Wamevuliwa uanachama au uongozi? Humu kelele zimekuwa nyingi"Kamati Kuu ya ChademaTz imewavua uanachama Halima Mdee na wenzake 18 waliopishwa juzi kuwa Wabunge Viti Maalum kwa kosa la utovu wa nidhamu na usali" Mhe. Freeman Mbowe
Vipi mbona sijakuelewa mkuu? Vipi umeshapiga Faru John nini?Dada magu2016 kama bado mnasumbuliwa na muwasho,kunyweni dazban inaponya ndani ya sekunde.msalimie jobu na mahera waaambie hawajawahi kua na akili zaidi ya kuwazia matumbo yao
Hii ni wiki ya Chadema kudhalilika. Kila wakifungua mdomo wanazidi kudhalilikaNi sawa na Kusema umetengena na Mkeo kwa Kutokulala nae ila bado unaendelea Kukaa ( Kuishi ) nae Kwao na Kumuhudumia je. nani ni Juha?
Mbunge anaapishwa ndani ya bunge sio garage ya bunge,jobu dawa za kupunguza makali ya marukanga zinamsumbua sanaAtatoa tamko ila ni uchwara kwa serikali ya CCM, hata akiwafukuza uanachama bado wana baraka za NEC watashinda tuuu
Kuna maamuzi mawili yamefanyikaCheka tu maana nimecheka mpaka basi. Achana na pesa bwana hasa ukiwa na njaa
Mimi nilitegemea watafutwa kabisa uanachama! Kwa maamuzi Haya, bado ni wabunge halaliYah nimaamuzi stahiki kabisa kwa wasaliti, ingawa najiuliza kwa nini yamechelewa kutolewa.
Umeelewa lakini kilichoamuliwa!!! Ama kweli nyumbu nyumbuniYah nimaamuzi stahiki kabisa kwa wasaliti, ingawa najiuliza kwa nini yamechelewa kutolewa. Yaani walichofanya viongozi wa cdm ni sawa umelala jamaa kakuvizia kakugegeda na wewe kwa hasira unamtia dole
Leo nimemheshimu sana huyu Mwamba...... Tokea amtimue Zitto leo kaonyesha ujasiri mkubwa bila kuangalia sura ya mtu."Nitakuwa wa mwisho kuhujumu chama hiki, sijamtuma yeyote, siwezi, Chadema ni future ya Tanzania, nazungumza kama mwenyekiti wa Chadema with authority, na hiyo ndio endorsement, and that is MBOWE. Ahsante"
Mwenyekiti wangu Freeman Mbowe
Nakutag,Wakifukuzwa ni tag
poleee sanahafukuzwi mtu hapo
Leo jobu atasahau kumeza dawa za kurefusha maishaWewe jamaa una mambo ya kipumbavu sana. Hivi huwezi kuongea bila kukejeri watu? Jifunze ustaarabu basi.
Kifupi upinzani hakuna wapo kuchumia matumbo sio kutetea wananchi!Tunasubiri kwa hamu sana.Hata Jiwe ataukuwa ametega sikio huku pressure inapanda na kushuka.
Mpaka sasa dalili zinanionyesha kuwa Kamati Kuu imelamba vichwa vya wasaliti wote.
Alafu Ili kuthibitisha kuwa CHADEMA hawahusiki na huo uteuzi wa hao wasaliti, moja ya maamuzi ya kikao iwe ni kulitaka Jeshi la Polisi, tena kwa kuwaandikia barua rasimi, wachunguze sakata hili(tuhuma za kugushi na nyinginezo) bila kujali Polisi watachukua hatua au laa na CHADEMA waahidi ushirikiano alafu tuone kama kunakitachofanyika.
Hii Press inasubiriwa na kufuatiliwa kama fainali ya World Cup!
Confirmed wote 19 wamevuliwa uanachama piaVyeo tu, lkn bado ni wanachadema na wanaiwakilisha chadema Bungeni, ...
Kwani wewe unaona lipi la maana lililofanyika?Mwamba kama Mwamba...hakuna cha kumtisha Bongo....Mbowe wewe ni jabari..watu watachangia Chama kuliko awali...
Polisi hawa hawa, waliomuapia Mbowe kuwa hatashinda?Tunasubiri kwa hamu sana.Hata Jiwe ataukuwa ametega sikio huku pressure inapanda na kushuka.
Mpaka sasa dalili zinanionyesha kuwa Kamati Kuu imelamba vichwa vya wasaliti wote.
Alafu Ili kuthibitisha kuwa CHADEMA hawahusiki na huo uteuzi wa hao wasaliti, moja ya maamuzi ya kikao iwe ni kulitaka Jeshi la Polisi, tena kwa kuwaandikia barua rasimi, wachunguze sakata hili(tuhuma za kugushi na nyinginezo) bila kujali Polisi watachukua hatua au laa na CHADEMA waahidi ushirikiano alafu tuone kama kunakitachofanyika.
Hii Press inasubiriwa na kufuatiliwa kama fainali ya World Cup!
Ushabiki mwingi kuliko uelewa😂😂😂😂Umeelewa lakini kilichoamuliwa!!! Ama kweli nyumbu nyumbuni