Amejipima na kuona yupo level ya kuongoza hata malaika... sisi tutamshauri nini!!!?Hashauriki
- Aache kuua watu
Kukaza niniAendeleee kukazaa hadi mwishooo
Avunje baraza la mawaziri na awachague wachaga wote kuwa mawaziri- Aache kuua watu
- Atoe ajira
- Aheshimu bunge na mahakama
- Aheshimu watumishi wa umma na awape haki zao
- Afuate sheria zilizopo na katiba hii hii kama mpya anaona haimfai
- Aache kutumia pesa za walipa kodi masikini kuhonga kina MTULIA badala yake atengeneze MFUKO wa kukopesha GRADUATES Wajasiriamali vijana na kina mama
- Awape uhuru mawaziri wake na aache kupenda kuabudiwa, na kuwafokea na kuwatukana hadharani
- Aache UBAGUZI
- Aache kuchukua wake za watu na aheshimu familia yake
- Aheshimu viongozi wa dini na wafanyabiashara
- Mwisho kama analipenda taifa hili ni bora AJIUZULU kwa kuwa kazi aliyoiomba kiukweli HAIWEZI. Uwezo wake ni mdogo, analazimisha tu
NI HAYO TU !
.
Hilo hutu mwishowe litakuoa kabisa unakoelekeaAvunje baraza la mawaziri na awachague wachaga wote kuwa mawaziri
Afute teuzi zote za makatibu wakuu, wakurugenzi na awachague wacha kujaza nafasi hizo
Wenyeviti wote wa bodi na wajumbe wake 2/3 wawe wachaga
Kama ilivyokuwa zamani awajaze TRA na babdari wachaga watupu
Alifute ATC na ndege zote awape Precision Air
Ajenge Bullet train kwenda Moshi..
Alifanye kabila la kichaga kuwa kabila bora Tanzania na Chief Mariale kuwa shujaa wa taifa hili na siyo msaliti....
Sio kipaumbele cha serikali ila ni kipaumbele cha wananchi ambao hata hivo viwanda bado hawavioni vikiwatatulia kero zao na hata ukiwatazama kadiri siku zinavyokwenda wanazidi kukunja ndita na kuwa na sura ya ulizo na mashaka.Mkiwapa wananchi katiba mtaepusha hivo viwanda kuja kuharibiwa wakati wananchi wakidai katiba mpya kwa fujo.HKatiba Mpya sio kipaumbele cha serikali yetu. Viwanda kwanza.
Maisha yakiboreshwa hakuna mwananchi atakuwa na hasira na serikali, na ndicho serikali ya JPM inafanya kuboresha maisha ya wananchi kwa kujenga barabara, reli, vyanzo vya umeme na viwanda.Sio kipaumbele cha serikali ila ni kipaumbele cha wananchi ambao hata hivo viwanda bado hawavioni vikiwatatulia kero zao na hata ukiwatazama kadiri siku zinavyokwenda wanazidi kukunja ndita na kuwa na sura ya ulizo na mashaka.Mkiwapa wananchi katiba mtaepusha hivo viwanda kuja kuharibiwa wakati wananchi wakidai katiba mpya kwa fujo.H
Vipo maktaba ya magogoni ama?MBONA VITABU VIPO, tatizo hamuendi maktaba halafu mnaomba vitabu mitandaoni