jun 11, 2014
- 30,703
- 37,316
Akaguliwe na CAG!
CAG kamaliza ubishi,keshakagua tunasubiri hukumu.
Akaguliwe na CAG!
Kipi mkuu?Au.kile kitakachotununulia balimi mbilimbili?Dah!Matapeli wana vineno vitamu sana.
Hakuna anayemchukia bali tunampenda sana kwa sababu anatimiza ahadi zake za maendeleo. Darasa la tatu hilo katika Tanzania ya Magufuli. Maendeleo hayana chama. Msema kweli ni mpenzi wa Mungu.
View attachment 1018043
Unahangaishwa na tribalism mentality you bastard with an empty skull.Hahah umeita Wachaga kijanja, ngoja tufanye sensa JM!
Wasiompenda jinsi alivyo(muonekano) au matendo yake?
Jiwe kazuia ajira za walimu ,dadeki mi nlitumia hela yangu kwenda kusoma PGDE ili nikimaliza niingie kwenye system nikope hela niachane na kazi deni angelipa mkurugenzi huyu jiwe na roho mbaya yake katupiga Ban ,now nimeamua kuvunja kokoto tu
Sent using Jamii Forums mobile app
Unahangaishwa na tribalism mentality you bastard with an empty skull.
Kampun hewa ya korosho kutoka kenya
Hivi baba akifariki alafu asubuhi unaona jamaa anatoka na taulo chumba cha mama uyo ni nani kwako yani upende usipende uyo ni baba mdogo maana mama yako ndio analala naye kwaiyo tupende tusipende baba JK ashasepa na anayetoka chumba cha mama ni magu so ndie rais wetu miye nampenda ila akizingua tunamsema