Hivi mtu huwezi kuishi mpaka uwe kiongozi wa kisiasa?

Maana hamtupi pumziko na hizi hadithi zenu mara fulani atakuwa rais fulan atakuwa mara voice from within mara voice from abroad

Tuacheni jamani
 
Habari za asubuhi watu wa Mungu

Usiku wa kuamkia leo nimepata ufunuo kuwa kabla ya uhai wa makonda kukoma, atakuja kuwa raisi wa JMT.


Mungu awatangulie wote siku ya leo

Nasisitiza sio ndoto ama njozi bali na ufunuo kutoka kwa the almighty living God
Japani Vijana wanapata ufunuoa wa kufanya inovation kwenye Techinolojia,Wewe ni mjinga sana na mpumbavu sana
 
Habari za asubuhi watu wa Mungu

Usiku wa kuamkia leo nimepata ufunuo kuwa kabla ya uhai wa makonda kukoma, atakuja kuwa raisi wa JMT.


Mungu awatangulie wote siku ya leo

Nasisitiza sio ndoto ama njozi bali na ufunuo kutoka kwa the almighty living God
Mkuu Mlimani health care , najua watu watakubeza lakini mimi nakuunga mkono hoja, angalia wenzio hili tuliliona lini Baada ya Magufuli, 2025 Makonda atatufaa sana, kwasababu ana uthubutu kuliko hata JPM!. Apunguze... si wengi wanamjua Makonda vizuri, Mafanikio ya Makonda ni Uthibitisho Wa Jiwe walilolikataa Waashi litafanywa kuwa Jiwe Kuu la Pembeni

P
 
Kwanza Nawasalimu Kwa jina la Jamhuri,,
Pili nawasalimu Kwa jina la CCM,
Tatu karibu sana Brother,nakutana mara tatu Makonda,makonda,makonda.
Nchi ilikosa mtu mwenye neno lenye maamzi,na Zaid Mkoa wa Dar ilipoa sanaaaa,,
Narudia karibu sana Lumumba head office bro.

Kuna wakat inatakiwa uwe mkimya mbele za watu hata kama umewakosea au wamekukosea,ndicho ulichokifanya,uliwaacha Watanzanja waongee Yao ya moyoni mpaka walizike,na baada ya kumaliza kuongea hukujibu chochote,Ulikaa kimya kama ambavyo Mimi MAGAMBA MATATU hua nakaa kimya Kwa mwaka naweza toa Post Moja tu Kwa mwaka Jamii forum,au nisitoe kabisa,,hapa ndio unaukumbuka wimbo wa Diamond wenye verse "nimeambiwa niwe kimya "

Hilo umefaulu na hatimae mama kama mwenyekit wa Chama kaona kuwa ulitimiza wajibu wako kama kiongozi,ulitimiza wajibu wako kama mkuu wa mkoa toka Kwa mamlaka, maana ukiteuliwa umeteuliwa ni wajibu utimize mamla uliyopewa,japo wengi waliona kuwa ulifanya ndivyo sivyo, na wengi walifiliki kukukashifu ilihali wakijua ndo umepotezwa ndani ya Chama baada ya Jemedali Magu kutoka,

Sasa Chama kimekuamin na kujua ulitimiza wajibu toka Kwa mamlaka, Narudia WELCOME BRO,japo wanafiki utawaona wakirud kwako Kwa mgongo wa NYUMA,najua ww n smart thinker.

Nne,hapa msiponielewa mtanielewa baada ya Miaka 7 ijayo na mtarud na kunitafuta hii thread,,Huyu Makonda atakuwa waziri kwenye wizara nyeti mwaka 2025 na Zaid atagonbea urais 2030 na atakua the Next Magu,,kama hutaki nenda rumumba head office mvue cheo hiki alichopewa Leo..

Welcome bro..

Jion njema!
Una uhakika atakuwa hai wakati huo?
 
Habari za asubuhi watu wa Mungu

Usiku wa kuamkia leo nimepata ufunuo kuwa kabla ya uhai wa makonda kukoma, atakuja kuwa raisi wa JMT.


Mungu awatangulie wote siku ya leo

Nasisitiza sio ndoto ama njozi bali na ufunuo kutoka kwa the almighty living God
Kwa hii nchi yetu hakuna la kushindikana.

Ila hichi kichwa n kama JP ana uhafadhari fulani. Labda na umri unachangia
 
Kwanza Nawasalimu Kwa jina la Jamhuri,,
Pili nawasalimu Kwa jina la CCM,
Tatu karibu sana Brother,nakutana mara tatu Makonda,makonda,makonda.
Nchi ilikosa mtu mwenye neno lenye maamzi,na Zaid Mkoa wa Dar ilipoa sanaaaa,,
Narudia karibu sana Lumumba head office bro.

Kuna wakat inatakiwa uwe mkimya mbele za watu hata kama umewakosea au wamekukosea,ndicho ulichokifanya,uliwaacha Watanzanja waongee Yao ya moyoni mpaka walizike,na baada ya kumaliza kuongea hukujibu chochote,Ulikaa kimya kama ambavyo Mimi MAGAMBA MATATU hua nakaa kimya Kwa mwaka naweza toa Post Moja tu Kwa mwaka Jamii forum,au nisitoe kabisa,,hapa ndio unaukumbuka wimbo wa Diamond wenye verse "nimeambiwa niwe kimya "

Hilo umefaulu na hatimae mama kama mwenyekit wa Chama kaona kuwa ulitimiza wajibu wako kama kiongozi,ulitimiza wajibu wako kama mkuu wa mkoa toka Kwa mamlaka, maana ukiteuliwa umeteuliwa ni wajibu utimize mamla uliyopewa,japo wengi waliona kuwa ulifanya ndivyo sivyo, na wengi walifiliki kukukashifu ilihali wakijua ndo umepotezwa ndani ya Chama baada ya Jemedali Magu kutoka,

Sasa Chama kimekuamin na kujua ulitimiza wajibu toka Kwa mamlaka, Narudia WELCOME BRO,japo wanafiki utawaona wakirud kwako Kwa mgongo wa NYUMA,najua ww n smart thinker.

Nne,hapa msiponielewa mtanielewa baada ya Miaka 7 ijayo na mtarud na kunitafuta hii thread,,Huyu Makonda atakuwa waziri kwenye wizara nyeti mwaka 2025 na Zaid atagonbea urais 2030 na atakua the Next Magu,,kama hutaki nenda rumumba head office mvue cheo hiki alichopewa Leo..

Welcome bro..

Jion njema!
Mwaka 2030 Makonda atakuwa anatumikia kifungo kwa makosa ya uhalifu dhidi ya binadamu aliyoyafanya. Nchi hii itakuwa ya hovyo kuwa na Rais aliyetatuliwa marinda
 
Habari za asubuhi watu wa Mungu

Usiku wa kuamkia leo nimepata ufunuo kuwa kabla ya uhai wa Makonda kukoma, atakuja kuwa raisi wa JMT.

Mungu awatangulie wote siku ya leo

Nasisitiza sio ndoto ama njozi bali na ufunuo kutoka kwa the almighty living God
Una matokeo yake aliposoma pale ushirika Moshi ?
 
Back
Top Bottom