Status
Not open for further replies.
Hapo vip!!

Katika hawamu hii, hawajafanikiwa kuleta na kufanya mpango wa maendeleo inayogusa nchi nzima bali ni hizi program ndogo zinazogusa ukanda fulani, mfano ununuzi wa ndege inamsadiaje mtu wa nachingweya mtwara, au treni ya umeme kutoka dar kwenda mwanza inamsadiaje mtu wa Oldadai -Arusha.

Mfano kipindi cha Kikwete ulianzishwa mpango wa shule za Kata Tanzania nzima na niwazi huu mpango imewagusa na kuwasaidia watanzania wengi katika kila kona ya Nchi.

Pili Kikwete alifanya mpango wa kujenga barabara za lami Nchi nzima na mpango huu imemgusa na kuwasaidia watanzania wote.

Mimi tokea uingie madarakani bado sijaona mpango uliokuja nao Kwa lengo la kuwasaidia watanzania au kuibadisha Tanzania Kwa ujumla, hizi Sijui treni za umeme na ununuzi wa ndege ni projects ndogo ndogo sana.

Hivi washauri wa rais Kwa nini msimshauri vizuri katika eneo la uchumi , mkaacha kumuogopa, Kwanini yeye ni Mungu bhana.

Hivi viprojects vidogo vidogo anavyofanya ni za level za mawaziri na wabunge.
Hakuna haja kwani kujenga fly over haimgusi mwananchi? Aendelee kujenga maendeleo ya Vitu
 
Hapo vip!!

Katika hawamu hii, hawajafanikiwa kuleta na kufanya mpango wa maendeleo inayogusa nchi nzima bali ni hizi program ndogo zinazogusa ukanda fulani, mfano ununuzi wa ndege inamsadiaje mtu wa nachingweya mtwara, au treni ya umeme kutoka dar kwenda mwanza inamsadiaje mtu wa Oldadai -Arusha.

Mfano kipindi cha Kikwete ulianzishwa mpango wa shule za Kata Tanzania nzima na niwazi huu mpango imewagusa na kuwasaidia watanzania wengi katika kila kona ya Nchi.

Pili Kikwete alifanya mpango wa kujenga barabara za lami Nchi nzima na mpango huu imemgusa na kuwasaidia watanzania wote.

Mimi tokea uingie madarakani bado sijaona mpango uliokuja nao Kwa lengo la kuwasaidia watanzania au kuibadisha Tanzania Kwa ujumla, hizi Sijui treni za umeme na ununuzi wa ndege ni projects ndogo ndogo sana.

Hivi washauri wa rais Kwa nini msimshauri vizuri katika eneo la uchumi , mkaacha kumuogopa, Kwanini yeye ni Mungu bhana.

Hivi viprojects vidogo vidogo anavyofanya ni za level za mawaziri na wabunge.
Unaishi dunia gani mkuu,elimu bure pamoja na uboreshaji wa huduma za afya kwako sio maendeleo?
 
Unaishi dunia gani mkuu,elimu bure pamoja na uboreshaji wa huduma za afya kwako sio maendeleo?
Sasa hivi ndio wanamichango mingi kuliko kipindi cha nyuma, elimu bure ilikuwa sera ya kisiasa na sio sera iliyotokana na wataalam ndio maana walifeli.
 
Hapo vip!!

Katika hawamu hii, hawajafanikiwa kuleta na kufanya mpango wa maendeleo inayogusa nchi nzima bali ni hizi program ndogo zinazogusa ukanda fulani, mfano ununuzi wa ndege inamsadiaje mtu wa nachingweya mtwara, au treni ya umeme kutoka dar kwenda mwanza inamsadiaje mtu wa Oldadai -Arusha.

Mfano kipindi cha Kikwete ulianzishwa mpango wa shule za Kata Tanzania nzima na niwazi huu mpango imewagusa na kuwasaidia watanzania wengi katika kila kona ya Nchi.

Pili Kikwete alifanya mpango wa kujenga barabara za lami Nchi nzima na mpango huu imemgusa na kuwasaidia watanzania wote.

