Sky Eclat
JF-Expert Member
- Oct 17, 2012
- 57,595
- 215,272
Sisi ghorofa zetu tunajenga kwa miliono 120-200 na zinapendeza na kukalika kwa kuji nafasi. Hawa viongozi hizi ghorofa zao huwa wananunulia vifaa wapi au gharama zinatokana na nini?
===
Mamilioni kujenga nyumba za wakuu wa wilaya na mikoa. Milioni 838 kumalizia nyumba ya mkuu wa mkoa Kagera, Milioni 170 kujenga uzio na nyumba ya mlinzi kwa mkuu wa wilaya Temeke. Milioni 555 kukarabati nyumba ya mkuu wa mkoa Ruvuma.
PIA SOMA:
- Kakonko: Makusanyo kwa mwaka ni Tsh Milioni 539, lakini Ujenzi wa nyumba ya Mkuu wa Wilaya umetengewa Tsh milioni 700
===
Mamilioni kujenga nyumba za wakuu wa wilaya na mikoa. Milioni 838 kumalizia nyumba ya mkuu wa mkoa Kagera, Milioni 170 kujenga uzio na nyumba ya mlinzi kwa mkuu wa wilaya Temeke. Milioni 555 kukarabati nyumba ya mkuu wa mkoa Ruvuma.
- Kakonko: Makusanyo kwa mwaka ni Tsh Milioni 539, lakini Ujenzi wa nyumba ya Mkuu wa Wilaya umetengewa Tsh milioni 700