mpimamstaafu
JF-Expert Member
- Jul 18, 2018
- 4,445
- 4,704
Hakuna haja kwani kujenga fly over haimgusi mwananchi? Aendelee kujenga maendeleo ya VituHapo vip!!
Katika hawamu hii, hawajafanikiwa kuleta na kufanya mpango wa maendeleo inayogusa nchi nzima bali ni hizi program ndogo zinazogusa ukanda fulani, mfano ununuzi wa ndege inamsadiaje mtu wa nachingweya mtwara, au treni ya umeme kutoka dar kwenda mwanza inamsadiaje mtu wa Oldadai -Arusha.
Mfano kipindi cha Kikwete ulianzishwa mpango wa shule za Kata Tanzania nzima na niwazi huu mpango imewagusa na kuwasaidia watanzania wengi katika kila kona ya Nchi.
Pili Kikwete alifanya mpango wa kujenga barabara za lami Nchi nzima na mpango huu imemgusa na kuwasaidia watanzania wote.
Mimi tokea uingie madarakani bado sijaona mpango uliokuja nao Kwa lengo la kuwasaidia watanzania au kuibadisha Tanzania Kwa ujumla, hizi Sijui treni za umeme na ununuzi wa ndege ni projects ndogo ndogo sana.
Hivi washauri wa rais Kwa nini msimshauri vizuri katika eneo la uchumi , mkaacha kumuogopa, Kwanini yeye ni Mungu bhana.
Hivi viprojects vidogo vidogo anavyofanya ni za level za mawaziri na wabunge.
Unaishi dunia gani mkuu,elimu bure pamoja na uboreshaji wa huduma za afya kwako sio maendeleo?Hapo vip!!
Katika hawamu hii, hawajafanikiwa kuleta na kufanya mpango wa maendeleo inayogusa nchi nzima bali ni hizi program ndogo zinazogusa ukanda fulani, mfano ununuzi wa ndege inamsadiaje mtu wa nachingweya mtwara, au treni ya umeme kutoka dar kwenda mwanza inamsadiaje mtu wa Oldadai -Arusha.
Mfano kipindi cha Kikwete ulianzishwa mpango wa shule za Kata Tanzania nzima na niwazi huu mpango imewagusa na kuwasaidia watanzania wengi katika kila kona ya Nchi.
Pili Kikwete alifanya mpango wa kujenga barabara za lami Nchi nzima na mpango huu imemgusa na kuwasaidia watanzania wote.
Mimi tokea uingie madarakani bado sijaona mpango uliokuja nao Kwa lengo la kuwasaidia watanzania au kuibadisha Tanzania Kwa ujumla, hizi Sijui treni za umeme na ununuzi wa ndege ni projects ndogo ndogo sana.
Hivi washauri wa rais Kwa nini msimshauri vizuri katika eneo la uchumi , mkaacha kumuogopa, Kwanini yeye ni Mungu bhana.
Hivi viprojects vidogo vidogo anavyofanya ni za level za mawaziri na wabunge.
Sasa hivi ndio wanamichango mingi kuliko kipindi cha nyuma, elimu bure ilikuwa sera ya kisiasa na sio sera iliyotokana na wataalam ndio maana walifeli.Unaishi dunia gani mkuu,elimu bure pamoja na uboreshaji wa huduma za afya kwako sio maendeleo?
Hapo vip!!
Katika hawamu hii, hawajafanikiwa kuleta na kufanya mpango wa maendeleo inayogusa nchi nzima bali ni hizi program ndogo zinazogusa ukanda fulani, mfano ununuzi wa ndege inamsadiaje mtu wa nachingweya mtwara, au treni ya umeme kutoka dar kwenda mwanza inamsadiaje mtu wa Oldadai -Arusha.
Mfano kipindi cha Kikwete ulianzishwa mpango wa shule za Kata Tanzania nzima na niwazi huu mpango imewagusa na kuwasaidia watanzania wengi katika kila kona ya Nchi.
Pili Kikwete alifanya mpango wa kujenga barabara za lami Nchi nzima na mpango huu imemgusa na kuwasaidia watanzania wote.
Mimi tokea uingie madarakani bado sijaona mpango uliokuja nao Kwa lengo la kuwasaidia watanzania au kuibadisha Tanzania Kwa ujumla, hizi Sijui treni za umeme na ununuzi wa ndege ni projects ndogo ndogo sana.
Hivi washauri wa rais Kwa nini msimshauri vizuri katika eneo la uchumi , mkaacha kumuogopa, Kwanini yeye ni Mungu bhana.