Mimi tokea uingie madarakani bado sijaona mpango uliokuja nao Kwa lengo la kuwasaidia watanzania au kuibadisha Tanzania Kwa ujumla, hizi Sijui treni za umeme na ununuzi wa ndege ni projects ndogo ndogo sana.

Hivi washauri wa rais Kwa nini msimshauri vizuri katika eneo la uchumi , mkaacha kumuogopa, Kwanini yeye ni Mungu bhana.

Hivi viprojects vidogo vidogo anavyofanya ni za level za mawaziri na wabunge.

Mkuu sijui unaishi pembe gani ya Tanzania, ingekuwa vizuri kama ungekaa kimya maana kitendo cha kuamua kuba humu na kuanza kuandika utumbo usio heleweka mimi naona umejihaibisha mwenyewe tu.

Uamuzi uliochukuliwa na Rais Magufuli wa kuleta sera ya elimu bure kwa watoto wetu kuanzia shule ya msingi hadi kidato cha nne, hiyo peke yake ni hatua kubwa sana ya maendeleo ambayo yanamgusa kila mwananchi wa kila kijiji. Uamuzi huu sio mdogo kwenye kwenye kuchangia maendeleo ya watanzania.

Napende kukukumbusha kitu kimoja, hizo barabara ambazo unada Rais Kikwete amezijenga kwa lami na kuzisambaza nchi nzima, msimamizi wa hizo barabara alikuwa Rais Magufuli ambaye wakati huo alikuwa waziri wa ujenzi, usafiri na mawasiliano. Wewe unafikiri kwa nini anajulika kwa jina la Bulldozer?

Arusha ni mji maarufu kwa sekta ya utalii Tanzania, kukiwa na usafiri wa uhakika kwa watalii kwenda kwa ndege Arusha, namaanisha Kilimanjaro, huoni mwananchi
wa Oldadai -Arusha naye atafaidika kwa namna moja au nyingine kama atajishughulisha na mambo ya biashara au kutafuta ajira?
 
Waungwana

Kinachohitajika na matokeo ya hivi ambavyo Serikali inavifanya .

Wananchi wanahitaji IMPACT kwenye maisha yao.

Mfano ukinunua Ndege, Mwananchi anahitaj kupata matokeo ya hiyo Ndege kwenye maisha yake ya kila siku.

Serikali inapaswa kila inachofanya, itazame MWISHO wa siku kitaenda kumnufaisha vipi Mwananchi.

Ukijenga CHATO Airport, lazma upige hesabu namna gani huo uwanja utatoa matokeo (IMPACT) kwa manufaa ya Mwananchi

Hii tunaita, kufanya tathmini ya MIRADI ya SERIKALI kwa manufaa ya Mwananchi.

Hii link kwa sasa Serikali inapata kazi sana ku relate na maisha ya Mtanzania.

Tunapaswa tuongeze Nguvu kwenye ELIMU BORA, Afya kwa Wananchi wote
 
Mkuu sijui unaishi pembe gani ya Tanzania, ingekuwa vizuri kama ungekaa kimya maana kitendo cha kuamua kuba humu na kuanza kuandika utumbo usio heleweka mimi naona umejihaibisha mwenyewe tu.

Uamuzi uliochukuliwa na Rais Magufuli wa kuleta sera ya elimu bure kwa watoto wetu kuanzia shule ya msingi hadi kidato cha nne, hiyo peke yake ni hatua kubwa sana ya maendeleo ambayo yanamgusa kila mwananchi wa kila kijiji. Uamuzi huu sio mdogo kwenye kwenye kuchangia maendeleo ya watanzania.

Napende kukukumbusha kitu kimoja, hizo barabara ambazo unada Rais Kikwete amezijenga kwa lami na kuzisambaza nchi nzima, msimamizi wa hizo barabara alikuwa Rais Magufuli ambaye wakati huo alikuwa waziri wa ujenzi, usafiri na mawasiliano. Wewe unafikiri kwa nini anajulika kwa jina la Bulldozer?

