Nakuheshimu Mayala thread yako kuhusu kujeruhiwa kwa Lisu kumenifanya niamini huna huruma ya maumivu ya wengine. Otherwise umeamua kuunga juhudi za port wako Mr. JiweMkuu Rev. Kishoka, naunga mkono hoja
Magufuli ni Dikiteta!, Tanzania Ilihitaji Dikiteta, Tumempata!. Atakayeleta Fyoko, Ataisoma Namba! - JamiiForums
P.
Mkuu Luti, nisome hapaNakuheshimu Mayala thread yako kuhusu kujeruhiwa kwa Lisu kumenifanya niamini huna huruma ya maumivu ya wengine. Otherwise umeamua kuunga juhudi za port wako Mr. Jiwe
Hii ndio raha ya kufukua makaburi, For myself Am proud to have someone like you, after Ulimwengu and KarugendoMkuu Luti, nisome hapa
Tuacheni Ramli Chonganishi: Tusihukumu, Tusije Tukahukumiwa!. "Karma Ndio Pekee Hutoa Hukumu ya Haki Hapa Duniani!. - JamiiForums
Shambulio la Lissu: Wajue Wasiojulikana Watakaojulikana na 'Wasiojulikana' Ambao Kamwe, Hawatajulikana!. - JamiiForums
Siku ya Sheria: No mention of Tundu Lissu!, Je ni amesahaulika tu kutajwa, amepuuzwa au ameepukwa?!. - JamiiForums
Taifa linahangaika na wasiojulikana waliomshambulia Tundu Lissu! Je, ni hawa?! Mhe. Mwigulu, IGP, anzieni hapa! - JamiiForums
P.
Too philosophical!Rev. Kishoka Mungu anashukuriwa Kwa kila Jambo,hata wapendwa wetu wakirudi kwake (Kufariki) yafaa kumshukuru.
Nakukumbusha tu kuwa Mungu ndiye aliyemleta Shetani na bado tunamshukuru
Tuendelee kutafakari!
Muda utaongea! Tusihukumu kwa sasa...ni FISADI ameuza nyumba za serekali kwa bei ya kutupa.
..ni MBAGUZI anayebomoa umoja wa waTz.
..ni kiongozi asiyeheshimu sheria na katiba.
..ni mtu asiyetenda haki kwa waTz haswa wale wenye mtizamo tofauti na wake.
..ni kiongozi asiyependa mfumo wa vyama vingi na anatumia kila mbinu kuhakikisha vyama mbadala na ccm vinafutika.
..anatumia madaraka yake vibaya na kinyume na katiba.
..ndani ya utawala wake UMASIKINI wa mtu mmoja mmoja umeongezeka.
Mkuu,ndio binadamu wenzetu hao,full kukurupuka,hawajipi nafasi ya kutafakari kabla ya kuandika au kuongea.Uliyoyakubali juu, umeyapinga chini, Yani umejumlisha 3 ukatoa 3, Umebaki na Zero
Ni mengi ya kutafakarisha yametokea tangu Magufuli awe Rais
Ni mengi ya kutafakarisha yametokea
tunajifunza mapya na kukumbuka mengi
Kwa hyo wewe una furahia mungu kutupa kichaa?Ni miaka miwili na miezi kumi tangu ndugu John Joseph Pombe Magufuli aapishwe kuwa Rais wa Tano wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
Ni mengi ya kutafakarisha yametokea tangu Magufuli awe Rais, na kila siku wengi wetu tunajifunza mapya na kukumbuka mengi.
Nasema ni shukrani maana katufungulia na kutufunulia mengi kuhusu Tanzania na zaidi kuhusu sisi kama Taifa na wananchi wake.
Natambua sitaeleweka kama jinsi sikueleweka miaka 10 iliyopita nilipoandika "Thank God for giving us Kikwete" lakini naamini safari hii wenye juhudi na upeo wa ufahamu na uelewa watanielewa.
Tuendelee kutafakari!
Sio chembechembe tena mkuu, zimeganda kwa pamoja sasa hivi ana mabonge mabonge ya udikteta!Kwa ufupi kwenye mapungufu uliyooanisha hapo juu ni kwamba ana CHEMBECHEMBE ZA UDIKTETA....
Mapungufu kama binadamu yanaingiaje wakati Urais ni taasisi? Maamuzi yanafanywa kama taasisi.Ni kweli Magufuli Ana mazuri yake pia Ana mapungufu yake kama binadamu,
Mazuri ya Magufuli
1. Ni mkweli kabisa na haogopi kusema nyeupe ni nikupe nyeusi ni nyeusi
2. Anapiga kazi kwa ufasaha alizotumwa n.a. wananchi
3. hajui siasa ye anafanya kazi tu
Mapungufu yake
1. Hapendi kukosolewa
2. Ana amini katika umasikini
3. Hapendi demokrasia
Asante Mkuu Joka....ni FISADI ameuza nyumba za serekali kwa bei ya kutupa.
..ni MBAGUZI anayebomoa umoja wa waTz.
..ni kiongozi asiyeheshimu sheria na katiba.
..ni mtu asiyetenda haki kwa waTz haswa wale wenye mtizamo tofauti na wake.
..ni kiongozi asiyependa mfumo wa vyama vingi na anatumia kila mbinu kuhakikisha vyama mbadala na ccm vinafutika.
..anatumia madaraka yake vibaya na kinyume na katiba.
..ndani ya utawala wake UMASIKINI wa mtu mmoja mmoja umeongezeka.
Naongezea kuwa ana Hasira na mafisadi na wapiga deal anatamani wenye hela azipunguze ziende kwa wasio na hela ili tuwe sawa.KUSADIKIKA.Ni kweli Magufuli Ana mazuri yake pia Ana mapungufu yake kama binadamu,
Mazuri ya Magufuli
1. Ni mkweli kabisa na haogopi kusema nyeupe ni nikupe nyeusi ni nyeusi
2. Anapiga kazi kwa ufasaha alizotumwa n.a. wananchi
3. hajui siasa ye anafanya kazi tu
Mapungufu yake
1. Hapendi kukosolewa
2. Ana amini katika umasikini
3. Hapendi demokrasia