Hivi viprojects vidogo vidogo anavyofanya ni za level za mawaziri na wabunge.
Unaishi dunia gani mkuu,elimu bure pamoja na uboreshaji wa huduma za afya kwako sio maendeleo?
Mkuu sijui unaishi pembe gani ya Tanzania, ingekuwa vizuri kama ungekaa kimya maana kitendo cha kuamua kuba humu na kuanza kuandika utumbo usio heleweka mimi naona umejihaibisha mwenyewe tu.
Uamuzi uliochukuliwa na Rais Magufuli wa kuleta sera ya elimu bure kwa watoto wetu kuanzia shule ya msingi hadi kidato cha nne, hiyo peke yake ni hatua kubwa sana ya maendeleo ambayo yanamgusa kila mwananchi wa kila kijiji. Uamuzi huu sio mdogo kwenye kwenye kuchangia maendeleo ya watanzania.
Napende kukukumbusha kitu kimoja, hizo barabara ambazo unada Rais Kikwete amezijenga kwa lami na kuzisambaza nchi nzima, msimamizi wa hizo barabara alikuwa Rais Magufuli ambaye wakati huo alikuwa waziri wa ujenzi, usafiri na mawasiliano. Wewe unafikiri kwa nini anajulika kwa jina la Bulldozer?
Arusha ni mji maarufu kwa sekta ya utalii Tanzania, kukiwa na usafiri wa uhakika kwa watalii kwenda kwa ndege Arusha, namaanisha Kilimanjaro, huoni mwananchi
wa Oldadai -Arusha naye atafaidika kwa namna moja au nyingine kama atajishughulisha na mambo ya biashara au kutafuta ajira?
Arusha kuna uzinduzi wa mradi mkubwa wa maji utakaopunguza shida ya maji jijini hapo.Maji ambalo ni hitaji muhimu kwa uhai wa binadamu ni issue Tanzania karibu yote. Wakati wa kiangazi wenye nguvu hupata rizki kwa kuchotea maji wale wasio na nguvu au wenye u shuleni wa maisha.
Pesa inayotumika kugharamia maji ingeweza kuboresha makazi na kudhibiti wadudu kama mbu, tungedhibiti malaria.
Ulizia pesa ya budget ma maji mwaka huu wa fedha iliyofika Wizara ya maji.
Hii thread iwe Maalum kwa Maoni, Ushauri na Mapendekezo mbalimbali kwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli.
Mimi namuomba, Mheshimiwa Rais mteuliwa, kwa heshima na taadhima hili ni ombi binafsi kwako.
Nnaomba uhakikishe huyu mrembo wa ACT Bi Anna Mghwira unamuingiza bungeni na unampa wadhifa anaostahiki, huyu mama ni kichwa adhyim na adim kabisa.
Nimemfatilia mikutano yake mingi sana ya kampeni, anatoa vitu kichwani utafikiri ana word processor inayopanga na kuchuja anachokizungumza kutoka kichwani bila kusoma.
Halikadhalika leo kanifurahisha sana alipostukizwa na kutoa hotuba pale Diamond, ilikuwa fupi na imelenga points zote nzuri na ameeleweka vyema kabisa.
Anna heko sana na nitakuunga mkono katika siasa zako.
Huyu bi mdashi kakomaaa kisiasa zaid ya mamvi
Kwa mtazamo wako shida na umasikini wa watanganyika vinawapata chadema pekee yao,kumbe mnaenda kuwatia dhiki watanganyika wasio na hatia kwa kuhisi mnawakomoa cdm.Mlizoea kuishi kwa wizi wizi na ulaghai sasa jembe limevunja kwenye viuno lazima mpige kelele
Makonda mfute kazi na limbukeni!
Unafanya mambo mazuri katika yote kasoro kumlea huyo mpayukaji. Hadi wakati huu ni huyo huyo Makonda kwa uropokaji wake usiyo na STAHA hasa katika hilo la mashoga washindani wetu wanalitumia kama siraha!
Hebu tafadhari atupishe huyo bwana mdogo katika nafasi hasa hiyo aliyopo ili asiendelee kutuingiza katika sintofahamu zinginezo.
Jambo hilo lingeendelea kushughulikiwa kwa mujibu wa sheria zetu na jambo jema ni kwamba hata hatukuwa na tatizo na sheria zetu na zilitumika vizuri mno katika kuwadhibiti hao wajinga!
Narudia,SIKUPANGII!lakini huyo mropokaji na aondoke sasa.