mama D
JF-Expert Member
- Nov 22, 2010
- 19,760
- 35,205
Tuko pamoja hapa tunasubiri kushuhudia vilio vya kina Retired.... Wewe vipi, Mrs hayupo kwenye ile19?Mama D upo? Unatafuta nini humu saa hizi. Mr hajarudi?
Tuko pamoja hapa tunasubiri kushuhudia vilio vya kina Retired.... Wewe vipi, Mrs hayupo kwenye ile19?Mama D upo? Unatafuta nini humu saa hizi. Mr hajarudi?
nimegundua we mdau umezoea kujipa stress tu...Tunasubiri kwa hamu sana.Hata Jiwe ataukuwa ametega sikio huku pressure inapanda na kushuka.
Mpaka sasa dalili zinanionyesha kuwa Kamati Kuu imelamba vichwa vya wasaliti wote.
Alafu Ili kuthibitisha kuwa CHADEMA hawahusiki na huo uteuzi wa hao wasaliti, moja ya maamuzi ya kikao iwe ni kulitaka Jeshi la Polisi, tena kwa kuwaandikia barua rasimi, wachunguze sakata hili(makosa ya kugushi na mengineyo) bila kujali Polisi watachukua hatua au laa na CHADEMA waahidi ushirikiano alafu tuone kama kunakitachofanyika.
Hii Press inasubiriwa na kufuatiliwa kama fainali ya World Cup!
JPM anataka kuwateua Mdee na wenzie kwenye nafasi za Uwaziri ndo maana hadi Leo Baraza la Mawaziri halijatajwa...Ndungai kuwanunua covid 19 ni utoto zaidi ya huo unaofikikiria
Na hautapata utezi kamwe. Utaishia tu humu na porojo zakoList ya Mbowe ina barua yenye Muhuri halali ya Mdee ina dhamana ya wanawake. Haya tusikilize porojo za Mbowe
Nyumbu hovyo kabisa, Sasa CCM inahusika vipi na kikao Cha saccos ambayo hawajielewi?Tunasubiri kwa hamu sana.Hata Jiwe ataukuwa ametega sikio huku pressure inapanda na kushuka.
Mpaka sasa dalili zinanionyesha kuwa Kamati Kuu imelamba vichwa vya wasaliti wote.
Alafu Ili kuthibitisha kuwa CHADEMA hawahusiki na huo uteuzi wa hao wasaliti, moja ya maamuzi ya kikao iwe ni kulitaka Jeshi la Polisi, tena kwa kuwaandikia barua rasimi, wachunguze sakata hili(makosa ya kugushi na mengineyo) bila kujali Polisi watachukua hatua au laa na CHADEMA waahidi ushirikiano alafu tuone kama kunakitachofanyika.
Hii Press inasubiriwa na kufuatiliwa kama fainali ya World Cup!
21:44saa 21:38 bado kimya kunani?
Tulia utajua leo NEC ni Mbowe au mnyika.NEC taasisi nyeti imefikia hatua ya kugushi?Kwani shida nini,tuliaaambia hivo viti wawape polisi
Tulia mkuu,kunywa Pepsi bariiiidi.....au hata fanta ....utulize HASIRA ULONAZOList ya Mbowe ina barua yenye Muhuri halali ya Mdee ina dhamana ya wanawake. Haya tusikilize porojo za Mbowe
Mkuu Benson heshima kwako. Nakubaligi sana makala zako hasa humu jamvin.List ya Mbowe ina barua yenye Muhuri halali ya Mdee ina dhamana ya wanawake. Haya tusikilize porojo za Mbowe
chadema hawahusiki kweli lakini mwenye chama kahusika na anajua, huo ndo ukweli mchungu msiotaka kuusikia.Tunasubiri kwa hamu sana.Hata Jiwe ataukuwa ametega sikio huku pressure inapanda na kushuka.
Mpaka sasa dalili zinanionyesha kuwa Kamati Kuu imelamba vichwa vya wasaliti wote.
Alafu Ili kuthibitisha kuwa CHADEMA hawahusiki na huo uteuzi wa hao wasaliti, moja ya maamuzi ya kikao iwe ni kulitaka Jeshi la Polisi, tena kwa kuwaandikia barua rasimi, wachunguze sakata hili(makosa ya kugushi na mengineyo) bila kujali Polisi watachukua hatua au laa na CHADEMA waahidi ushirikiano alafu tuone kama kunakitachofanyika.
Hii Press inasubiriwa na kufuatiliwa kama fainali ya World Cup!
Hapo kimoyomoyo unaham ya kusikia ... yaani umebanwa na hamnya kumsikiliza Mwenyekiti wa CHADEMA ha ha ha haaaaa ... yani sijui kama ulishawahi kuwa naham ya kumsikiliza mwenyekiti wako Jiwe kama hiviHamna kitu apo