MAGAMBA MATATU
JF-Expert Member
- Jul 2, 2011
- 646
- 1,174
Kwanza Nawasalimu Kwa jina la Jamhuri,
Pili Nawasalimu Kwa jina la CCM
,
Tatu karibu sana Brother, nakutaja mara tatu Makonda, Makonda, Makonda. Nchi ilikosa mtu mwenye neno lenye maamzi,na Zaid Mkoa wa Dar ilipoa sanaaaa,, Narudia karibu sana Lumumba head office bro.
Kuna wakat inatakiwa uwe mkimya mbele za watu hata kama umewakosea au wamekukosea,ndicho ulichokifanya,uliwaacha Watanzanja waongee Yao ya moyoni mpaka walizike,na baada ya kumaliza kuongea hukujibu chochote,Ulikaa kimya kama ambavyo Mimi MAGAMBA MATATU hua nakaa kimya Kwa mwaka naweza toa Post Moja tu Kwa mwaka Jamii forum,au nisitoe kabisa,,hapa ndio unaukumbuka wimbo wa Diamond wenye verse "nimeambiwa niwe kimya "
Hilo umefaulu na hatimae mama kama mwenyekit wa Chama kaona kuwa ulitimiza wajibu wako kama kiongozi,ulitimiza wajibu wako kama mkuu wa mkoa toka Kwa mamlaka, maana ukiteuliwa umeteuliwa ni wajibu utimize mamla uliyopewa,japo wengi waliona kuwa ulifanya ndivyo sivyo, na wengi walifiliki kukukashifu ilihali wakijua ndo umepotezwa ndani ya Chama baada ya Jemedali Magu kutoka,
Sasa Chama kimekuamin na kujua ulitimiza wajibu toka Kwa mamlaka, Narudia WELCOME BRO,japo wanafiki utawaona wakirud kwako Kwa mgongo wa NYUMA,najua ww n smart thinker.
Nne, hapa msiponielewa mtanielewa baada ya Miaka 7 ijayo na mtarud na kunitafuta hii thread,,Huyu Makonda atakuwa waziri kwenye wizara nyeti mwaka 2025 na Zaid atagonbea urais 2030 na atakua the Next Magu,,kama hutaki nenda rumumba head office mvue cheo hiki alichopewa Leo..
Welcome bro..
Jion njema!
Pili Nawasalimu Kwa jina la CCM
,
Tatu karibu sana Brother, nakutaja mara tatu Makonda, Makonda, Makonda. Nchi ilikosa mtu mwenye neno lenye maamzi,na Zaid Mkoa wa Dar ilipoa sanaaaa,, Narudia karibu sana Lumumba head office bro.
Kuna wakat inatakiwa uwe mkimya mbele za watu hata kama umewakosea au wamekukosea,ndicho ulichokifanya,uliwaacha Watanzanja waongee Yao ya moyoni mpaka walizike,na baada ya kumaliza kuongea hukujibu chochote,Ulikaa kimya kama ambavyo Mimi MAGAMBA MATATU hua nakaa kimya Kwa mwaka naweza toa Post Moja tu Kwa mwaka Jamii forum,au nisitoe kabisa,,hapa ndio unaukumbuka wimbo wa Diamond wenye verse "nimeambiwa niwe kimya "
Hilo umefaulu na hatimae mama kama mwenyekit wa Chama kaona kuwa ulitimiza wajibu wako kama kiongozi,ulitimiza wajibu wako kama mkuu wa mkoa toka Kwa mamlaka, maana ukiteuliwa umeteuliwa ni wajibu utimize mamla uliyopewa,japo wengi waliona kuwa ulifanya ndivyo sivyo, na wengi walifiliki kukukashifu ilihali wakijua ndo umepotezwa ndani ya Chama baada ya Jemedali Magu kutoka,
Sasa Chama kimekuamin na kujua ulitimiza wajibu toka Kwa mamlaka, Narudia WELCOME BRO,japo wanafiki utawaona wakirud kwako Kwa mgongo wa NYUMA,najua ww n smart thinker.
Nne, hapa msiponielewa mtanielewa baada ya Miaka 7 ijayo na mtarud na kunitafuta hii thread,,Huyu Makonda atakuwa waziri kwenye wizara nyeti mwaka 2025 na Zaid atagonbea urais 2030 na atakua the Next Magu,,kama hutaki nenda rumumba head office mvue cheo hiki alichopewa Leo..
Welcome bro..
Jion njema!