Kamati Kuu ya CHADEMA yawavua nyadhifa na uanachama Halima Mdee na wenzake 18 walioapishwa kuwa Wabunge wa Viti Maalum

Tunasubiri kwa hamu sana.Hata Jiwe ataukuwa ametega sikio huku pressure inapanda na kushuka.

Mpaka sasa dalili zinanionyesha kuwa Kamati Kuu imelamba vichwa vya wasaliti wote.

Alafu Ili kuthibitisha kuwa CHADEMA hawahusiki na huo uteuzi wa hao wasaliti, moja ya maamuzi ya kikao iwe ni kulitaka Jeshi la Polisi, tena kwa kuwaandikia barua rasimi, wachunguze sakata hili(makosa ya kugushi na mengineyo) bila kujali Polisi watachukua hatua au laa na CHADEMA waahidi ushirikiano alafu tuone kama kunakitachofanyika.

Hii Press inasubiriwa na kufuatiliwa kama fainali ya World Cup!
nimegundua we mdau umezoea kujipa stress tu...
Hamna kichwa italiwa hapo 😂😂😂😂
 
Ndungai kuwanunua covid 19 ni utoto zaidi ya huo unaofikikiria
JPM anataka kuwateua Mdee na wenzie kwenye nafasi za Uwaziri ndo maana hadi Leo Baraza la Mawaziri halijatajwa...

JPM hana imani na wabunge wa CCM kawabeba na hawabebeki na wengi wao ni "hamnazo" ndo maana kamlazimisha Ndugai na NEC kuhakikisha KE hawa wanabaki Bungeni...

Kwenye hili sakata the bad animal of the issue ni Magufuli na Msukule Ndugai...
 
Tunasubiri kwa hamu sana.Hata Jiwe ataukuwa ametega sikio huku pressure inapanda na kushuka.

Mpaka sasa dalili zinanionyesha kuwa Kamati Kuu imelamba vichwa vya wasaliti wote.

Alafu Ili kuthibitisha kuwa CHADEMA hawahusiki na huo uteuzi wa hao wasaliti, moja ya maamuzi ya kikao iwe ni kulitaka Jeshi la Polisi, tena kwa kuwaandikia barua rasimi, wachunguze sakata hili(makosa ya kugushi na mengineyo) bila kujali Polisi watachukua hatua au laa na CHADEMA waahidi ushirikiano alafu tuone kama kunakitachofanyika.

Hii Press inasubiriwa na kufuatiliwa kama fainali ya World Cup!
Nyumbu hovyo kabisa, Sasa CCM inahusika vipi na kikao Cha saccos ambayo hawajielewi?
Kama pressure inashuka na kupanda ni kwa nyie nyumbu, Mbowe atabariiki na utakuja kurukaruka hapa, hao wabunge wa chadema wamewadharau hao viongozi wa saccos ndo maana hawana habari na hiyo kitchen party.
 
List ya Mbowe ina barua yenye Muhuri halali ya Mdee ina dhamana ya wanawake. Haya tusikilize porojo za Mbowe
Mkuu Benson heshima kwako. Nakubaligi sana makala zako hasa humu jamvin.

Mangi Aisee kuna makala yako moja uliwekaga humu ndani 'NGUVU YA KUNYA' nimeitafuta kichiz. Yani ulishusha nondo za hatarii.

Ulikuwa 'unawahasa' vijana njia peke ya kumuondoa Mbowe kwenye uenyekiti ni NGUVU YA KUNYA tu.

Nifanyie wepesi kuipata tena iyo linki.

Natanguliza Shukrani zangu za dhati kabisa
 
Tunasubiri kwa hamu sana.Hata Jiwe ataukuwa ametega sikio huku pressure inapanda na kushuka.

Mpaka sasa dalili zinanionyesha kuwa Kamati Kuu imelamba vichwa vya wasaliti wote.

Alafu Ili kuthibitisha kuwa CHADEMA hawahusiki na huo uteuzi wa hao wasaliti, moja ya maamuzi ya kikao iwe ni kulitaka Jeshi la Polisi, tena kwa kuwaandikia barua rasimi, wachunguze sakata hili(makosa ya kugushi na mengineyo) bila kujali Polisi watachukua hatua au laa na CHADEMA waahidi ushirikiano alafu tuone kama kunakitachofanyika.

Hii Press inasubiriwa na kufuatiliwa kama fainali ya World Cup!
chadema hawahusiki kweli lakini mwenye chama kahusika na anajua, huo ndo ukweli mchungu msiotaka kuusikia.
 
Back
Top Bottom