Arusha ni mji maarufu kwa sekta ya utalii Tanzania, kukiwa na usafiri wa uhakika kwa watalii kwenda kwa ndege Arusha, namaanisha Kilimanjaro, huoni mwananchi
wa Oldadai -Arusha naye atafaidika kwa namna moja au nyingine kama atajishughulisha na mambo ya biashara au kutafuta ajira?

Sikiliza wewe, Kwa maoni yako tu unaonekana una huluka ya ubishi tu, elimu bure unaongelea ni ipi,ni hiyo elimu bure ya kwenye makaratasi na majukwaani au.. Kwa sababu ni wazi wazazi wanaendelea kulipa michango kama kawaida.

Hizo barabara kupewa yeye kibarua ya kusimamia haimaanishi Mradi ameanzisha yeye, hizo ni juhudi za Kikwete.. Na Kama basi ulikuwa nijuhudi zake Kama waziri,tunategemea sasa hivi akiwa rais atafanya mara nne yake.
 
Maji ambalo ni hitaji muhimu kwa uhai wa binadamu ni issue Tanzania karibu yote. Wakati wa kiangazi wenye nguvu hupata rizki kwa kuchotea maji wale wasio na nguvu au wenye u shuleni wa maisha.

Pesa inayotumika kugharamia maji ingeweza kuboresha makazi na kudhibiti wadudu kama mbu, tungedhibiti malaria.

Ulizia pesa ya budget ma maji mwaka huu wa fedha iliyofika Wizara ya maji.
Arusha kuna uzinduzi wa mradi mkubwa wa maji utakaopunguza shida ya maji jijini hapo.
 
Mliambiwa muishi kama mashetani, sasa unataka jibu gani.Agenda kuu muishi kama mashetani, anapambana na maendeleo ya vitu vitakamvomjenga yeye kisiasa kwa gharama za kodi yetu.Vipaumbele vyake si vipaumbele vya wananchi. Inatakiwa wanyonge mnyongwe haswaa ili zikae sawa akili.
 
Wanafalsafa wamenaena kuwa "you wine the people through their stomach".
Mh. Rais wetu J.P.Makufuli ana vipao mbele muhimu sana kwa baadaye na hasa kwa vizazi vijavyo viweze kupata mahitaji muhimu kwa binadamu ambavyo ni.
1. Chakula
2. Mahala pa kulala
3. Mavazi.
Ukilinganisha na utawala ulio pita na wa sasa wanainchi wa sasa wamepungukiwa kwa kiasi mahitaji hayo muhimu.
Kwa namna yoyote ile lazima tumwache na tumsaidie Rais aliyeko madarakani kutimiza ndoto yake kwani kwa kufanya hivyo haitafika mahali tukalala njaa, tukalala nje au tukatembea uchi.
Utawala wake ni wa kikatiba na una mwisho.
Rais ana ufalme/mamlaka na nguvu kwa muda akiwa madarakani. Tumtii na kutekeleza anavyotaka.
Mungu pekee ndiye mwenye ufalme, nguvu na utukufu hata milele yote.
Rais aliyeko madarakani ni mwepesi kusikiliza kero za watu na kuzishughulikia mara moja.
Jambo ambalo hapendi kama alivyo mtawala yeyote ni kukashifiwa, kutukanwa, kupingwa bila hoja/utaratibu, ufisadi, uvivu nk.
Ni mwepesi kumpokea mpinzani ambaye anamuunga mkono katika kutimiza azma yake ya kuleta maendeleo Inchini kwa kuboresha miundo mbinu kwanza kabla hajarudi kwenye mapinduzi ya KILIMO kutafuta masoko ya uhakika ya mazao ya wakulima, kujenga maghala ya kutosha ya kuhifadhia mazao ya wakulima nk.
Tumsikilize Yeye.
 
Hii thread iwe Maalum kwa Maoni, Ushauri na Mapendekezo mbalimbali kwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli.

Mimi namuomba, Mheshimiwa Rais mteuliwa, kwa heshima na taadhima hili ni ombi binafsi kwako.

Nnaomba uhakikishe huyu mrembo wa ACT Bi Anna Mghwira unamuingiza bungeni na unampa wadhifa anaostahiki, huyu mama ni kichwa adhyim na adim kabisa.

Nimemfatilia mikutano yake mingi sana ya kampeni, anatoa vitu kichwani utafikiri ana word processor inayopanga na kuchuja anachokizungumza kutoka kichwani bila kusoma.

Halikadhalika leo kanifurahisha sana alipostukizwa na kutoa hotuba pale Diamond, ilikuwa fupi na imelenga points zote nzuri na ameeleweka vyema kabisa.

Anna heko sana na nitakuunga mkono katika siasa zako.
























 
..hii nchi ni ya Watanzania wote. Sioni aibu wala kusikitika kutamka kuwa SIKUKUPIGIA KURA (NA AS LONG AS YOU KEEP DOING ALL THOSE THINGS THAT ARE NEGATIVELY AFFECTING US SITAKAA NIKUPIGIE KURA MAISHA YANGU YOTE).
Pamoja na yote wewe ni Rais wa nchi yetu (naamini hukushinda uchaguzi na ndio asili ya wewe kufanya uyafanyayo leo kwa wapinzani maana ndani ya moyo wako unajua huwezi kushinda uchaguzi wowote nchi hii ukifanywa kwa haki - sikuzushii hili maana ulishawatisha wateule wako kuwa hutarajii mtu "unaempa mshahara amtangaze mpinzani kuwa ni mshindi"); ila ukae ukijua kuwa ULIAPA KUILINDA NA KUITII KATIBA YA NCHI (pamoja na mapungufu yake yote yaliyopo leo). Kwa kuwa hukulazimishwa kugombea urais (na naamini hakuna hata leo mtu anaekulazimisha kufanya uyafanyayo leo hii); basi ujue UNAFUNGWA NA HICHO KIAPO CHAKO UKICHOKITOA NA UKITAJA JINA LA MUNGU. UNAPENDA KUSEMA.KUWA MSEMA KWELI NI MPENZI WA MUNGU; KAULI HIYO INAKUFUNGA MWENYEWE NA INAKULAZIMISHA KUWA MKWELI.

The ball is in your court. Usije kusema hukuambiwa.
 
Mlizoea kuishi kwa wizi wizi na ulaghai sasa jembe limevunja kwenye viuno lazima mpige kelele
 
Makonda mfute kazi na limbukeni!

Unafanya mambo mazuri katika yote kasoro kumlea huyo mpayukaji. Hadi wakati huu ni huyo huyo Makonda kwa uropokaji wake usiyo na STAHA hasa katika hilo la mashoga washindani wetu wanalitumia kama siraha!

Hebu tafadhari atupishe huyo bwana mdogo katika nafasi hasa hiyo aliyopo ili asiendelee kutuingiza katika sintofahamu zinginezo.

Jambo hilo lingeendelea kushughulikiwa kwa mujibu wa sheria zetu na jambo jema ni kwamba hata hatukuwa na tatizo na sheria zetu na zilitumika vizuri mno katika kuwadhibiti hao wajinga!

Narudia,SIKUPANGII!lakini huyo mropokaji na aondoke sasa.
 
Makonda mfute kazi na limbukeni!

Unafanya mambo mazuri katika yote kasoro kumlea huyo mpayukaji. Hadi wakati huu ni huyo huyo Makonda kwa uropokaji wake usiyo na STAHA hasa katika hilo la mashoga washindani wetu wanalitumia kama siraha!

Hebu tafadhari atupishe huyo bwana mdogo katika nafasi hasa hiyo aliyopo ili asiendelee kutuingiza katika sintofahamu zinginezo.

Jambo hilo lingeendelea kushughulikiwa kwa mujibu wa sheria zetu na jambo jema ni kwamba hata hatukuwa na tatizo na sheria zetu na zilitumika vizuri mno katika kuwadhibiti hao wajinga!

Narudia,SIKUPANGII!lakini huyo mropokaji na aondoke sasa.

Samahani Mkuu hapa ndiyo umeandika nini?
 
Status
Not open for further replies.
26 Reactions
Reply
Back
Top Bottom